Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,197
Kuna vitu vingine ni rahisi thibitisha.Mimi sikuipenda CDM kwa hayo uliyosema.Halafu unacholinganisha ni Ni past ya CCM na future ya CDM.Ni rahisi kuona wapi hujaelewa au kuchanganya vitu.Im sure pia hujui nini CCM watafanyaNitakuambia kitu kimoja (au viwili) na vinahusiana. Watu wengi wana mapenzi sana na CDM si kwa sababu wanajua CDM itafanya nini; wana mapenzi kwa sababu wanajua CCM imefanya nini. NI mapenzi yanayotokana na chuki. Mapenzi haya hayakuanzia CDM; baada ya vyama vingi kurudi wale waliokuwa wamechoshwa na CCM mara moja wakajitambua kuwa ni wapinzani na wakaenda nyuma ya wale waliokuwa wanaipinga CCM. Nakumbuka vizuri sana 1995 nilimpigia kura Mrema; tulikuwepo watu wengi ambao tulichagua NCCR kwa sababu ya kuchoshwa na CCM na kutaka kitu kipya.
kama ungelinganisha hivyo.Na pia unajua nini CDM wamefanya na wanafanya.Otherwise utakuwa ukituambia huijui CDM halafu unataka ishauri.
Sidhani kama kinachoonekan literally ndicho ulichomaanisha?Kama ndivyo basi sitoogopa kusema kuwa kati yenu wengi (wengi kati ya kundi lako na si la wana CDM) ni opportunistic.Yaani mnaangalia chama kinachoonekana kwenda chukua nchi.Sipendi amini hivyo ila ndicho unachokisema hapa kw atafsiri literally.Na hii itanisikitisha sanaLakini na pili na hili ni kubwa sana natumaini utalizingatia; wengi ambao tumekuja kuiunga mkono CDM na kuisaidia tunafanya hivyo kwa sababu ya kuamini kuna potential ya kuweza kuja kushika madaraka. Ni potential hii ambayo inawapa watu wengi matumaini kuwa CDM ikitulia, ikajipanga na kujitengeneza kweli inaweza kuwa chama cha kuweza kushika madaraka. Sasa usifikirie kupendwa kunakotokana na hili kunatosha. La hasha! Na itakuwa ni makosa makubwa zaidi kufurahia vigelegele, chereko na shangwe na kuamini kuwa hawa watu watakuwa pale siku zote kwa vile CDM inapendwa.
Ni vigumu kuthibitisha kuwa watu wote wanaipenda CDM kwa sababu wanaichukia CCM.Pengine kitu ulichochanganya hapa ni kwamba.Kuna kupenda, kuchukia, na kutopenda wala kuchukia,na hivi vyote vinaweza shawishi choices za watu au lah.Wapo watu wanaochagua watu wasiowapenda ili wawe katika timu yao ingawa hawawapendi ila kwa vile wanavikubali vipawa vyao au hata ni convenient kufanya hivyo.Watu wanaipenda kwa sababu wanaichukia CCM na hawaoni mwingine wa kumpenda na wanaipenda kwa sababu inawapa matumaini kuwa inaweza kuwa. Binafsi, sasa hivi nitafanya yote ninayoweza kuweza kusaidia CDM ishinde na kufanya vizuri zaidi 2015. Lakini siko tayari kusaidia ili ipate wabunge wengi na ijipange tena kwa 2020! utakuwa ni wazimu. Kama haitajipanga kushika madaraka ya nchi 2015 wakaendeleea na status quo itakuwa ni jukumu la dhamiri kuanza kuipinga kwa sababu itakuwa inasimama kama kikwazo; watu wanatumaini lakini tumaini halilipi!
Untahitaji thibisha sababu pekee za watu kuipenda CDM ni kuichukia CCM na kama sivyo basi uonyeshe kwa kiasi gani basi sababu nyingine zisiwe significant.Mojawapo ninayoiona ni karama za viongozi wake, ambayo pia imewachanganya wafuasi wa Zitto na Zitto mwenyewe akadhani kuwa karama zake pekee ndio zimefanya kazi CDM.Kuna mara nyingi hata wewe umeonekana kuegemea ktk hizi fikra.Kuna ambao wamefurahia jinsi CDM wanavyoingia ktk problems na CCM na kuweza toka salama na kwa ushindi mkubwa.Pia uongozi mzuri na mipango mizuri ya CDM imeweza fanya CDM kuwa mbadala katk fikra na mioyo ya watanzania na wageni waliopo nchini.Na hapa ndipo ninapoona unajaribu kwepa ili uweze pana tafsiri zako nyingi sana. Iam sure CDM wasingekuwa na mipango mizuri,uongozi bora ambao kila siku unahitaji thibisha kitu mbele ya critics,isingeweza tulia na viongozi wenye fikra huru na wenye ushawishi binafsi kwa raia kama waliopo sasa hivi.Kwa kiasi fulani naona jinsi mnavyokosa shikilia issue za msingi ndivyo mnavyojikuta mnapata theories nyingi za kuilezea CDM kama vile ni chama kilichotoka mwezini.CDM tupo nayo hapa wanafanya vitu practical zaidi ya maneno.Napata shida kuwasikia wana CCM wakitoa theory nyingi kuhusu CDM kuwaeleza watu watu vitu vinavyoonekana ktk wazi katk mikutano.Mikutano ya CDM nimeingia amani ipo juu,professionals wanachat, vilema wanacheza na watu, halafu huku nje wana CCM wanashupaa kuelezea jinsi CDM wanavyopoteza amani.Tusieelezee hisi zetu tuelezee realities.
Okay,nadhani na wewe pia unaamini kuwa neno lako si perfect km lilivyo la CDM na mimi pia.Na wafanyalo CDM mengi huafiki na hukuwahi hafiki(ndio maana hukuwa ukiwakubali).Lakini kila siku wanakwenda mbali sana, wanawashtua CCM na wapinzani.Na milestones zako zinapitwa kwa mafanikio kama CDM walivyopanga.Huoni uwezekano wa kuwa sahihi tukisema theories zako si practical ndio maana CDM hawakuzichukua?CDM walijiwekea malengo ya kuanzia ktk serikali za mitaa,ubunge na baadaye urais.Walipokuwa na wabunge 4 tuu CCM inaanza ona ugumu wa maisha.Wakaongezeka watu wakaona sasa kifo cha CCM kimekaribia,sasa wakiongeza tena CCM itakuwa ktk comma.Utanielewa baadaye nikimaliza kazi ya tatu ya CDM kuelekea 2015. Usinielewe vibaya kabisa CDM ndani ya miaka hii mitatu imefanya vizuri lakini vile vile tunashuhudia its weakest points na hizo zinatisha zaidi kwani hazikuwepo 2010! think about it.
Pengine ningependa kushauri km utabase kazi zako katk misingi iliyo nje ya reality utaishia kuandika scripts nzuri sana gramatically and structurally,lakini intellectually ukawa unajilisha uongo.Kwanza rudia sababu zako kwanini watu wanapenda CDM, na takwimu zake kwa asilimia, pia uweze predict factors zitakazoweza shift hizo asilimia kwa watu watu waliopo na watakaoongezeka.
Pia ningependa utuambie maelezo yako yanalenga wapi?Je yanalenga CDM kushinda uchaguzi mkuu?Au yanalenga kuwasaidia ongoza baaa ya ushindi?Au vipi?Mimi sioni kama CDM wanashinda kwa watu kuichukia CCM,a ukuwachukia wana CCM,au kuyachukia matendo ya CCM pekee.Km ingekuwa hivyo basi vyma vingine navyo vingekuwa na nguvu.Otherwise watu wanaipenda CDM kwa vile CDM imeweza wapendezesha watu.This is more plausible.