PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
- Thread starter
- #101
Mkuu PK kuna watu kule nikija kujua kua ni dingi,maza,mjomba au shangazi hakika ntazimia! Hahaha!
Ndo maana ukaambiwa uingie kwa risk yako...hata ukimgundua ma-mkwe kule we kauka, ndo utu uzima(dont tell me iam speaking to a teen-ager here!)...Sa kama unahisi we ni wa kuzimia kwann uliomba access?.,lets be rational smtmz people!