mimisa
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,511
- 1,441
akija atakuta tushamaliza hamna shida
lazima hahaaa!
ngoja ajue tunamjungua sijui itakuaje!
lazima hahaaa!
ngoja ajue tunamjungua sijui itakuaje!
The one who waste today lamenting yesterday will waste tomorrow lamenting today
mi nitasimama kwa mbali wakija usinitaje!
Tena ntataka wew uwe refa
Waaao swthrt!Nimezipata mpenzi...missing you badly
Waaao swthrt!
Kuna watu wanachooooooonga siwataji ( mimisa na Passion Lady )
Eti tunapendana sana lol
I love you sana Chocs wangu
Halafu mimisa ujue unanitafuta ubaya oooohakija atakuta tushamaliza hamna shida
Hakuna ban ila nawatahadhali kuwa hawa wamama wangu ( Arabela Remmy Kipipi Amyner The secretary (Zilipendwa) Chocs (Kipya kinyemi) Preta (Nimemwacha hajatulia) sweetlady (Naibaiba kidogo), KOKUTONA (Nimezaa nae ni mzazi mwenzangu) BADILI TABIA na Kongosho (Ndio walinifundisha kufanya matusi) King'asti (Niligoma kupeleka mahari akahamia kwa Paw ))habar yako Erickb52..ss hata hatuchong ban
Halafu mimisa ujue unanitafuta ubaya ooooh
We nichokoze hujui nina jeshi la madada wa ukweli wenye uwezo wa kukunyofoa kifanyio bila ganzi ooooh
Mwambie na Passion Lady asichezee hili bomu...hajui b52 ni noma aisee likilipuka hakuna kinachobaki hadi mlipuaji hahahahaaaaaa
Majungu yamewajaa tu namshauri Mr Rocky awaoe ili mjenge Majungu family
Hakuna ban ila nawatahadhali kuwa hawa wamama wangu ( Arabela Remmy Kipipi Amyner The secretary (Zilipendwa) Chocs (Kipya kinyemi) Preta (Nimemwacha hajatulia) sweetlady (Naibaiba kidogo), KOKUTONA (Nimezaa nae ni mzazi mwenzangu) BADILI TABIA na Kongosho (Ndio walinifundisha kufanya matusi) King'asti (Niligoma kupeleka mahari akahamia kwa Paw ))
Duh na niliowasahau wote wakija imekula kwenu!
Hakuna ban ila nawatahadhali kuwa hawa wamama wangu ( Arabela Remmy Kipipi Amyner The secretary (Zilipendwa) Chocs (Kipya kinyemi) Preta (Nimemwacha hajatulia) sweetlady (Naibaiba kidogo), KOKUTONA (Nimezaa nae ni mzazi mwenzangu) BADILI TABIA na Kongosho (Ndio walinifundisha kufanya matusi) King'asti (Niligoma kupeleka mahari akahamia kwa Paw ))
Duh na niliowasahau wote wakija imekula kwenu!
Hahahahaaa yan hapa nawaza ntakupataje maana naona ushaanza kujunguka na utajifanya kunikataa tu.kwa jeshi hilo hakika nimeamini una kinasio..na apo nahc idadi itaendelea kuongezeka