MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO🤣🤣🤣🤣
Malkia mwenye kauli tamu bana!!!
Mpinzani wa kweli hawezi kufanya kazi ndani ya serikali ya CCM kutekeleza ilani ya CCM.
Ahadi ya Mama ilikuwa ni maneno matamu tu ya kuwapoza watu walio na uelewa finyu wa mambo.
MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO🤣🤣🤣🤣
Malkia mwenye kauli tamu bana!!!
Mpinzani wa kweli hawezi kufanya kazi ndani ya serikali ya CCM kutekeleza ilani ya CCM.
Ahadi ya Mama ilikuwa ni maneno matamu tu ya kuwapoza watu walio na uelewa finyu wa mambo.
Wewe una mimba ya lisu sio bureHata mzee wa MIGA Lisu ameteuliwa atakabidhiwa ilani ya ccm
Mzee sasa mbona kina Lisu na wafuasi wake wa humu walidemka sana mama aliposema atateua wapinzani?
Malkia mwenye kauli tamu bana!!!
Mpinzani wa kweli hawezi kufanya kazi ndani ya serikali ya CCM kutekeleza ilani ya CCM.
Ahadi ya Mama ilikuwa ni maneno matamu tu ya kuwapoza watu walio na uelewa finyu wa mambo.
Ukikubali cheo cha bure lazima ukubali na masharti ya mtoa cheo , Mtaka cha uvunguni sharti ainame
View attachment 1796168
Ifahamike kwamba hapa duniani hakuna kitu cha bure , nipe nikupe , haiwezekani Magonjwa Mtambuka aliyepigania ccm kufa na kupona atelekezwe halafu upewe wewe ukuu wa mkoa bila masharti yoyote , hicho kitu hakuna
Sasa huyu dada siku yoyote msishangae mkimuona akikabidhiwa kadi ya ccm " kwa mara ya pili "
Aisee…hao jamaa si nishakwambia wanazidiwa akili hata na nyumbu….au umesahau? 🤣Mzee sasa mbona kina Lisu na wafuasi wake wa humu walidemka sana mama aliposema atateua wapinzani?
Hata Lissu akiteuliwa aidha Ubalozi au Uwanasheria Mkuu au Ukatibu Tarafa Ikungi lazima akabidhiwe ILANI YA CCM ili akaisimamie na kuitekeleza. Kwahiyo, mnapofurahia kauli ya Mama kujumuishwa kwenye Serikali msilisahau hilo.
Acha dharau weweee! Achaguliwe Lema ili afanye kazi gani katika Serikali ya Tanzania!?
Masahihisho: Dr. Slaa alichukizwa na kitendo Cha kumuengua kuwa mgombea wenu wa urais na kumpa EL. Alimkimbia Mbowe na saccos yenu hakuwakimbia lowasa na sumaye.Masahihisho - Dr Slaa alikwishajiuzulu vyeo vyote Chadema kwa maelezo ya kuwakimbia Sumaye na Lowassa ndio akahongwa ubalozi , Hakuwa Katibu Mkuu wa Chadema , cha kushangaza sasa leo hii yuko Chama kimoja na Rostam , Lowassa na Sumaye na wala hajakimbia !
Kwani chadema wote NI wanawake? Mbona wanaume ndo mnaongoza kwa kigeugeu kwa kujiuza huko CCM? Madiwani, wabunge, viongozi wengi wamejiuza na wamenunuliwa na CCM.kwan mume wake chama gani? wanawake ni kawaida yao kuwa vigeugeu hatuwez kushangaa.
Samia lazima achague wapinzani "soft" ili afanye nao kazi kwa amani, akichagua vichwa ngumu watampasua kichwa, sipati picha Lema au Mbowe akabidhiwe hiyo ilani then ainyanyue juu namna hiyo.
Atakuwa anaiba magari ya serikali.Acha dharau weweee! Achaguliwe Lema ili afanye kazi gani katika Serikali ya Tanzania!?
Huyu badala ya kwenda kuripoti kwenye chama chake kaenda kuripoti CCM