Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,068
Serikali ya kishamba tunaenda kuizika rasmi uchaguzi huu!...mtafurahi mwaka huu.
Serikali ya kishamba tunaenda kuizika rasmi uchaguzi huu!...mtafurahi mwaka huu.
Kwa hiyo sisi tumeiga ‘mabebeeu’ kwenye uhuru wa vyombo vya Habari, au wao wanatakiwa watuige?!Wewe ndio wakijiuliza hilo swali unaamini TCRA wamekosea kweli au unapenda kupinga tu...
Sasa kipindi ni cha BBC, hao Rádio Fred wamejiunga! Sasa kwanin wasiwajibishwe BBC?Wewe ndio wakijiuliza hilo swali unaamini TCRA wamekosea kweli au unapenda kupinga tu...
DstvBaada ya kuiondoa chaneli ya Citizen kwenye king'amuzi cha StarTimes, kwasasa inapatikana kwenye king'amuzi gani?
Hata kutema mate au kulala usiku litabidu kuomba kibaliTunako elekea hata kuvuta pumzi tutatakiwa kuomba kibali TCRA
Ndio maana Leo hawakujiunga na DW saa 7!Wameambiwa na TCRA ni marufuku kwa vituo vya Radio na Tv za ndani kujiunga na hayo mashirika ya nje bila kupata kibali. Kazi kweli kweli, yaani ni pini kwa kwenda mbele kuelekea uchaguzi.
BBC nao wamepelekewa barua....ama nini?
KabisaHata kutema mate au kulala usiku litabidu kuomba kibali
Acha waendelee kumdanganya
Mawili wangeacha wananchi wakaangalie wenyewe BBC YouTube channel.Sasa kipindi ni cha BBC, hao Rádio Fred wamejiunga! Sasa kwanin wasiwajibishwe BBC?
It’s an aspect of media ethics, common knowledge.Kwa hiyo sisi tumeiga ‘mabebeeu’ kwenye uhuru wa vyombo vya Habari, au wao wanatakiwa watuige?!
Mkiwa CCM mnajiona mna haki na wasio CCM hawana haki! Mwisho wenu umefika.Hama nchi.
Sasa jamani mtu au stesheni ya utangazaji ikikosea wasiulzwe eti tu walikuwa wakimhoji Lissu au walikuwa wakirusha habari za Lissu!? Tuelewane TCRA watamhoji yoyote hata kama akiwa anamhoji Rais Magufuli as long akama atakuwa amevunja sheria husika. Vinginevyo ni vurugu tu.Awamu pekee ambayo watakaofurahia uongozi wake ni wale ambao wako karibu na mkulu/wateule kwa sababu na wao hawana namna zaidi ya kusifia, otherwise ni nchi inaendeshwa kipuuzi Sana sijapata kuona Tanzania.