PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Viongozi wangu,
Salaam!
Kwa heshima na Taadhima naomba tukumbuke thread hiiHII-HAPA
Nimetaarifiwa na mwan-JF wa hapa Arusha kuwa mnamo tarehe 24/12/2010 member mwenzetu fulani waJF aliyekuwa anajulikana kwa jina la mtaani kama Abuu Mkongo alikuwa anasafiri kutoka Arusha kwenda Same kwao kwaajili ya sikuuu za mwisho wa mwaka, na akapata ajali katika kijiji cha Kileo-Mwanga iliyochukua maisha yake, akiwa kwenye gari no T391 PMG, aina ya Toyota Subaru, ambapo chanzo cha ajali ni kupasuka kwa tairi ya mbele.
Abuu alikuwa ni member active sana wa JF, lakini cha kusikitisha ni kwamba mleta habari(ambaye ndiye aliyemshawishi kujiunga na JF enzi hizo) hakuwahi kujua huyu marehemu alikuwa anatumia ID gani katika mabandiko yake...:sad: (hivyo mabandiko na posts zake zitalala doroo, na hatimaye kupotea kabisa baada ya muda..)
Aidha marehemu huyu alikuwa akifanyia kazi Ofisi ya ITV/Radio One -Arusha, akiwa kama muandaaji picha.
Mungu alilaze pema roho ya marehemu.
Salaam!
Kwa heshima na Taadhima naomba tukumbuke thread hiiHII-HAPA
Nimetaarifiwa na mwan-JF wa hapa Arusha kuwa mnamo tarehe 24/12/2010 member mwenzetu fulani waJF aliyekuwa anajulikana kwa jina la mtaani kama Abuu Mkongo alikuwa anasafiri kutoka Arusha kwenda Same kwao kwaajili ya sikuuu za mwisho wa mwaka, na akapata ajali katika kijiji cha Kileo-Mwanga iliyochukua maisha yake, akiwa kwenye gari no T391 PMG, aina ya Toyota Subaru, ambapo chanzo cha ajali ni kupasuka kwa tairi ya mbele.
Abuu alikuwa ni member active sana wa JF, lakini cha kusikitisha ni kwamba mleta habari(ambaye ndiye aliyemshawishi kujiunga na JF enzi hizo) hakuwahi kujua huyu marehemu alikuwa anatumia ID gani katika mabandiko yake...:sad: (hivyo mabandiko na posts zake zitalala doroo, na hatimaye kupotea kabisa baada ya muda..)
Aidha marehemu huyu alikuwa akifanyia kazi Ofisi ya ITV/Radio One -Arusha, akiwa kama muandaaji picha.
Mungu alilaze pema roho ya marehemu.