The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Mimi naona hii habari imekaa kikufikirika vile (ya kutunga). Sijui kama ni kweli.
May be because for you, it is a bitter pill to swallow.
Mimi naona hii habari imekaa kikufikirika vile (ya kutunga). Sijui kama ni kweli.
So what, tafrija weekend kisha j3 watu wamemfungulia kesi, who is laughing now?
Mkipanga kutuguza jitahidini tuguzige... hao waandishi wa kupewa hongo ya 10,000 wa gazeti gani? au chap chap newspaper!
Yego mkaruka kutiki,
Mimi nilidhani unaichukulia habari yote kuwa ni maskhara kumbe tatizo lako hapa ni kiasi kilichokuweko kwenye bahasha! Bahati mbaya sijui umehoji kwa sababu ni kidogo sana au ni nyingi sana. Lolote litakalo kuwa jibu ni kwamba hao waandishi ndio wa pilau na bia moja wanakupamba ile mbaya.
Na naona umetuijia na msamiati mpya; guza =zuga!!!!???? teh teh teh
Mimi naona hii habari imekaa kikufikirika vile (ya kutunga). Sijui kama ni kweli.
Huyu kama si muongo alikuwepo atueleze alipata posho kiasi gani.Isitoshe kama anajiona amepata ushindi ni kweli kwani hadi sasa mengi hajajibu tuhuma zote alizoangushiwa na RA badala yake kapeleka mawakili wazungumze kwa niaba yake kwenye press converence ya waandishi wake ndio maana hawakuuliza maswali kama walivyomuuliza RA.Enyi msiosikia tambueni kuwa wote hawa nimafisadi.au mnamaradhi ya kupenda.Haya washia walimshangilia sana bush alipomundoa SADAM lakini wanayopata sasa ni akher ya SADAMtatizo tunapenda kuangalia vitu kwa vipande vipande... (fractured)..
.....Isitoshe kama anajiona amepata ushindi ni kweli kwani hadi sasa mengi hajajibu tuhuma zote alizoangushiwa na RA badala yake kapeleka mawakili wazungumze kwa niaba yake kwenye press converence ya waandishi ....
hili la nyumba ya serikali limekaa vp? alinunua toka kwa mtu au vp?? wadau wenye data plz...
Huyu kama si muongo alikuwepo atueleze alipata posho kiasi gani.Isitoshe kama anajiona amepata ushindi ni kweli kwani hadi sasa mengi hajajibu tuhuma zote alizoangushiwa na RA badala yake kapeleka mawakili wazungumze kwa niaba yake kwenye press converence ya waandishi wake ndio maana hawakuuliza maswali kama walivyomuuliza RA.Enyi msiosikia tambueni kuwa wote hawa nimafisadi.au mnamaradhi ya kupenda.Haya washia walimshangilia sana bush alipomundoa SADAM lakini wanayopata sasa ni akher ya SADAM
Nimekuwa wazi toka awali kwamba mimi nilipiga chabo tu toka kona ya E&Y. Baada ya kushangazwa na utitiri wa wageni katika eneo hili katika muda fulani ikabidi nifuatilie.
Wakati wageni wanaanza kutoka ilikuwa bahati kumpata rafiki yangu ambaye siku nyingi namfahamu kufanya kazi UWT. Kwa hulka yake (kama vijana wengine wanao ona ufahari kusema wanafanya kazi UWT kinyume na zamani ambapo ilikuwa siri) tukapanga tukutane mahali anipe habari kamili. Ni mtu ninaye mwamini katika habari zote ambazo huropoka au kuniambia. Mida ikafika dogo akaja na kunihabarisha tukaendelea na kilaji. Mimi si mwandishi wa habari niombe vielelezo au maelezo zaidi. Na nitaumia dogo akibaini kwamba habari aliyonipa nimeibandika hapa.