PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

Status
Not open for further replies.
Na ndio maana wana urasimu sana washenzi hao.

Kwahiyo urasimu unaletwa na dini yao !??.........Wagalatia mna roho mbaya sana !
Wizi na rushwa mtaacha lini ?? Mtali
 
Last edited by a moderator:
tulivopata uhuru shule za makanisa zoote zilitaifishwa,hv ingekuwa ndo shule za kiislam wangelalamikaje hawa watu

By that time Waislaam walikuwa wana shule zao na Chuo Kikuu cha Kiislaam cha East Africa kilikuwa kinajengwa (na kipo mpaka sasa) Uganda.
Pale Chang'ombe alipokamatwa Sheikh Ponda ndio palikuwa pajengwe Chuo Kikuu cha Kiislaam Tanzania. Nyerere akaua kupitia Bakwata.
Hivi unajua Bakwata ilikuwa. inamiliki 'fleet' ya Malori (Fiat 682) zaidi ya 50 ? walikuwa wanashindana na Msomali aliyekuwa akiitwa 'Morgan'. yahoo
 
Last edited by a moderator:
haya sasa baada ya wanawake kupata 50 kwa 50,waislam nao wanaitaka.wanaona wakiwezeshwa wataweza
 
Ramadhani Dau mwaka juzi alivunja rekodi ya udini alipoajiri watu 96 wa dini yake kati ya 100 walioajiriwa wakati huo.Hili lililalamikiwa hata bungeni na mbunge wa Ngara.
Pale PSPF napo wameanza udini.TAMISEMI pia.
Ninachojua mimi tabia ya mtu hutokana na malezi ya udogoni.Waislam walio wengi hawajui kuongoza na si wachapakazi kama wenzao wakristo.Hii ni namna walivyolelewa nyumbani na miskitini.
 
ajabu,

watu wakichukua ofc na kuanza kudeliver utaskia udinii udinii kama wana uguza ngiri vile,

then ukienda kufanya sensa huko wanakosema kuna udini utaona zaid ya asilimia 70 ni wao,

yaaani wanachukiza hawa jamaa..!!

kero sana hawa watu

tena si umeona ule uteuzi wa Alhaj Prof. Assad ulivowatoa povu makafiri wakiristu humu jamvini.
Hawa watu Ni shida sana
 
Wanaukumbi.

NSSF
1. Mkurugenzi Mkuu.
Ramadhani Dau. Muislamu
2. Mkurugenzi wa Fedha.
Ludovic Mrosso. Mkristo
3. Mkurugenzi wa shughuli. Cresentius Magori. Mkristo
4. Mkurugenzi wa Kompyuta.
I. Halfani. Muislamu
5. Mkurugenzi wa Utumishi.
Bi Chiku Matessa. Muislamu
6. Mkurugenzi wa uwekezaji. Yacoub Kidula. Muislamu
7. Mkurugenzi wa Ndani.
Pauline Mtunda. Mkristo
8. Meneja wa uhusiano. Bi
Eunice chiume. Mkristo
9. Mkuu wa usalama. Ramadhani Nasibu. Muislamu
10. Meneja kitengo maalum.
Davis Senkoro. Mkristo
11. Mkuu wa Idara ya Sheria.
Chedrick Komba. Mkristo
12. Mkuu wa Tathmini ya Mfuko. Sadi Shemliwa.
Muislamu.

Tunaomba tufahamishwe udini unaofanywa na Dr.Ramadhan Dau, NSSF ni upi.

Tumesikia kuwa ajira pale zinatolewa kwa Waislam watupu watu wakilalamika humu JF tunaomba watufahamishe hawa Wakirsto waliojaa NSSF nani kawapa nafasi.

Uongo ukitajwa kila mara mpaka unaonekana ukweli, kukuta mzizi wa fitina tuambiwe udini wa NSSF ni upi.
 
Ama kweli kana watu wanasumbuliwa na alzheimer.yaani wakristu ndio wakwanza kulalamikia ubaguzi wa shirika la nssf haliyakua mkasahau mashirika mengine ya umma mengi yaliyochini y himaya ya wakristo lakini watu wamepiga kimya na kutoa kejeli nyingi waislam hawaja soma. leo mnalala mika sasa nssf inaajiri watu wasio na weled na taaluma. kama wanaoajiliwa wana weled basi kuweni wavumilivu tu.
 
shida sio nafasi hizo za juu, udini upo nafasi za chini waislaam wanapewa kipaombele sana utakuta department nzima wapo waislaam tu.
 
Ramadhani Dau mwaka juzi alivunja rekodi ya udini alipoajiri watu 96 wa dini yake kati ya 100 walioajiriwa wakati huo.Hili lililalamikiwa hata bungeni na mbunge wa Ngara.
Pale PSPF napo wameanza udini.TAMISEMI pia.
Ninachojua mimi tabia ya mtu hutokana na malezi ya udogoni.Waislam walio wengi hawajui kuongoza na si wachapakazi kama wenzao wakristo.Hii ni namna walivyolelewa nyumbani na miskitini.

kumbe hadi nyie huwa inawauma Sana, mi nlidhani ilituuma waislam Tu!,

Sasa kwasabu mmelianzisha wenyewe, na sie tunamalizia kabisa!

Keep it up R. Dau

keep it up H. Ghasia
 
Dini yetu mna shida sana.
Fuateni imani zetu kikamilifu acheni kucreate vitu coz of Dini
 
Ama kweli kana watu wanasumbuliwa na alzheimer.yaani wakristu ndio wakwanza kulalamikia ubaguzi wa shirika la nssf haliyakua mkasahau mashirika mengine ya umma mengi yaliyochini y himaya ya wakristo lakini watu wamepiga kimya na kutoa kejeli nyingi waislam hawaja soma. leo mnalala mika sasa nssf inaajiri watu wasio na weled na taaluma. kama wanaoajiliwa wana weled basi kuweni wavumilivu tu.

Hao wanaakili za kuku!
 
Wanaukumbi.

NSSF
1. Mkurugenzi Mkuu.
Ramadhani Dau. Muislamu
2. Mkurugenzi wa Fedha.
Ludovic Mrosso. Mkristo
3. Mkurugenzi wa shughuli. Cresentius Magori. Mkristo
4. Mkurugenzi wa Kompyuta.
I. Halfani. Muislamu
5. Mkurugenzi wa Utumishi.
Bi Chiku Matessa. Muislamu
6. Mkurugenzi wa uwekezaji. Yacoub Kidula. Muislamu
7. Mkurugenzi wa Ndani.
Pauline Mtunda. Mkristo
8. Meneja wa uhusiano. Bi
Eunice chiume. Mkristo
9. Mkuu wa usalama. Ramadhani Nasibu. Muislamu
10. Meneja kitengo maalum.
Davis Senkoro. Mkristo
11. Mkuu wa Idara ya Sheria.
Chedrick Komba. Mkristo
12. Mkuu wa Tathmini ya Mfuko. Sadi Shemliwa.
Muislamu.

Tunaomba tufahamishwe udini unaofanywa na Dr.Ramadhan Dau, NSSF ni upi.

Tumesikia kuwa ajira pale zinatolewa kwa Waislam watupu watu wakilalamika humu JF tunaomba watufahamishe hawa Wakirsto waliojaa NSSF nani kawapa nafasi.

Uongo ukitajwa kila mara mpaka unaonekana ukweli, kukuta mzizi wa fitina tuambiwe udini wa NSSF ni upi.

Mkuu udini wanaouzungumzia hao wagalatia ni chuki na roho mbaya tu, wao walitaka hapo juu namba moja akae john au Joseph au petulo ndio wangeona ni sawa, lakini hawana hoja
 
siamini kama kuna udini duniani wewe kama umekosa kazi huna vigezo full stop haajiriwi mtu kwasababu ya dini yake tuu....!!!
 
shida sio nafasi hizo za juu, udini upo nafasi za chini waislaam wanapewa kipaombele sana utakuta department nzima wapo waislaam tu.

Naona wanahaha.

Nimewaambia nitamwaga data hapa za mchakato wa ajira zilizotangazwa (deadline ya 15 Dec, 2014) wiki iliyopita.

Vijana wenye sifa za kujaza position walizotangaza, wapo, na wame submit maombi tayari, tuwe na subira, mchakato ukianza nitaweka data hapa jamvini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom