Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,662
Uwe unaweka na za uswazi, sitaki kuamini kwamba una kosa misemo hata kama ya kina Edward Molinge Sokoine, Mwl: Nyerere , Mkapa , Mawala , Lipumba , Beregu na watu wengine mashuhuri hapa kwetu..
"Tanzania ni Muungano wa visiwa vya Zanzibar na Zimbambwe" - Naibu waziri wa elimu, Philipo Mulugo.