Lady niece
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 953
- 414
bora umwambie ukweli
Mke wa mtu huyo na huwa sionji wake za watu mimi.
Mke wa mtu huyo na huwa sionji wake za watu mimi.
Misukuma ni mijeuriiiiiii, lo! Sijapata kuona.
Ila ni watamu, wanajua mapenzi.
hahahahaha Ntuzu kakutosa nini
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.
Lazima atakuwa aliharibu sehemu huyo...Wasukuma huwa hawatosi tu bila sababu ya msingi. Ajiangalie.
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.
Viva89 Kama huyo mchumba wako ni msukuma wa shinyanga basi jiandae kugombana na mawifi zako make dada zangu wa kinyantuzu hawanaga ustaarabu hupenda kujisikia sana na mara zote huingilia privacy za kakazao kuhusu marriage hasa kama wifi ni deep-black-coloured!
dear Viva89,
oleho??
surely upande wetu wa kaskazini, kuanzia wasukuma, wakurya, nk.. true love sio ya kuuliza.. huo ni wajibu wetu kupenda kwa dhati kabisa..!
PM.........
Kwa kweli mawifi wa kinyantuzu wakkikuweka kwenye kundi 'unaharibu mbegu za ukoo', utajuta.
Ni 'wadoshi' haswaa.
Kama ni mweusi tii, afu wao weupe unalo.
Ila kama kaka anakupenda tabu iko wapi
mie nimeolewa na mjita...mapenzi miaka mia nane..yaan wanajua kupenda jamani...ila wakija ndugu,,wanakula hao jamaniii...pika chochote lakini ugali usiache...maana ugali ndio kila kitu kwao...but...mapenzi wanayajua...mwanaume mpk anakulilia machozi mwanamke...yaani raha iliyoje kumuona mwanaume analia..
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.
Kwa kifupi wasukuma wapo vzur kwa tabia... the understand well whats love complies hasa wanawake so wa kiume
"Am on that on to the next one part jamani"Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.
Nahene. Chagulaga nene