now let me find the right words.....
the moment you find them,
it will be too late
it could be a repetition, but the fact is, I have already found them
goodluck
mmmh tinna cute? wachache sana wenye tabia hiyo asee..mie nishaskia mmoja tu mpaka sasa
hehehe kongosho hamna ktu kwenye 6*6 zaid ya kusema tenga nirenge!noumer sana!nlijuta sanaHe he he, ulivuka mstari wake, sasa ushasikia ana ukurya ndani afu unaulia nini?
Lakini 6*6 ilikuwaje, be honest jamani:nod::nod::nod:
Me movie naiona live kwa sister angu kaolewa na wasukuma,,,,, all in all ina depend na tabia ya mtu husika.
Nashindwa kuelewa, hivi ni wote wako hivyo au inategemea msukuma mmoja na mwingine\? mi naona kama maajabu . Are they identical twins?They are so romantic ...
Jitahid kumheshimu, kumpenda, uaminifu utakula mema yake sometimes ni wapole hadi kupitiliza
hii quote yako na yule aliesema vichepuo vya hapa na pale, na yule aliesema ukimchambua bata humli nawaunga mkono asilimia mia.best lovers on this universe, lakini vichepuo vya hapa na pale ni kawaida kwao. Ila kupendwa, kudekezwa, kuhongwa hadi utakimbia mwenyewe.
Ng'wana lemi, kanzungu nkoyi.
Nashindwa kuelewa, hivi ni wote wako hivyo au inategemea msukuma mmoja na mwingine\? mi naona kama maajabu . Are they identical twins?
Mi ninae wangu ananipenda had basi, msikivu, anajua kujali sasa ndani ya 6 by 6 ndo usiseme ila sasa ananishangaza na vjumba vdogo maana ana kila dalili kuwa anavyo
hehehe kongosho hamna ktu kwenye 6*6 zaid ya kusema tenga nirenge!noumer sana!nlijuta sana
Am on that on to the next one part jamani ila I have a question kwa wale ambao wamehawi kudate or wanadate or wameolewa na wasukuma, is it true kwamba they are great lovers...maoni anyone, hata kwa wale ambao wameobserve tu, naombeni characteristics zao.