CDM haiwezi uliza watu wenye loosing spirit chochote.kama wote hapa hamkuweza ona ilipoanzia CDM na vikwazo vilivyorukwa, ni vipi mnaweza elewa vision ya waanzilishi wa chama?Ni kama mazaramo anayefikiria kwenda mcheza ngoma binti yake akitaka mshauri mchaga kuhusu shule na biashara.
Jamani acheni ujinga na uzembe,hizi nafasi mnazojipa za ushauri wakati hakuna mlichoweza achieve ni kufuru na matusi.Kuna mwenye pilot chama aliweza kitoa hata hatua moja kwenda nyingine?My friend aliapa kutowatumia consultants wa kitanzania wanaoganga njaa halafu wanataka mshahuri mtu aliyetafuta hela from the scratch to somewhere ambapo kila mtu anawakubali.Atakushauri nini zaidi ya kukupa ma theory kibao ambayo hata wao hawajui kuyatumia.
Nimekuta mjinga mmoja anamshauri mtu afungue akaumti bank na kufuata sheria ili a qualify kwa mkopo.Huyu jama ambaye hajaenda shule alikuwa na dreamz za kuifanya bank ndio equalify kumpa mkopo, na kwanini akapoteze muda kupanga foloeni ktk bank kwa transaction zinazoweza pitia ktk M-Pesa?Wakati huyu msomi anapiga blah balah kuwa ni Impossible,jama akampa clue kuwa maafisa mauzo wa bank wanashinda ktk office yake kila siku,bado mshauri hakuanza ona kuwa demand imeshift kutoka kwa mfanyabiashara na kwenda kwa bank.Hivyo mfanya biashara sasa anweza weka conditions zake kwa bank.Jamaa yangu akampatia jamaa bia na pombe.na hela kidogo huku akimwambia kamkubali san aelimu yake.Ikawa misho.Hivyo hivyo CDM inaendelea waonyesha critics kwa vitendo ,wakati wao wakiwa busy kutoa plan kichaa nyingi, na kutafuta conspirancy theories nyingi za kuelezea mafanikio ya CDM kama by chance na sijui mapenzi ya watu, mara sijui mapungufu ya CCM.