Kuna faida ya kutokujua ID za watu.... wengine humu ni babu zetu na bibi zetu, wakiongea pumba tutawaonea aibu kuwaambia ukweli... ID bila kujua mtu inapendeza sababu tunafight hoja kwa hoja na sio the man/woman behind the hoja.Hapana!...Ndio maana ninakwambia wengine tumerithi tu mambo haya...Ndio maana tunahoji leo hii!
Uko sawa!Kuna faida ya kutokujua ID za watu.... wengine humu ni babu zetu na bibi zetu, wakiongea pumba tutawaonea aibu kuwaambia ukweli... ID bila kujua mtu inapendeza sababu tunafight hoja kwa hoja na sio the man/woman behind the hoja.
Uko sawa!
Lakini fikiria issue kama hii hapa kwenye thread!...All his work and voice is going to hell/heaven with him!...hatujui alichokuwa anasimamia!..Consider from that angle!
asante mkuu,r.i.p mkuu
jamani inasikitisha sana tubadilike na tujifunze kutokana na huu msiba tuaribu kuwa wawazi kiasi
jamani kamanda alikuwa cdm full niliwahi kukutana naye siku chache kabla ya kifo duh alikuwa anamwaga sera kumuombea kura lema . ubarikiwe uliyeweka picha yake Rip jemedari
Mfano kuna watu wanaandika mambo jukwaa la mambo ya wakubwa ambayo najua hakika hawataki marafiki au ndugu wajue. Je tunahaki gani ya kuvunja la mtu pale anapofariki!? Na je litaleta madhara gani kwa watoto na mke wake mfano?