Narumu yetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 2,398
- 5,049
Hawa warus wa jamii forum vilaza sana mkuu ,hawaelew hata chanzo cha hii vita wanaropoka tuu ila kwa kuwadokezea Ukraine ndio chimbuko la taifa la urusi ,tena lilichipukia jiji la kyiv.hivyo hii vita wanaojua sir ni Putin na wazee wa nchi ,wala ishu ya kuweka jeshi Ukraine halimsumbui Russia ,kiufupi haya mataifa mawili yana mengi tusiyoyafahamuWe jamaa nae kiazi kweli, NATO si wapo hapo Poland mbona wasi wapige Poland?
Hakuna anaeiongelea wakati ukienda kuinunua sukari unaanza kutajiwa habari ya vita,acha unapokwenda kuinunua mihogo🏃Vita ya kipumbavu, wenye akili wame mpuuza ndio maana sasa hivi hakuna anae iongelea
Sababu za rusia kuivamia Ukraine kisa hawataki wajiunge NATO hazina mashiko kwa sababu Rusia ana majirani wanao share mipaka kama poland na Estonia ambao wako NATO
Nani alikwambia hiyo ndio sababu? Muwe mnaficha ujinga wenu mbele ya watu
Mbona Estonia na Latvia ni majirani wa Russia walio NATO na hajawavamia mpaka sasa??
Mbona Finland imeomba kujiunga na NATO na hajaivamia mpaka sasa??
Kwa nini Ukraine ambayo haijawahi hata kusema inataka kujiunga NATO??
Sasa unasemaje wengine Hawajui,wakati hata menyewe unasema yapo mengi tusiyo ya sahauHawa warus wa jamii forum vilaza sana mkuu ,hawaelew hata chanzo cha hii vita wanaropoka tuu ila kwa kuwadokezea Ukraine ndio chimbuko la taifa la urusi ,tena lilichipukia jiji la kyiv.hivyo hii vita wanaojua sir ni Putin na wazee wa nchi ,wala ishu ya kuweka jeshi Ukraine halimsumbui Russia ,kiufupi haya mataifa mawili yana mengi tusiyoyafahamu
Sasa unasemaje wengine Hawajui,wakati hata menyewe unasema yapo mengi tusiyo ya sahauHawa warus wa jamii forum vilaza sana mkuu ,hawaelew hata chanzo cha hii vita wanaropoka tuu ila kwa kuwadokezea Ukraine ndio chimbuko la taifa la urusi ,tena lilichipukia jiji la kyiv.hivyo hii vita wanaojua sir ni Putin na wazee wa nchi ,wala ishu ya kuweka jeshi Ukraine halimsumbui Russia ,kiufupi haya mataifa mawili yana mengi tusiyoyafahamu
Sabsbu taifa TEULE LA RUSSIA limeamua tu MKUU au kuna ubaya kuamua kuzifanyia test silaha zao!!!??Sababu ni nini nyie mashabiki wa Putin?
Kimabavu tena urusi si yupo pale?!Kwahiyo Marekani ana mawazo ya ki Napoleon coz anaikalia Syria kimabavu
Tulieni dawa iwaingie vizuriSikuwahi kuwaza jamaa ni mjinga wa kiwango hiki!
Sababu za kiusalamaSababu ni nini nyie mashabiki wa Putin?
Ni utoto au uzwazwa unajifariji vipi na kitu kilichoeditiwa?stori za uongo ndio faraja yenu!Nafuta hiyo, naweka hii[emoji28][emoji28]
Marekani kapigana vita za kipumbavu kabla ya ww kuzaliwa, ni taifa jinga duniani hakuna mfano wako, ni taifa lililouwa watu hakuna mfano wake, ni taifa lililotumia Nuclear pekee kwahio unasemaje kuhusu hili, halafu mukiitwa manyani huwaga mnakasirika wapuuzi nyinyiVita ya kipumbavu, wenye akili wame mpuuza ndio maana sasa hivi hakuna anae iongelea
Ww unasema hazina mashiko ila angefanikiwa kujiunga ww ndio wa kwanza ungelikuja na mada ya kipumbavuSababu za rusia kuivamia Ukraine kisa hawataki wajiunge NATO hazina mashiko kwa sababu Rusia ana majirani wanao share mipaka kama poland na Estonia ambao wako NATO
Sasa mpuuzi si yupo madarakani awatoe naoKwa akili zako Estonia, Lativia na Lithunia wana ardhi kubwa kama ilivyo Ukraine? By the way wale walijiunga NATO Putin aliwa hayuko madarakani na kwa taarifa yako 1997 Putin angekuwa madarakani wale wapuuzi wasingejoin NATO
Nani SHOGA? Choko wee!!Wewe ni shoga kwa hiki ulichoweka
Wewe shoga unashabikia vitendo vya kishoga. Acha hii tabia mbaya
Huyo putin kaisaidia nini Russia zaidi ya udikteta tu na nguvu za kijeshi,kwa rasilimali ilizonazo urusi inashindwaje kuwa hata katika G5?Russia na north korea umaarufu wao ni kupingana na nato basi mwenzao China mjanja kabadili mfumo wa kiuchumi sasa yuko juu.Bro starting from cold world War. Cuban missiles na Turkey military base ya marekan. Mpk kufika kwa Gorbachev Rais wa 8 wa shirikisho la ussr kuja mpk kuisambaratisha ussr hatuwezi kusema kuwa 1997 Russia ilikuwa na uchumi mbovu. Hapana mifumo ilisababisha hayo yote na kutokana na upuuzi wa Gorbachev kuside na USA. Ndo maana nimesema 1989 mpk 1992 ndipo Russia ilipokuwa hovyo kutokana na uongozi uliokuwepo. But angekuwepo Putin asingekubali hilo. That's why 2 yrs baadae baada ya 14 countries kujiunga na NATO putin kuingia madarakani 1999 alitaka kwanza kuanza kuirudisha Alaska irudi Russia kwakuwa was sold out to USA 1867.
Hivyo hoja siyo uchumi hoja ni uongozi.
Pia kuhusu Nuclear zilizokuwepo Ukraine... Ukraine hakuwa na uwezo wa kuzihudumia the only means Russia kwakuwa alikuwa na mpngo wake huu tokea kitambo akazirudisha kwake na akawaambia yeye atazihudumia but zile ambazo hazikuweza kuondolewa Ukraine walizitekezea ardhini. Na pia ukae ukijua kuwa kila nchi iliyokuwa ndani ya ussr ilikuwa na nuclear weapons. So Russia alihakikisha zote zimekuwa free from nuclear weapons kwakuwa walimsaliti.
Belarus imepakana na Poland aingilie hapo si ni chawa wa putin?Acha ubishi wa kifala basi....
Angalia ilipo POLAND alafu itafute hiyo URUSIView attachment 2272579