Quote of today

Quote of today

Hahahahaaa bado sijapata uhakika kama umemuacha kiukweli.
Niliyemsahau ni swthrt FP ambaye baada ya TANMO kuonyesha huruma nilimwachia ila nampenda sana hadi kufa

Hivi Erickb52 hushangai mikono yake imetetemeka hata kuandika ameshindwa eti mpaka anamtuma Baba V akaandike
Kwani yeye Dena Amsi hana mikono au key body yake imepata matege au macho yake yamepata makengeza
HApo alipo analilia maumizu kuona ile thread ilivyoandika Dena Amsi popote ulipo hebu kanusha ile siredi
Unaona waliokudanganya akina Erickb52, Arushaone, Baba V na Mungi na Filipo wote wanakutaka na mpaka watu8 nae yumo
 
Last edited by a moderator:
Dogo mbona we pia yamekushinda kila kona unaachika mara kwa KakaKiiza mara kwa nanii lol
Hebu kitulize kifanyio eeeh


:doh::doh::tape2::tape2::tape2::tape2::noidea::noidea::noidea: me:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:much!! Nivea
 
Last edited by a moderator:
Hivi Erickb52 siku yako haitaisha bila kunitaja kwenye majungu yako
Sasa huku kwa mimisa mimi nimetoka wapi
Namtafuta mtu wa kukugandisha au kukikata kifanyio chako uone panya anacho kwenye paa la nyumba yako
hahahahahaaa
Kifanyio changu huwezi kukiona maana huwa sitembei nacho....kama kwa sasa nimekiacha kwa Chocs na kesho ni zamu ya Kipipi kukitunza sasa sijui hadi ugundue kiko kwa nani utafanyaje maana ngumu sana Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:
apana kinasio chako hapa hakitafanya kazi...we ongezea idad tu,kutoka kwigne
Hahahahaaa yan hapa nawaza ntakupataje maana naona ushaanza kujunguka na utajifanya kunikataa tu.
Ila hakuna noma sina mpango wa kuongeza mwingine zaidi ya hili jeshi!
 
sikuachika nimemwacha sina historia yakuachwa huwa naacha mwenyewe
Haya ndio maana nakupenda my beloved sister
Haya tulia sasa!
Mi nimejituliza na kuanzia sasa mtambue Chocs kama wifi yako wa pekee!
 
Last edited by a moderator:
apana kinasio chako hapa hakitafanya kazi...we ongezea idad tu,kutoka kwigne
Hahahahahaaa
Hujui kina nguvu gani ndio maana unajishaua tu hapa
Haya nakupa siku kadhaa nikitoka kwa Arabela utashangaa unaanza Erick I love you na nilivyo kilaza najifanya sitaki kudadadadadeeeki!
 
Last edited by a moderator:
Haya ndio maana nakupenda my beloved sister
Haya tulia sasa!
Mi nimejituliza na kuanzia sasa mtambue Chocs kama wifi yako wa pekee!
nitatambua wangapi kwa kweli huyu tunyamaze tu kimya tusiseme nyumbani lol umemwona KakaKiiza hapo juu eti kafurahia kumbe umemng'ong'a heheheheheh toka nimemwacha keshaachika mara mbili!!!
 
Last edited by a moderator:
kwaiyo baada ya Chocs atafuatia Arabela?..bora yangu nimetulizana na my manoah..
Hahahahahaaa
Hujui kina nguvu gani ndio maana unajishaua tu hapa
Haya nakupa siku kadhaa nikitoka kwa Arabela utashangaa unaanza Erick I love you na nilivyo kilaza najifanya sitaki kudadadadadeeeki!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom