Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,237
- 44,470
Niliposema 2015 ni CCM tena, nimebezwa sana humu! ila ukimsoma Mzee Mwanakijiji in between the lines kwa jinsi anavyoilezea Chadema jinsi ambavyo haijajipanga, and by now ilipashwa kuwa imeshajipanga, utajua kuwa anajua wazi 2015 ni CCM tena!.
P.
CCM kushinda 2015 itashinda si kwa sababu inastahili lakini ama kati ya sasa na 2015 itafanya mabadiliko makubwa wakati hawa ambao tulitaka waje kutawala bado wanafikiria watashinda kwa sababu status quo itakuwa maintained. Vinginevyo watu watabakia kushangilia umati wa watu kwenye picha na kufurahia hotuba motomoto na magwanda yanayopendeza. Wataambiwa wasubiri tena 2020!
CDM ilitakiwa iwe madarakani tangu 2010! Lakini makosa yale yale yanajirudia. Guess what? matokeo yatakuwaje...?