Quote of today

Quote of today

Hujanipigia ila unetuma sms kuwa nikulipie sh 45 nami nikaaccept

Yes Papaa Chimbuvu! Mosi kitoko na nzambe na ngai ?
Mokili nini Papaa? Ni wewe pekee mutaa yote uko na choo ya ndani! Batakuloga baswahili papaa!
 
Last edited by a moderator:
Yap!Sio kwenye ile mifuko ya sijui yenye harufu ya strawberry sijui banana hainogi!

Lakini mkuu kuna siku niliona Madame B anausifia msasa (upeleupele) kwamba unampagawishiga hadi anakrai kwa kulitaja jina lake la utotoni .
 
Last edited by a moderator:
Maana yake ni kwamba kama jambo zuri ulilokuwa unalitegemea limeenda ndivyo sivyo, basi ujue kuna jambo jingine zuri zaidi ya hilo linakuja.

Mkuu Singo,umejichoresha mbaya!
Kwa akili yako,ulidhani kweli raia hawajaelewa sentensi rahisi hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Maana yake ni kwamba kama jambo zuri ulilokuwa unalitegemea limeenda ndivyo sivyo, basi ujue kuna jambo jingine zuri zaidi ya hilo linakuja.

Mkuu Singo,umejichoresha mbaya!
Kwa akili yako,ulidhani kweli raia hawajaelewa sentensi rahisi hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Lakini mkuu kuna siku niliona Madame B anausifia msasa (upeleupele) kwamba unampagawishiga hadi anakrai kwa kulitaja jina lake la utotoni .

Kumbe anapenda msasaeeh!!Ila nyama kwa nyama ni mwisho!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom