ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,864
bora aje ROBERT MICHAEL anisaidie kujibu hapa
Nani tena huyo anakuudhi bibie,nimgwaye sasa hvi.
Last edited by a moderator:
bora aje ROBERT MICHAEL anisaidie kujibu hapa
Know your role and stay in your lane. Don't test him or try to battle him. Men don't like that.
And cut copping an attitude with him (if you happen to do that from time to time).
See, men aren't that complicated. They are like babies - in fact, they are big babies.
You just have to learn how to handle them. You won't lose anything if every now and then you massage their egos.
If you play your position (and I'm telling you this from a man's perspective), trust me, nine times out of ten the love will be reciprocated.
You will float in the ocean of love and swim in the timeless currents of pure bliss.
But, you are a grown ass woman, the master of your own destiny. So, you should know what you want and what to do to get it.
i second yu mkuu...sasa mie nlipata chotora la kisukuma...na mkurya! Dah nliona chuo kgumu pale saut...maana kuna siku alinipga keleb nusu niteme meno aisee..hawa watu hatar
Yaa wana upendo wa dhati ila hawapendi mwanamke mchoyo na malaya...kama una sifa hizo kaa mbali nao,kama huna karibu sana.
Nasubiri kwa hamu atakaegonga like!!!!!!(sina mke)???
Oh kumbe....haya. Ngoja nirudi kwa mke wangu basi.
Mke wangu kama upo humu leo hebu nigongee like basi....
Kwani hakuna ambao hawajaoa? Halafu tumesikia wanapenda michepuo, tena kwao ni kawaida sana, ni kweli?
Sasa wewe unaogopa nyumba ndogo? Kwania anaondoka nayo? Issshhhiiiii!!!!!!
Shida ipo hapo sasa! Utamu wenu woote hauna faida kama ni WAZINZI kiasi cha kuhalalisha Nyumba ndogo!
Nimegonga like, ila mie ni wifi tu.
wasukuma weng 2na nguvu nyingi za kiume kutokana na lifestyle ya kiasili[i.e chakula] ambayo haibadilk sn ht km 2kichangamana na jamii zngne..,ww m1[mke] tu,gwaride ktanda huwez kulihimil cyan6,m2vumiliage kwa hlo..upendo kwa mke hubak pale pale2 bibie\
Shida ipo hapo sasa! Utamu wenu woote hauna faida kama ni WAZINZI kiasi cha kuhalalisha Nyumba ndogo!
You are about to start a contagion of rumors and restlessness.
Ha ha ha, kwanza na hii ilisemekana ni ID yako:biggrin::biggrin:
Ngoja nika-unlike haraka
Ngumu kumesa! Nitakupikia chipsi mayai ili kupunguza nguvu za kwenda nyumba ndogo
Sio kweli..wengi ni madomo zege hivyo akibahatika kuwa na mahusiano lazima ang'ang'anie kwani kwake kuanzisha mahusiano mapya ni shida.wasukuma weng 2na nguvu nyingi za kiume kutokana na lifestyle ya kiasili[i.e chakula] ambayo haibadilk sn ht km 2kichangamana na jamii zngne..,ww m1[mke] tu,gwaride ktanda huwez kulihimil cyan6,m2vumiliage kwa hlo..upendo kwa mke hubak pale pale2 bibie\
Very true, kumbe ndio maana naambiwa nimetumia limbwata???!!:shocked:
Ha ha ha, kwanza na hii ilisemekana ni ID yako:biggrin::biggrin:
Ngoja nika-unlike haraka
hahahaha..,afu zikipungua uanze kuning'ong'a.., mwanaume suruari,we jitahid kuendanana na mzik wng cyan6..,ntakundsha mazoez ya kuongeza pumz mchezon