mwanaume wa kisukuma akikupenda hata kama una chongo uta-enjoy kwa ma lovey dovey ya kufa mtu, atakuamini 100% ila hawapendi ma-sista du. na ni wahongaji. ila wale wa Bariadi ni wabahiri kiaina.
mwanamke wa kisukuma (mimi) tunapenda hadi tunajisahau. sasa ukikutana na tapeli wa mapenzi atadhani unataka hela zake (kama zipo) kumbe ni nature yetu. kwenye department ya mapishi tunapenda kupika chakula kingi maana wanaume wetu wa kisukuma lazima ale asaze ndo anajua kweli ana mwanamke. na hawapendi viporo
all in all wanaume wa kanda ya ziwa especially mwanza na musoma (wakurya, wajita, wazanaki, wajaluo etc) ni wahongaji sana....anaweza hata akakupa msahahara wote wa mwezi.
sasa siyo mkaibe waume za watu...