Question- wasukuma and Love relations

Question- wasukuma and Love relations

Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.

Kwanza asilimia kubwa unatakiwa uwe mweupe, halafu uwe tayari kuletewa
 
Tanzania kuna muingiliano mkubwa sana wa makabila from 1961 mpaka leo. Makabila mbalimbali yameishi pamoja na kudiffuse many of their characters.
Mambo ya tabia za makabila siku hizi hayana implementation kihivyo...LABDA KAMA UNATAKA KUOLEWA NA BUSH BOY...ambaye utamtoa huko usukumani ndaaaaani kabisa.
 
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.

Wanajua kupenda na kucare lakini wana uhuru wa kuoa zaidi ya mke mmoja na bado wakabalance pendo. Kwao michepuko ni asili, hivyo ikitokea anachepuka usifikiri kuwa amebadili tabia. Kwa upole ndio wenyewe.
 
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.

U want to know the beauty of the beast huh! Come dance with it...!
 
Kwa kweli mawifi wa kinyantuzu wakkikuweka kwenye kundi 'unaharibu mbegu za ukoo', utajuta.

Ni 'wadoshi' haswaa.

Kama ni mweusi tii, afu wao weupe unalo.
Ila kama kaka anakupenda tabu iko wapi

Viva89 Kama huyo mchumba wako ni msukuma wa shinyanga basi jiandae kugombana na mawifi zako make dada zangu wa kinyantuzu hawanaga ustaarabu hupenda kujisikia sana na mara zote huingilia privacy za kakazao kuhusu marriage hasa kama wifi ni deep-black-coloured!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli mawifi wa kinyantuzu wakkikuweka kwenye kundi 'unaharibu mbegu za ukoo', utajuta.

Ni 'wadoshi' haswaa.

Kama ni mweusi tii, afu wao weupe unalo.
Ila kama kaka anakupenda tabu iko wapi

Ndo nini sasa kuwananga dada zangu bana...?

Bariadi oyeeeeee
 
mie nimeolewa na mjita...mapenzi miaka mia nane..yaan wanajua kupenda jamani...ila wakija ndugu,,wanakula hao jamaniii...pika chochote lakini ugali usiache...maana ugali ndio kila kitu kwao...but...mapenzi wanayajua...mwanaume mpk anakulilia machozi mwanamke...yaani raha iliyoje kumuona mwanaume analia..

Katika makabila hawa wajita,wahaya,waha, aisee sijawahii na naomba isitokeeee kabisa siwafagiiliii kabisaa
 
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.

Nahene. Chagulaga nene
 
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.
"Am on that on to the next one part jamani"
Sijaambulia kitu hapa!!
 
Nahene. Chagulaga nene

Sibonike na 'ungosha' wapi na wapi wewe nenda kaoe wanyaki wenzio wenye roho nyeusi kama sura zenu!
Na kwa taarifa tu ni kwamba msituone wazuri wa roho na kujua kupenda tu, bali tumejaaliwa nguvu za kutosha na migegedo iliyoshiba misuri lol!
Mi tangu nianze kuwagegeda 100% huishia kuusifia mgegedo wangu eti mtamu!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom