Queen Sendiga akabidhiwa ilani ya CCM

🤣🤣🤣🤣

Malkia mwenye kauli tamu bana!!!

Mpinzani wa kweli hawezi kufanya kazi ndani ya serikali ya CCM kutekeleza ilani ya CCM.

Ahadi ya Mama ilikuwa ni maneno matamu tu ya kuwapoza watu walio na uelewa finyu wa mambo.
MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO
 
Huyu mama na nywele zake zinamtoa balaa, na imekua kama Identity yake.
Mademu wengine ni mawigi mpaka mgongoni, sijui Nani huwa anawadanganya wanapendeza.
 
Ukikubali cheo cha bure lazima ukubali na masharti ya mtoa cheo , Mtaka cha uvunguni sharti ainame

View attachment 1796168


Ifahamike kwamba hapa duniani hakuna kitu cha bure , nipe nikupe , haiwezekani Magonjwa Mtambuka aliyepigania ccm kufa na kupona atelekezwe halafu upewe wewe ukuu wa mkoa bila masharti yoyote , hicho kitu hakuna

Sasa huyu dada siku yoyote msishangae mkimuona akikabidhiwa kadi ya ccm " kwa mara ya pili "

maisha yanaenda kasi sana
 
Hata Lissu akiteuliwa aidha Ubalozi au Uwanasheria Mkuu au Ukatibu Tarafa Ikungi lazima akabidhiwe ILANI YA CCM ili akaisimamie na kuitekeleza. Kwahiyo, mnapofurahia kauli ya Mama kujumuishwa kwenye Serikali msilisahau hilo.

Cdm hawahitaji hisani ya mwanaccm yoyote kupata madaraka. Labda useme waliokuwa wanafurahia vyeo vya mbeleko ndio wamefurahia hiyo kauli.
 
Acha dharau weweee! Achaguliwe Lema ili afanye kazi gani katika Serikali ya Tanzania!?

Serikali ya Tanzania nayo ni ya kujivunia hivyo? Ingekuwa ya Marekani si ungetoka roho? Prof Assad anasema 60% ya watu serikalini wana uwezo mdogo, sasa kama 60% wana uwezo duni, nani atashindwa kufanya kazi kwenye serikali hiyo?
 
CCM wamemuuzia Mh Queen Sendega li CCM KICHECHE (CK) hiyo ilani wanaficha aibu iliyo ndani ya damu ya CK
Iringa CCM imewashinda kutokana na kuwa na makundi yafuatayo:-
(1) CCM Asas
(2)CCM Jeska
(kihesa na njombe ihusike)
(3)CCM bakwata og
(4)CCM mwagito
(Hawa ni wale wahehe og wanaochezesha kiduo mtu mrohoroho wa pesa)
(5) CCM vunja bei
(Vijana wa kikinga wanapamba na CCM Jeska)
(6) CCM sukuma gang
(Hawa ni CCM wanyonge kumtolea aibu JIWE waliamua kumpigia Kura Msigwa )
Sasa Mh Queen Sendega wamekupa CCM KICHECHE na siyo ilani ya CCM inayofanya kazi Iringa
 
Masahihisho - Dr Slaa alikwishajiuzulu vyeo vyote Chadema kwa maelezo ya kuwakimbia Sumaye na Lowassa ndio akahongwa ubalozi , Hakuwa Katibu Mkuu wa Chadema , cha kushangaza sasa leo hii yuko Chama kimoja na Rostam , Lowassa na Sumaye na wala hajakimbia !
Masahihisho: Dr. Slaa alichukizwa na kitendo Cha kumuengua kuwa mgombea wenu wa urais na kumpa EL. Alimkimbia Mbowe na saccos yenu hakuwakimbia lowasa na sumaye.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Samia lazima achague wapinzani "soft" ili afanye nao kazi kwa amani, akichagua vichwa ngumu watampasua kichwa, sipati picha Lema au Mbowe akabidhiwe hiyo ilani then ainyanyue juu namna hiyo.
 
Back
Top Bottom