Radio Free Afrika watakiwa kujieleza kwanini wasiadhibiwe kwa kurusha kipindi cha 'Amka na BBC' bila mizania

It’s an aspect of media ethics, common knowledge.
Sawa mkuu, lakini nijuavyo, unaowaita ‘mabeberu’ (Mungu akupe rehema) wana uhuru mkubwa wa upashanaji Habari, na kuwalinganisha na Sisi si Sawa na kufananisha kifo na usingizi!
 
lissu aende mahakamani kwan8ni haonyeshwi tbc wakati ni tunailipia kodi? hivi hamna namna tukawapekeka court..?
 
Hata Maisha ya JF yaliyobakia sio marefu sana kwa sheria hizi!!! Halafu Kuna watu wanaiunga mkono hii serikali na sheria zake dhalimu.

Acha tu, inabidi wanajf tuanze kuambiana ni mtandao gani tutahamia wakitupiga pini. Nakumbuka mara ya mwisho walivyoleta mizengwe tulihamia Kenya Talk.
 
Sawa mkuu, lakini nijuavyo, unaowaita ‘mabeberu’ (Mungu akupe rehema) wana uhuru mkubwa wa upashanaji Habari, na kuwalinganisha na Sisi si Sawa na kufananisha kifo na usingizi!
Unacheza wewe soma hizo kanuni na sheria zake ndio utaelewa. Unaweza kuona labda blogs zao watu wanaandika ovyo kama vile amna control.

Lakini huko kwao BBC1, BBC2, ITV, Channel4 na Channel5 hizo ndio main channel UK wajaribu kuvunja ata kanuni ndogo waone cha mtema kuni hao ata vipindi vyao kwa siku asimilimia kubwa lazima viwe UK made kulinda utamaduni wao.
 

Madictator wote huwa na watetezi wa aina yako. Hiyo BBC tumeanza kuisikiliza miaka na miaka, hakukuwa na tatizo, ila tatizo limeanza baada ya magu kuwa rais wa nchi hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…