Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Mbona wanaweza kupata wengi tu wana habari ambao wanaweza kuwasaidia? Miye mchango wangu ndio huu huu. Sipendi siasa kihivyo.

Katika hao waandishi wa habari, sijui utakuwa criteria gani ili kuwatoa makanjanja wengi tuu ambao wameshajipenyeza na kuwa masuperstar, achilia mbali mirengo yao ya kisiasa,kidini na kikanda,njaa na kutojiamini kabisa.?

Waandishi wa calibre ya Generali Ulimwengu ni wachache sana na wengine wapo ktk mazingira magumu yakuigusa CCM.
 
hayo unayonitakia mimi na Mungu akujalie na wewe; kwani lazima watu kuisaidia CDM? kumbuka hiari yashinda utumwa.

Ndio nilikuwa najiuliza throughout the discussion.Kumbe umeliona eh?Punguza basi washupalia CDM, hamia pia kwa CCM na NCCR,CUF na wengine. Ndio usawa na haki ndugu yangu.
 
He!!! Yaani unataka kutuambia CDM wapo kwa ajili ya madaraka binafsi na sio maendeleo ya Tanzania? Kama CCM wakibadilika wakatenda kile kinacholeta maendeleo, hilo si bora pia kwa CDM kwa kuwa wanachopigania ni maendeleo ya Tanzania? Na kama ikitokea hivyo, basi acha CDM wawaambie wananchi mnaona, sera zetu ndio zinazofanya kazi, na mkituchagua tuitawaletea sera nyingine nzuri zaidi.

Siamini kwamba ni busara kumuona mtu dereva wa basi la abiria akifanya makosa hatari na kuhatarisha uhai wa abiria wake, na wewe kukaa kimya ili tu upate nafasi ya kusema si mnaona, niliwaambia yule dereva hafai!

Teh teh....huwezi wafundisha wezi na wahalifu mbinu za kuwahadaa raia wema ktk haki.Kwanini CDM wawa equip CCM(parasites) silaha njema ili wazidi kukaa kwenye virutubisho vya nchi.Hiyo ni dhmbi on itself.So issue si tuu kuibiwa sera,ila matokeo ya kuibiwa hizo sera ni kuiimarisha CCM kwenye uharamia wao.
 
Hoja ya msingi imeshajibiwa natumaini muuliza swali atakuwa aneridhika. Haya maswali mengine itabidi tuyaangalie kwenye threads nyingine.
 
Don't forget: Romney has been receiving briefings from the U.S. intelligence community since September 17, as is customary for a presidential challenger in the final stages of a campaign.

Source: 5 things to watch in tonight's debate - CNN.com

Fikiri chukua hatua!

Ndio nilikuwa namuuliza MMK kama CDM wanapata hizo briefing directly bila kumegewa na wazalendo kupitia intelligence ya chama.Info za namna hii si halali hata mahakamani,ila zinzaweza fanyiwa kazi ktk uokoa mipango hatari na kujipanga kwa chama kwa ndani kwa siri hiyohiyo waliyopata hizo info.wakitegemea mara watakapopata nchi wapangue mipangilio yote iliyopo na kutangaza mipango mipya ikiwa na watu wapya.
 
MMK, punguza jazba mkuu, Jiulize elimu na ujuzi ulio nao utaisaidiaje TZ 2015? MMK kwa sasa tz imakuhitaji kuliko kipindi chochote, ndg zako tunakuhitaji, njoo tuunganishe nguvu, mimi nimeanza, angalia nimejenga ofisi za CDM matawi 3, kata 1, eti leo mmk unanijibu kizembe kiasi hiki kaka? majibu kama kinder g..., pale makao CDM panakuhitaji,
Nilimwambia CDM wanafanya vitu practical, na si blah blah ".. sijui next big idea..." hakujua namwambia nini?Watz waliopo nje ya tz wengi ni wajinga sana wa mambo mengi.Wanawaona wabongo kwa mitazamo kuwa ni wajinga sana.Hii ni kwa vile kipindi wanakimbia nchi waliacha wengine wakishindwa kimbizana na hussle za ubalozi,ila mwishowe walirealize kuwa wanaweza jenga taifa hapa hapa baada ya zile feelings za kufuata mkumbo kuzimika.Wapo maprof wengi sana nje ni wajinga sana wa hi nchi.na wameishia tuu kunyooshea mikono bongo huku wakitoa excuse za kijnga kwanini hawajaweza wekeza bongo kwa njia yoyote.Sasa wewe ulichofanya huyo jamaa hawezi zaidi ya kujaribu toa maelekezo ambayo hajawahi tuambia yalisaidia chama gani popote duniani achilia mbali hapa nchini.
 
Unaweza vipi kufanya kazi na watu wenye hasira za kitoto? Wakikataliwa wafikiria kuua wengine na wanadai wako makao makuu? Si utakuwa utawala wa ajabu huo?
MMK, nilikuwa na utenzi wangu kwako my brothe, ila jukwa hili si mahali pake, kwa umri wako pamoja na michango yako ktk taifa letu ww ni wa thamani kwetu, wengi wetu hapa JF tumegema ujuzi wa kujenga hoja toka kwako my brother, na ndio maana nakusih rudi nyumban, najua unayaogopa maisha ya hapa home, rud kaka
 
Kitila, MMM bado yupo, labda aliweke wazi mwenyewe. Nilivyomwelewa mimi, ni kwamba anasema kuwaondoa CCM madarakani ndiyo focus ya CDM, na hilo ni kosa.
MMK fikra zake, maono,na imani yake huwa anafikiri kabisa kuwa ndio fikra za CDM,ndio malengo ya CDM ndio imani ya CDM.Wana CDM wanafanya wafanyayo wakiwa na fikra ,mipango tofauti n amikubwa zaidi.Its kinder fun.
Nadhani hapo namwelewa na pia nakubaliana naye.

Siku zote napata picha kwamba CDM hawana tatizo na sera za CCM , bali wana tatizo na watawala wa CCM. Kwa kiasi fulani hili wameliweka wazi, japo hawajakili kwa kiwango kinachotakiwa. Kama tatizo ni watawala wa CCM basi CDM watuambie hivyo ili wasije wakaingia madarakani kwa gia ya watawala wabovu wa CCM, na kisha baada ya kuwaondoa watawala wakataka kuondoa sera za CCM ambazo huenda ni nzuri tu.
Au je, CDM wanataka kuwaondoa CCM kwa sababu wanaona sera za serikali ya CCM ni mbaya? Kama ndivyo watuambie pia, ni zipi kati ya hizi sera wanaziona mbaya, na wanataka kuzibadili na kuweka sera za namna gani mbadala? Kwa mfano, japo muungano si suala la sera bali ni la kikatiba, CDM hata siku moja haijawa wazi kabisa kuhusu suala la muungano. Wanamung'unya maneno kuhusu msimamo wao thabiti juu ya muungano. Sera ya madini, CDM wamekazania ufisadi wa mikataba, na hawajasema lolote juu ya sera iliyopo. Hivyo hivyo na suala la nishati, na hata mfumo wa utawala wa nchi. Kwa nini CDM wanaogopa kusema kwa mfano, wakichukua nchi wataondoa nafasi za ukuu wa mkoa na wilaya au kuziacha hizo nafasi na kutoa sababu zao za msingi? Je ni kwa kiasi gani wanatumia mjadala wa Katiba wa sasa kuwaonyesha wananchi wanasimamia mambo gani?
Kwa mtu anayefuatia mikutano ya CDM, taarifa kwa umma, bungeni na kwinginepo atakuwa ameona/amesikia/amesoma wakitoa melezo yao kuhusu mgawanyo wa maeneo, baraza la mawaziri, madini na nishati, muungano,nafasi ya wakuu wa wilaya na mikoa, afya, elimu na kila kitu kurudia rudia tuu na kujichanganya na nia ovu tuu ndio inafanya watu kukomaa na vitu baseless.nani hajui kuwa CDM wanataka serikali 3, majimbo na si huu usanii kama wa dar
Pamoja na yote, nakiri kwamba CDM wanaelewa sana kwamba Tanzania ina wapiga kura (king makers) wa aina gani. Ni kweli wengi wa wapiga kura wa Tanzania wako katika ushabiki zaidi ya uelewevu wa sera na mwonekano wa mtu - na hii ndio sababu JK alishinda kwa kishindo 2005.

hijalishi hao watu ni wa aina gani chama bora kinapaswa kubalance yale mambo ya msingi ambayo yangeulizwa na watu wenye akili ili kuwasaidia hata wale watu wanaodhani pombe ya siku moja inatosha,huku wakijitahidi weka vionjo vichache kwa wale wafuatao shsbiki ili kuweza secure place ili kiwafanyie zaidi ya walichoomba wapiga kura.Tusipokuwa makini na hawa wasomi waliopotoka huku wakiwa na influence ktk kundi la waandishi makanjanja.Basi wata jenga demands za kijinga kwa wapiga kura na baadaye kuwa ndio criteria zao huku wakiacha mambo ya msingi kwa mataifa ktk kutatua matatizo ya ndani na pia kutuweka vyema ktk ushindani na usitawi mbele ya mataifa.
Unfortunately, namwona pia MMM kuwa guilty wa ushabiki huu, kwani tupo tulioona tangu mwanzoni kwamba JK alikuwa kiongozi dhaifu kutokana na utendaji wake wa nyuma, na tulisikitika kuona ushabiki uliokuwa nyuma ya jina lake, na kujua kwamba watu watakuja kuujutia uamuzi wao wa kumuweka JK madarakani kwa sababu tu ya ushabiki waliokuwa nao juu yake (kuna posti niliweka kule Wanajamii juu ya hili). Nimeshangaa sana kuona ilimchukua MMM muda mrefu vile kugundua udhaifu wa JK kama kiongozi wa nchi. Sasa ikiwa mtu msomi kama MMM alikuwa kipofu wa hili, vipi yule mpiga kura wa mtaani!
teh teheeeeeeeeeeeeeeeeeh......niliwahi mwambia ajithaminishe kuanzia mwanzo wa thread hadi kwenye session tuliyokuwepo.Hakutaka jibu vyema badala yake akaweka kiburi ili kulinda "self esteem".Eti hakuwa ameitumia kujipima...nashukuru wengine wamempima.mimi nilimwambia naongea vitu ambavyo havi-work huku CDM mambo yao yakiwaendea vizuri.
Hivyo basi, kabla ya kuwasema sana CDM kwamba hawanadi sera katika mihadhara yao, ni lazima tujiulize swali la msingi kama tuna wapiga kura nchini ambao wanaelewa umuhimu wa sera katika mfumo wa vyama vingi vya siasa. Leo hii CDM wakianza kuhubiri sera, wapiga kura watawaelewa? Sikatai kwamba wapo Watanzania wapiga kura wachache wanaoelewa maana ya sera, na hili ni jambo ambalo CDM inapaswa kukumbuka na kutumia forum zinazokubalika kuliongelea. Ukweli ni kwamba kwa namna moja au nyingine CDM wamekuwa wakikwepa kukutana na kujadili issues na wasomi, watu wenye mpanuko wa kimawazo zaidi ya kuongea juu ya ufisadi na kuvua gamba!
Sidhani kama CDM wamewakwepa, ila nao wasomi wamekuwa wanakaa mkao wa kijanja sana.Kwa vile wamekuwa na theories kama za bar na mara nyingi mwenendo wa CDM na mafanikio yao yanawafanya wawe busy kuzirekebisha.CDM hawana haja ya kuhofia wasomi kwani bench lao linao wa kutosha, na hata wale wenye elimu ya kati wanakimbiza mbaya,wanameza vitu vigumu.Mnyika alisema Kikwete ni "..dhaifu...",Bila hofu wakati wasomi walikuwa wakipoteza muda kutafuta maelezo kuwa JK hana shida ila watendaji wake sijui na mafisadi.Waliokuwa na guts kukubalina na kusupport ni wachache,kisha wadandiaji walipoona kuwa upepo unaelekea upande wa Mnyika ndipo wakaingia.

MMK mwenyewe kakiri kuwa kaingia CDM alipoiona kuwa ine potential(something )ya kuchukua utawala wa nchi.Bongo hatuna wasomi wa kuweza toa wazo jipya(wa kutosha,kama wapo) kwani wengi wamejiwekea ipaka ya kifikra na wanaogopa igusa.Na kwa mahati mbaya wakigusa hukusa vibaya na kuwa ya kijinga.We need wasomi wenye tenacity ya CDM ,wana ujasiri na research kama hawa CDM ."The badgers".Hawamumunyi maneno hizi kauli ambazo si clear za MMK,mchambuzi, mkandara and the sort ni dhambi,ni za kinafiki na za kufuata upepo.Tazama wakibanwa wanavyokwepesha kaulizao,wakiambiwa wathibitishe wanaenda off topics mpaka waombwe sana thibitisha, mara nyingine wanadeka, wanatoa reference za mbali sana au zisizi clear.Sipendi vuguvugu kwani si reliable.Si muda mrefu MMK atakuja na mengine kuhusu CDM kama alivyokuja kwa JK kwa CCM.
 
Hoja ya msingi imeshajibiwa natumaini muuliza swali atakuwa aneridhika. Haya maswali mengine itabidi tuyaangalie kwenye threads nyingine.

Ili tusione kuwa ni excuse ya kukimbia issues hapa,uwe pia unatuwekea links zote unazohisi zina majibu.Sidhani kama kila mtu aliwahi kufuatilia kipindi hichooooooooooooooooooooooooooo.Hiyo ndio spirit ya wasomi,unaweka reference na vielelezo vyote vya kurejea.Sio majibu mepesi kama "Haya maswali mengine itabidi tuyaangalie kwenye threads nyingine" hembu kiulize .Mtu atasomaje hivyo vichaka kama si mapori ya postings zako zenye title tofauti na reply za kutisha?
 
Ili tusione kuwa ni excuse ya kukimbia issues hapa,uwe pia unatuwekea links zote unazohisi zina majibu.Sidhani kama kila mtu aliwahi kufuatilia kipindi hichooooooooooooooooooooooooooo.Hiyo ndio spirit ya wasomi,unaweka reference na vielelezo vyote vya kurejea.Sio majibu mepesi kama "Haya maswali mengine itabidi tuyaangalie kwenye threads nyingine" hembu kiulize .Mtu atasomaje hivyo vichaka kama si mapori ya postings zako zenye title tofauti na reply za kutisha?

Unaweza kuhit search hapo juu; ukachagua mwaka na jina la mwanzisha thread na ukaanza kupitia nyuma kucatch up. Nikianza kucater kwa kila mtu nimtafutie nilichoandia mwaka 2006 nitakuwa nimejipa kibarua kingine. Thank Heaven wakainvent search feature ambayo kwa mtu asiyemvivu sana inachukua less than one minute kusoma vyote nilivyopost in the past six years or so.
 
Mzee Mwanakijiji kuna namna una udownplay ufisadi ndo maana kimsingi unaonekana umebadilika.

Ufisadi siyo kitu cha kudownplay hata siku moja,kuna namna umeusahau umasikini wa watanzania.Unanikumbushia rafiki yangu aliyekuwa akisema bongo imeendelea sana kila mara akitembelea,kumbe sababu kubwa ni kwamba ndugu zake na baadhi ya vijana wana endesha magari mazuri na biashara zao.

Nikagunduwa kumbe watanzania anaowazungumzia ni ndugu zake na marafiki zake,so sioni ajabu kwako wewe kuona ufisadi siyo big deal anymore.
 
Unaweza kuhit search hapo juu; ukachagua mwaka na jina la mwanzisha thread na ukaanza kupitia nyuma kucatch up. Nikianza kucater kwa kila mtu nimtafutie nilichoandia mwaka 2006 nitakuwa nimejipa kibarua kingine. Thank Heaven wakainvent search feature ambayo kwa mtu asiyemvivu sana inachukua less than one minute kusoma vyote nilivyopost in the past six years or so.

kweli umepata escape route..Sasa nani afanye hiyo kazi kwa kitu kinachotaka majibu rahisi?Ili nini kukusaidia kujitetea?....yaani huwezi pata maneno machache ya kutosha jitetea?Kweli upo very vulnerable ndugu yangu.Wewe ndio unayeweza jua kwa urahisi wapi uliandika nini.Sasa waliofuatilia wanasema ume- change ni vipi utetezi wako utasaidia ktk mitizmo mipya uliyo nayo?Ha ha haaaaa .plse maintain consistency bwana.We kila sababu ni sababu ili mradi imekutoa ktk tatizo?Au unajionea aibu kurudia ulichoandika huko nyuma?..Ndio maana sisi huwa hatupendi kabila ya democrats.
 
Mzee Mwanakijiji kuna namna una udownplay ufisadi ndo maana kimsingi unaonekana umebadilika.

Ufisadi siyo kitu cha kudownplay hata siku moja,kuna namna umeusahau umasikini wa watanzania.Unanikumbushia rafiki yangu aliyekuwa akisema bongo imeendelea sana kila mara akitembelea,kumbe sababu kubwa ni kwamba ndugu zake na baadhi ya vijana wana endesha magari mazuri na biashara zao.

Nikagunduwa kumbe watanzania anaowazungumzia ni ndugu zake na marafiki zake,so sioni ajabu kwako wewe kuona ufisadi siyo big deal anymore.

Ndio jinsi wanavyofikiria wakiwa nje ya nchi, na wakija likizo wakipata magari mazuri bia za bure +vimatumaini vya kuja kuingia ktk siasa kwa kuwa hooked na watu fulani basi hudhani life ndivyo ilivyo kwa wengine,na wao ni hustlers and full of exposure...Soon utawasikia akina mlecela wakilalama kuwa nchi imebadilika sana,enzi yao ilikuwa nzuri.
 
Mzee Mwanakijiji kuna namna una udownplay ufisadi ndo maana kimsingi unaonekana umebadilika.

Ufisadi siyo kitu cha kudownplay hata siku moja,kuna namna umeusahau umasikini wa watanzania.Unanikumbushia rafiki yangu aliyekuwa akisema bongo imeendelea sana kila mara akitembelea,kumbe sababu kubwa ni kwamba ndugu zake na baadhi ya vijana wana endesha magari mazuri na biashara zao.

Nikagunduwa kumbe watanzania anaowazungumzia ni ndugu zake na marafiki zake,so sioni ajabu kwako wewe kuona ufisadi siyo big deal anymore.


What r u talking about?
 
kweli umepata escape route..Sasa nani afanye hiyo kazi kwa kitu kinachotaka majibu rahisi?Ili nini kukusaidia kujitetea?....yaani huwezi pata maneno machache ya kutosha jitetea?Kweli upo very vulnerable ndugu yangu.Wewe ndio unayeweza jua kwa urahisi wapi uliandika nini.Sasa waliofuatilia wanasema ume- change ni vipi utetezi wako utasaidia ktk mitizmo mipya uliyo nayo?Ha ha haaaaa .plse maintain consistency bwana.We kila sababu ni sababu ili mradi imekutoa ktk tatizo?Au unajionea aibu kurudia ulichoandika huko nyuma?..Ndio sisi huwa hatupendi kabila ya democrats.


Unanipa uwezo ambao haya malaika hana :kukunbuka kila thread nilitiandika na kila mchango kwenye thread. Sorry sina uwezo na hata ningekuwa nao siwezi kumuelekeza kika mtu katika kila swali ndio maana nimeshauri utumie search feature. Lakino kwa vile inaonekana ni gumu kwako nitaganya exception ya kuwa nakutafutia iliu usisumbuke. I'm a Republican.
 
Unanipa uwezo ambao haya malaika hana :kukunbuka kila thread nilitiandika na kila mchango kwenye thread. Sorry sina uwezo na hata ningekuwa nao siwezi kumuelekeza kika mtu katika kila swali ndio maana nimeshauri utumie search feature. Lakino kwa vile inaonekana ni gumu kwako nitaganya exception ya kuwa nakutafutia iliu usisumbuke. I'm a Republican.

Sijanona ulichojibu zaidi ya kutafuta sababu za kutoka nje ya topic tena.Nimependa kwenye bold.Kuna watu wakisema wanachosimamia sna haja ya kuchimba.Ila wewe kama Mkandara hamuaminiki,huwa mnajipa side tuu ili mnachokisema kipate uzito..Mnafuata potential...kuna sehemu ni CCM,kuna sehemu pa CDM mnatumia "..TU.."kama mmojawapo.Ni kawaida humu JF mtu akitaka potosha huanza kwa hizi patterns" ingawa mimi ni mfuasi/mshabiki wa so and so religion,tribe,party, team, sytem ila....so and so.. ". Sioni haja ya kulumbana na wewe kudai kuwa republican...ze star wewe unawakoroga sana watu kwa kurukaruka kwako vihunzi ndugu yangu.
 
What r u talking about?
Nimesema unau downplay ufisadi na madhara yake kwasababu ni kama umesahau umasikini wa watanzania uliosababishwa na ufisadi.Ndiyo maana unasema issue ya ufisadi yenyewe haitoshi kwa ccm kuondolewa madarakani.

Ndiyo nikatoa mfano wa kuhusu kujisahau na kuona kama tuna maendeleo sana kwasababu tu marafiki zetu,ndugu ama sisi wenyewe tuna maendeleo.Ni kuwa out of touch.
 
Nimesema unau downplay ufisadi na madhara yake kwasababu ni kama umesahau umasikini wa watanzania uliosababishwa na ufisadi.Ndiyo maana unasema issue ya ufisadi yenyewe haitoshi kwa ccm kuondolewa madarakani.

Ndiyo nikatoa mfano wa kuhusu kujisahau na kuona kama tuna maendeleo sana kwasababu tu marafiki zetu,ndugu ama sisi wenyewe tuna maendeleo.Ni kuwa out of touch.

Teh teh...mwenzetu ana theories nyingi sana,ila hajui ufisadi tuu wenyewe unatosha ondoa chama madarakani.Ndio maana nilimwambia kuondoa minyoo tuu kunatosha mfurahisha victim na kumpa uhuru kufikiria ajenge vipi afya yake.CCM wapo kama minyoo iliyokaa pale chakula kilichochunjwa kinapotakiwa nyonywa na mwili wa host.Wao hukuchukua chote.Hawezi pata picture kama anaishi maisha ya filamu na mizaha kama ya Michuzi wakati wengine wanaishi maisha ya kweli.Hapo juu mchangiaji kamuhesabia matawi mangapi kashiriki fungua...ila huyu jamaa hata kutumia hii platform na kalamu yake kuleta mabadiliko anakuwa mzuia mabadiliko.Im happy siku anaamka atakuta CCM haipo impe ujira wake.
 
Teh teh...mwenzetu ana theories nyingi sana,ila hajui ufisadi tuu wenyewe unatosha ondoa chama madarakani.Ndio maana nilimwambia kuondoa minyoo tuu kunatosha mfurahisha victim na kumpa uhuru kufikiria ajenge vipi afya yake.CCM wapo kama minyoo iliyokaa pale chakula kilichochunjwa kinapotakiwa nyonywa na mwili wa host.Wao hukuchukua chote.Hawezi pata picture kama anaishi maisha ya filamu na mizaha kama ya Michuzi wakati wengine wanaishi maisha ya kweli.Hapo juu mchangiaji kamuhesabia matawi mangapi kashiriki fungua...ila huyu jamaa hata kutumia hii platform na kalamu yake kuleta mabadiliko anakuwa mzuia mabadiliko.Im happy siku anaamka atakuta CCM haipo impe ujira wake.
Issue ya ufisadi na ambayo hata revolution ni justifiable,let it alone sanduku la kura,so ndiyo maana nimeshangazwa!
 
Issue ya ufisadi na ambayo hata revolution ni justifiable,let it alone sanduku la kura,so ndiyo maana nimeshangazwa!

Hii ni TZ watu wanabadilika kabla mbio hata hazijaanza....sijui wakimaliza mbio vitu vingapi hawataviamini.Hao mafisadi tunaowaona waliingia wakiwa wema sana.Sasa hivi hata wao hawajui wapi vitu vimeanza kuwa grey?Kwa vile walikuwa too naive kwa vitu wasivyovijua wala jitambua wao wenyewe na tamaa zao za tangu utotoni.Ukichangaya na mwanga hafifu basi kuhubiri vita ya ufisadi na kufanya ufisadi ni pua na mdomo.Najiuliza huyu jamaa yupo majuu, halafu kuna vitu kibao havipo clear kabisa katika fikra zake ingawa ktk media tayari ni superstar, sijui akina kajamba nani wakitishiwa na exposure watahimili kutetea vitu sahihi kweli?Eti ananiambia nikading ushahidi wake huko ambapo hata yeye hapajui,imagine anapewa mkataba huyu jamaa wenye maslahi ya nchi?Nilikuwa namsikiliza Le Mutuz ktk TV na kumsoma ktk facebook na huku, alikuwa na jeuri siku za mwanzo kunyamazisha kila mtu around,ila siku zilivyokwenda kuna vitu vikaanza kuwa clear,exposure bila misingi mizuri ni kuzidi haribu fikra na kupanda ujasiri juu ya upotofu.
 
Back
Top Bottom