Question- wasukuma and Love relations

Question- wasukuma and Love relations

Very true, kumbe ndio maana naambiwa nimetumia limbwata???!!:shocked:

Know your role and stay in your lane. Don't test him or try to battle him. Men don't like that.

And cut copping an attitude with him (if you happen to do that from time to time).

See, men aren't that complicated. They are like babies - in fact, they are big babies.

You just have to learn how to handle them. You won't lose anything if every now and then you massage their egos.

If you play your position (and I'm telling you this from a man's perspective), trust me, nine times out of ten the love will be reciprocated.

You will float in the ocean of love and swim in the timeless currents of pure bliss.

But, you are a grown ass woman, the master of your own destiny. So, you should know what you want and what to do to get it.
 
He he he, ulivuka mstari wake, sasa ushasikia ana ukurya ndani afu unaulia nini?

Lakini 6*6 ilikuwaje, be honest jamani:nod::nod::nod:

i second yu mkuu...sasa mie nlipata chotora la kisukuma...na mkurya! Dah nliona chuo kgumu pale saut...maana kuna siku alinipga keleb nusu niteme meno aisee..hawa watu hatar
 
Sasa wewe unaogopa nyumba ndogo? Kwania anaondoka nayo? Issshhhiiiii!!!!!!

Kwani hakuna ambao hawajaoa? Halafu tumesikia wanapenda michepuo, tena kwao ni kawaida sana, ni kweli?
 
Sasa wewe unaogopa nyumba ndogo? Kwania anaondoka nayo? Issshhhiiiii!!!!!!

Shida ipo hapo sasa! Utamu wenu woote hauna faida kama ni WAZINZI kiasi cha kuhalalisha Nyumba ndogo!
 
Shida ipo hapo sasa! Utamu wenu woote hauna faida kama ni WAZINZI kiasi cha kuhalalisha Nyumba ndogo!

wasukuma weng 2na nguvu nyingi za kiume kutokana na lifestyle ya kiasili[i.e chakula] ambayo haibadilk sn ht km 2kichangamana na jamii zngne..,ww m1[mke] tu,gwaride ktanda huwez kulihimil cyan6,m2vumiliage kwa hlo..upendo kwa mke hubak pale pale2 bibie\
 
wasukuma weng 2na nguvu nyingi za kiume kutokana na lifestyle ya kiasili[i.e chakula] ambayo haibadilk sn ht km 2kichangamana na jamii zngne..,ww m1[mke] tu,gwaride ktanda huwez kulihimil cyan6,m2vumiliage kwa hlo..upendo kwa mke hubak pale pale2 bibie\

Ngumu kumesa! Nitakupikia chipsi mayai ili kupunguza nguvu za kwenda nyumba ndogo
 
Haramu roma, halali makkha, kama unajua nachomaanisha.
Faida katika mapenzi ni subjective saana.

Shida ipo hapo sasa! Utamu wenu woote hauna faida kama ni WAZINZI kiasi cha kuhalalisha Nyumba ndogo!
 
Ngumu kumesa! Nitakupikia chipsi mayai ili kupunguza nguvu za kwenda nyumba ndogo

hahahaha..,afu zikipungua uanze kuning'ong'a.., mwanaume suruari,we jitahid kuendanana na mzik wng cyan6..,ntakundsha mazoez ya kuongeza pumz mchezon
 
wasukuma weng 2na nguvu nyingi za kiume kutokana na lifestyle ya kiasili[i.e chakula] ambayo haibadilk sn ht km 2kichangamana na jamii zngne..,ww m1[mke] tu,gwaride ktanda huwez kulihimil cyan6,m2vumiliage kwa hlo..upendo kwa mke hubak pale pale2 bibie\
Sio kweli..wengi ni madomo zege hivyo akibahatika kuwa na mahusiano lazima ang'ang'anie kwani kwake kuanzisha mahusiano mapya ni shida.
 
hahahaha..,afu zikipungua uanze kuning'ong'a.., mwanaume suruari,we jitahid kuendanana na mzik wng cyan6..,ntakundsha mazoez ya kuongeza pumz mchezon

Nitabalance menu ili usiende Nyumba ndogo kwa kisingizio nguvu zimekuzidi!
Shida yangu ipo hapo! mi mayai yangu yote nimeweka kwenye kikapu kimoja, we mwenzangu yako yapo kwenye makapu tofauti tofauti! Hapana aisee! kama mazoezi nipo tayari kufundishwa
 
Aiseee! Kumbe wasukuma wamejaa JF namna hii? Sikutegemea kama wapo wengi kiasi hiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom