Sasa we unajaza mabasi matano ya abiria wakati mwenzio hata kwenye bodaboda yangu sijapakia mishkaki we vipi? mimisa kuja kipande hii
Mwalimu mie na wewe mwanafunzi wangu wote tumetoka kapa.
Maana yake usikatae ukitongozwa,mkubalie yoyote,umepewa bure toa bure!
Ha!!!!yamekuwa hayo!!!!!!!!!