Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Kilichoandikwa hapo juu kina ukweli fulani lakini si ukweli wote. Kwa hiyo hili ni kasa mnalishwa na Edson halafu nashangaa kuona MM hajalipinga.

Mimi nimesoma darasa moja na MM hapa Tanzania. Na alikuwa mwanamapinduzi wa dhati nilipokuwa naye. Hakusoma BA pale UDSM, bali alisoma kozi nyingine( kwa sasa naihifadhi). MM amesoma Masters ya Uchumi USA. Lakini sasa MM amebadilika. Tulipokuwa chuo kaka zetu waliotupika kuwa wazalendo ni kina Kitila Mkumbo ambaye wakati huo alikuwa Rais wa DARUSO. Jakaya Kikwete ni sisi tumechangia kwa kiasi kikubwa kumweka madarakani na ndio maana tunatamani tumtoe hata leo kwa jinsi alivyotusaliti. RIDHIWANI ANALIJUA VYEMA HILI. NCHIMBI NDIYO KINARA HASWA(MBA UDSM!!!!)

MMM alikuwa ni kiongozi wa DARUSO Kwenye wizara nyeti ( Naihifadhi kwa sasa). MM alifukuzwa pamoja nami kwenye mgomo wa mwaka ambao kulikuwa na uchaguzi wa Rais, Hivyo MM hakumaliza masomo yake TZ. Alipoenda marekani kwa jitihada za kuuza ng'ombe wa mama yake kijijini ndipo alipobadilisha masomo.

MM hakupitia Mbweni hivyo si mwajiriwa wa TISS hata kidogo! Huwezi kuwa Ofisa wa jeshi kwa kupitia kwa amiri jeshi mkuu bila kupita Monduli kwa JWTZ au Mbweni kwa kupitia TISS. Japo sikatai kuwa anaweza kutumiwa na TISS kama anavyotumiwa mgombea Urais wetu Zitto Zuberi Kabwe.( Sijui kama anakumbuka kiapo chetu pale nyumbani kwa mama yake Magomeni mwembechai- kwa sababu tume ya madini ya Kikwete ilimvuruga kabisa)

Kwa kifupi niseme tu hapa mnalishwa kasa na Edson, na jambo la pili ni kuwa kina MMM wana msemo wao huko wanakotumiwa kuwa 'every head has got a price tag on it'.
Du!, inaelekea japo hatukuwa intake moja, ila inaonyesha wakati nikiwa UD pia Mzee Mwakijiji alikuwepo!. Humu jf wengi wetu tunakabiliwa na tatizo kubwa sana la kutoukubali ukweli kewa kutumia "negation" na baadhi ya wasema ukweli kuwazushia!. Kuna watu wanaamini kila anaikosoa CDM ni CCM!. Au kwa vile mtu kama mimi japo nasisitiza sina chama, lakini napigia debe sana EL au Membe ndie ateuliwe mgombea wa CCM, basi mimi ni CCM!, na kwa vile mimi ni CCM, hivyo support yangu kuunga mkono matumizi ya demokrasia ndani ya CDM kwa kumuunga mkono ZZK kunazishiwa "bad faith"!.

Ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, utaweza kupatikana pale tuu tutakapo kubali kwa dhati kusimama kwenye ukweli, na ni ukweli ndio utatuset free toka madhila tuliyopo!. Kila siku napiga kelele humu. kuendelea kuiimbia Chadema nyimbo za sifa na mapambio!, hakuisaidii CDM. Mtakuja kukuta sisi tunaoipitisha kwenye tanuru la moto, ndio tunaisaidia zaidi kuliko hawa wanaiimbia mapambio kila kukicha!.

Tukubali, tukatae, Chadema bado haijajipanga kisawa sawa, na ikiendelea hivi hivi ilivyo, 2015 ni CCM tena!.
Nawaombeni tuukubali ukweli huu na kuufanyia kazi na sio kuukanusha tuu kwa "negation" na kuwazushia wasema ukweli kuwa ni "magamba", "wasaliti", "wametumwa", "wanafiki", "hawaitakii mema CDM" , etc, etc!.
P.
 
Ikiwa umesema utaisaidia CDM ishinde 2015 halafu huku unasema wana weakest ponts na huzitaji na wala hujasema unawasidia vipi kuondokana na hizo Weakness ni kama unangata na kupuliza hebu funguka mpwa?
 
Baada ya kufuatilia uzi huu, nadiriki kusema Mzee Mwanakijiji ni mmojawapo miongoni mwa makundi kinzani ndani ya CCM. Namnasabisha zaidi na wale wanaojiita ccm asilia.
Poleni sana wanamageuzi.
 
Last edited by a moderator:
Ikiwa umesema utaisaidia CDM ishinde 2015 halafu huku unasema wana weakest ponts na huzitaji na wala hujasema unawasidia vipi kuondokana na hizo Weakness ni kama unangata na kupuliza hebu funguka mpwa?
Kurunzi, kwa vile MM amefunguka sana humu mpaka jinsi alivyoisaidia CDM kwenye Ilani ya 2010, hii inamaanisha "he is inside man", hana sababu ya kuyaweka madhaifu ya Chadema hadharani!, huku kutakuwa ni kuzidi kuiaibisha Chadema na kuidhalilisha!.
P.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji kama utaniruhusu nikuulize kiswali cha kitoto tu kwa viwango vyako. Kama ikitokea kwamba CCM bado ikawa inachukiwa hivihivi ifikapo mwaka 2015 na CDM ikawa "inashabikiwa" hivihivi wakati huo na ikawa CDM bado haijajiweka sawa na kujiandaa vya kutosha "kustahili" kupatiwa madaraka. Uhusika wako kwenye siasa hasa za uchaguzi, hapo 2015 utakuaje? Tu-assume mazingira mengine kama vyama vingine kubakia constant(katika hali hii ya leo). Ahsante
 
Last edited by a moderator:
Mwaka 2005, Mwanakijiji alifanya kosa ambalo baadhi tulilifanya pia mwaka 1995. Mimi nilimuamini sana Mwalimu. Na kwa kuwa amekwishafariki nitaendelea kumwamini kwa mambo mengi aliyoyasimamia isipokuwa jambo moja tu: Kumsimamia Mkapa achaguliwe kuwa Rais wa NCHI hii. Nilipoona Mwalimu ameinuka na kuzunguka nchi nzima akimfanyia Mkapa kampeni nikadhani hapa tunampata Rais Msafi, mwadilifu, mtu, binadamu, mchapakazi na mkweli sana kama alivyokuwa Mwalimu. Nilidhani Mwalimu anamwelewa vizuri Mkapa na kwamba asingemwangusha wala kumbadilikia akishayapata madaraka ya URAIS. Haikuwa hivo.

Mwanakijiji naye aliamini Kikwete angeweza kuwa chachu ya mabadiliko kwenye safu ya viongozi wengi walioko CCM. Haikuwezekana. Mimi nilimshtukia Kikwete mapema tu baada ya kuona matumizi makubwa mno ya pesa katika kuusaka Urais wa JMT. Nakumbuka mwaka 1995 yeye na Lowasa walikodi ndege kwenda Dodoma kuchukua na kurudisha fomu za kuteuliwa na CCM ili wagombee Urais. Nikaangalia pia na aina ya watu wanaomzunguka Kikwete kumsaidia aupate Urais. Wengi wetu tuliomo humu nchini tukashangaa Kikwete na genge lake kutouvunja MTANDAO wake tangu mwaka 1995. Mtandao huu ukazidi kujiimarisha zaidi kimkakati, kimbinu na kifedha huku ukienea NCHI nzima. Wakafanikiwa mwaka 2005 kumuweka Kikwete madarakani. Nitashangaa kwa Mwanakijiji na weledi wake wote hakuwemo kwenye mtandao huu ambao ulienea hadi kwa baadhi ya Watanzania walioko nje ya nchi!

Kikwete hakuwa na jinsi. Alipoanza UTEUZI tu ikabidi amteue Lowasa kuwa Waziri Mkuu. Rostam akawa mweka hazina wa CCM! Wenye akili timamu tukajua NCHI inakwenda kusiko. Hawa jamaa wawili wameondoka kwenye nyadhifa hizi. Madhara na majeraha walioacha hayataki kupona. Hivi watu makini kama Mwanakijiji wangeacha kubadilika kweli?

Kwa ujumla sio Mwanakijiji peke yake aliyebadilika. Tupo wengi na wengine bado wamo ndani ya CCM kwa taabu na njaa zao tu. Nampongeza Mwanakijiji kwa kuwa yeye akibadilika anaandika. Anaonyesha wazi msimamo wake MPYA. Mwanakijiji wanafanana kidogo na Jenerali Ulimwengu.

Nilitegemea utamalizia kwa kusema Mwanakijiji ndiyo Jenerali Ulimwengu. Ungenisaidia sana kumaliza shauku yangu ya kutaka kujua Mzee Mwanakijiji ni nani. Kumbe wamefanana tu!
 
Kurunzi, kwa vile MM amefunguka sana humu mpaka jinsi alivyoisaidia CDM kwenye Ilani ya 2010, hii inamaanisha "he is inside man", hana sababu ya kuyaweka madhaifu ya Chadema hadharani!, huku kutakuwa ni kuzidi kuiaibisha Chadema na kuidhalilisha!.
P.

Hili limenishtua hata mimi. Maana anaonekana ni 'Insider' lakini wakati huohuo 'Outsider'. Anaamini katika CDM lakini wakati huohuo haiamini CDM.
 
Du!, inaelekea japo hatukuwa intake moja, ila inaonyesha wakati nikiwa UD pia Mzee Mwakijiji alikuwepo!. Humu jf wengi wetu tunakabiliwa na tatizo kubwa sana la kutoukubali ukweli kewa kutumia "negation" na baadhi ya wasema ukweli kuwazushia!. Kuna watu wanaamini kila anaikosoa CDM ni CCM!. Au kwa vile mtu kama mimi japo nasisitiza sina chama, lakini napigia debe sana EL au Membe ndie ateuliwe mgombea wa CCM, basi mimi ni CCM!, na kwa vile mimi ni CCM, hivyo support yangu kuunga mkono matumizi ya demokrasia ndani ya CDM kwa kumuunga mkono ZZK kunazishiwa "bad faith"!.

Ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, utaweza kupatikana pale tuu tutakapo kubali kwa dhati kusimama kwenye ukweli, na ni ukweli ndio utatuset free toka madhila tuliyopo!. Kila siku napiga kelele humu. kuendelea kuiimbia Chadema nyimbo za sifa na mapambio!, hakuisaidii CDM. Mtakuja kukuta sisi tunaoipitisha kwenye tanuru la moto, ndio tunaisaidia zaidi kuliko hawa wanaiimbia mapambio kila kukicha!.

Tukubali, tukatae, Chadema bado haijajipanga kisawa sawa, na ikiendelea hivi hivi ilivyo, 2015 ni CCM tena!.
Nawaombeni tuukubali ukweli huu na kuufanyia kazi na sio kuukanusha tuu kwa "negation" na kuwazushia wasema ukweli kuwa ni "magamba", "wasaliti", "wametumwa", "wanafiki", "hawaitakii mema CDM" , etc, etc!.
P.

Hahahaa..!! Siasa kweli si-hasa! Wenzetu mmejaaliwa kuwa na muda wa kutosha kufanya hii game kwani kwa namna moja au nyingine game lipo intertwined na mkate wa leo na maslahi ya kesho. Kwa sie wengine ambao tunaibia-ibia muda tu kuongea siasa inatuwia kazi ngumu kwelikweli. Anyways ndio mgawanyo wa majukumu huo lazima tuuheshimu.
Hii aya ni football analogy ya striker anawaambia mabeki wa opposing side jipangeni vizuri kuna mahala mmeacha gap nisije nikawafunga magoli mengi mechi ikakosa ushindani.
Kwetu sie wengine ni ngumu kweli kuwaamini. Too good to be true mzee. Pasco kweli usingependa CDM isambaratike kabla ya 2015 ili iwe rahisi zaidi kwa mgombea wako umpendaye EL?
 
Last edited by a moderator:
Kurunzi, kwa vile MM amefunguka sana humu mpaka jinsi alivyoisaidia CDM kwenye Ilani ya 2010, hii inamaanisha "he is inside man", hana sababu ya kuyaweka madhaifu ya Chadema hadharani!, huku kutakuwa ni kuzidi kuiaibisha Chadema na kuidhalilisha!.
P.

Then hakuwa na haja ya kusema kama haijajipanga. So far he has tried to potray kama ni mzalendo wa kweli and he stands for the truth and so it should right for us tusikie hayo madhaifu ili tujue whom to choose.
 
Hili limenishtua hata mimi. Maana anaonekana ni 'Insider' lakini wakati huohuo 'Outsider'. Anaamini katika CDM lakini wakati huohuo haiamini CDM.

Naanza kumhisi huyu jamaa ni Tiss"
 
Nimeshawajibu vya kutosha jamani. The rest ni kusoma maandiko yangu. Sina jipya lakuongeza mbona. Nawashukuru waluouliza na waliochangia. Mambo mengine ya myths na legends nitayaacha yalivyo.
 
Nimeshawajibu vya kutosha jamani. The rest ni kusoma maandiko yangu. Sina jipya lakuongeza mbona. Nawashukuru waluouliza na waliochangia. Mambo mengine ya myths na legends nitayaacha yalivyo.

sawa mzee mwanakijiji
Tukiwa na maswali ya kiudadisi tutakutumia PM...
 
Mzee Mwanakijiji,

Mie naomba nisaidie kidogo kuwaelimisha wana jamvi humu kuhusu wewe. Hii elimisha yangu ni kutokana na tulipotoka humu kwenye majamvi maana ni kama manne hivi mpaka leo. Na pia tukahusiana na mengine ya kibinafsi (nadhani unakumbuka).

MMM ni mzalendo, Mpenda nchi ya Tanzania kama ilivyo. Anaona mapungufu mengi yaliyopo kwenye serikali iliopo madarakani na kwenye wanaotaka kuirithi hiyo serikalini.

Mpenda nchi yeyote ni mwananchi lazima awe patriotic na lazima kwenye kupembenua chochote "aangalie pande zote mbili za shillingi).

Tatizo tulilonalo (asante Pasco umelizungumzia) wengi wetu ni kuwa kama unaipenda CCM basi hata ikichinja watu millioni moja na CDM wakikemea itabidi uipinge CDM (bishana mpaka kufa kuitetea Yanga theory🙂)

Kama ni mwana CDM basi kama CCM wakikuza uchumi kwa asilimia 1000 basi utatafuta angalau kosa la CCM la bibi kizee mmoja alieuwawa.

Hatuna utamaduni wa kusifia walio na itikadi tofauti. (mnasahau kua siasa sio uadui ni kama UTANI...watani wa jadi with some sense and seriousness)

MMM kama walivyo wengi wana mapinduzi wa mitandao niliowafahamu toka mwaka 2004 mwishoni kuelekea 2005 wapo very Objective. Mkandara ni mwingine. Mzee ES alikuwa wazi Invicible,sio Invisible na wengine wengi.

There is always a price tag...siwezi kumsemea MMM kwa asilimia 100 kwa 100. Ila sijaona mabadiliko ya kuweza kusema alikua CCM na sasa ni CDM.

Hapa juzi kati nilitaka kuingia CDM, nikasita nikasema ngoja nibakie sina chama. Sababu ni kuwa naona kama CDM hawajajipanga kwa vileeee!

Bado naona CCM wakishinda mwaka 2015. Hii ni prediction inayotokea na ujuzi wangu binafsi wa hizi chaguzi kuanzia 1995.

Apingaye na apinge lakini CDM hawajajipanga.
 
Mwanakijiji nadhani umejieleza sana vizuri tena sana. Lakini niliwahi kukutaka upime zaidi mawazo yako kwa manufaa ya Taifa. Kama ukiweza kuondoa kabisa ubinafsi wako katika fikra na maono yako kisiasa kuhusu Tanzania, utaona kuwa mpaka sasa hakuna sababu yoyote kubakia CCM maana si chama kitakacho leta mabadiliko yoyote kwa raia wa Tanzania, bali kitalenga tu kuleta mabadiliko ya vitu na siasa. Sasa nilitaka upime je kuendelea kukikataa chama pekee kilichojitutumua hadi leo kumvalisha paka kengele unalisaidia Taifa kiasi gani?
Je ungetumia umahiri na uzoefu wa kisiasa kukishauri hiki chama au chama kingine chochote ili kiimarike zaidi na kuepesha huo utabiri wako wa mgawanyiko isingekuwa manufaa zaidi kwa Taifa lako? Kwanini unataka kuona vimeshaundwa na vimeshaimarika ndiyo uingie kwa mbwembwe na sifa? Au usifu? Wakati wapiganaji wanapambana wewe unakaa pembeni na kuwabeza? NAdhani inafaa ukae ujiulize zaidi. Hawa CDM kazi wanayoifanya siyo ya kubeza hata kidogo. Kama unabisha jaribu kufuatana nao uombe kuwa mgeni rasmi, ukaone wanavyokumbana navyo. Nadharia ni nyingi mno kupitiliza kwenye hii makala yako. Tafadhali acha kunywa chai ndiyo uandike makala, anza kuandika ndiyo unywe chai!
Nawasilisha!


Ndugu MM,

Hii note ya mpenda TZ imeeleza na kupitiliza... Hata kwenu unapoona jirani adui anaunguliwa na nyumba halafu ukasimama na kuanza kunyooshea vidole badala ya kukimbilia mchanga na maji kuzima moto ni dhahiri tafsiri yake unatamani nyumba iteketee tena bila mtu mwingine kujua asijeuzima moto!.


MMM nimesoma maelezo yako kwa ufasaha yamekaa kinafiki sana! wewe kama mpiganaji kwanini unanyoosha vidole tu cdm??? kwanini usiibuke kama mwanaume ukawapa ushauri na mawazo kama ulivyowapa Tanzania Police force???? ni dhahiri kabisa unataka mabadiliko sikatai lakini kwa kutumia nguvu nyingi hivi kukosoa tuuuu bila kutoa wazo la kuokoa pale panapokwenda mrama inatafsirika kwamba wewe unahamu kuona nyumba ya jirani yako (cdm) ikiteketea!!!

Naona umeweka mpaka biography yako ya namna umefanya makubwa na mengine yamechukuliwa instantly na kuwekwa kwenye operations na labda zikaleta maendeleo, ni hatua kubwa sana hii!!! tena wewe basi uko popular kimantiki na kimaarifa kwahiyo ukiwaambia cdm sasa hivi wafanye nini naamini instantly watayabeba mawazo na michango yako nakuanza kuyapanga kwenye operation zao na nikuhakikishie cdm wanahamu yakusikia mapungufu yao na wanaham zaidi yakusikia na solutions za mapungufu hayo pia!!!

Lakini Mzee ukinyoosha vidole tuuu kama unavyofanya hapa basi wewe ni piper tu ambae nyuma yake kuna the payer anae determine the tune!!!
 
Du!, inaelekea japo hatukuwa intake moja, ila inaonyesha wakati nikiwa UD pia Mzee Mwakijiji alikuwepo!. Humu jf wengi wetu tunakabiliwa na tatizo kubwa sana la kutoukubali ukweli kewa kutumia "negation" na baadhi ya wasema ukweli kuwazushia!. Kuna watu wanaamini kila anaikosoa CDM ni CCM!. Au kwa vile mtu kama mimi japo nasisitiza sina chama, lakini napigia debe sana EL au Membe ndie ateuliwe mgombea wa CCM, basi mimi ni CCM!, na kwa vile mimi ni CCM, hivyo support yangu kuunga mkono matumizi ya demokrasia ndani ya CDM kwa kumuunga mkono ZZK kunazishiwa "bad faith"!.

Ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, utaweza kupatikana pale tuu tutakapo kubali kwa dhati kusimama kwenye ukweli, na ni ukweli ndio utatuset free toka madhila tuliyopo!. Kila siku napiga kelele humu. kuendelea kuiimbia Chadema nyimbo za sifa na mapambio!, hakuisaidii CDM. Mtakuja kukuta sisi tunaoipitisha kwenye tanuru la moto, ndio tunaisaidia zaidi kuliko hawa wanaiimbia mapambio kila kukicha!.

Tukubali, tukatae, Chadema bado haijajipanga kisawa sawa, na ikiendelea hivi hivi ilivyo, 2015 ni CCM tena!.
Nawaombeni tuukubali ukweli huu na kuufanyia kazi na sio kuukanusha tuu kwa "negation" na kuwazushia wasema ukweli kuwa ni "magamba", "wasaliti", "wametumwa", "wanafiki", "hawaitakii mema CDM" , etc, etc!.
P.

sasa mbona unarudiarudia conclusion yako bila premises?Sasa naona karibu ujipige kichwa ukutani ukitaka watu wakubali hii hoja mfu.Watu wanaweza kubali na isikusaidie.Sita alilia sana kuwa safu nyembamba, wakati CDM wanasema 1 CDm=30 magambaz.sasa huo wembamba ulikuwa kam aunathibitisha tuu uelewa wa magamba.Yaani ni kama mtu nayetaka usd 100 ziwe sawa na 100Tsh.
 
Ndugu MM,

Hii note ya mpenda TZ imeeleza na kupitiliza... Hata kwenu unapoona jirani adui anaunguliwa na nyumba halafu ukasimama na kuanza kunyooshea vidole badala ya kukimbilia mchanga na maji kuzima moto ni dhahiri tafsiri yake unatamani nyumba iteketee tena bila mtu mwingine kujua asijeuzima moto!.


MMM nimesoma maelezo yako kwa ufasaha yamekaa kinafiki sana! wewe kama mpiganaji kwanini unanyoosha vidole tu cdm??? kwanini usiibuke kama mwanaume ukawapa ushauri na mawazo kama ulivyowapa Tanzania Police force???? ni dhahiri kabisa unataka mabadiliko sikatai lakini kwa kutumia nguvu nyingi hivi kukosoa tuuuu bila kutoa wazo la kuokoa pale panapokwenda mrama inatafsirika kwamba wewe unahamu kuona nyumba ya jirani yako (cdm) ikiteketea!!!

Naona umeweka mpaka biography yako ya namna umefanya makubwa na mengine yamechukuliwa instantly na kuwekwa kwenye operations na labda zikaleta maendeleo, ni hatua kubwa sana hii!!! tena wewe basi uko popular kimantiki na kimaarifa kwahiyo ukiwaambia cdm sasa hivi wafanye nini naamini instantly watayabeba mawazo na michango yako nakuanza kuyapanga kwenye operation zao na nikuhakikishie cdm wanahamu yakusikia mapungufu yao na wanaham zaidi yakusikia na solutions za mapungufu hayo pia!!!

Lakini Mzee ukinyoosha vidole tuuu kama unavyofanya hapa basi wewe ni piper tu ambae nyuma yake kuna the payer anae determine the tune!!!

kuna sehemu Mkandara enzi hizo alikuwa akijibainisha kama great thinker alikuwa akishauri CDM wamchukue MMK ili akawasaidie.Niliwahi muuliza sehemu mkandara km ana ushahidi kuwa MMK alivyo machachari kwa CDM si huo ushauri ulimuaffect na hakupenda CDM walivyo potezea?Mkandara kama kawa aliplay kamikaze zake mwishowe akaanza susa km Mentor wake.

Naona CDM wapo sahihi na makini sana kwani hali inavyoonekana MMK hakufaa CDM na hadi sasa Hafai kuwa kiongozi wa CDM.Kama amekimbia maswali kibao humu ndani na katishia susa, ni wazi hii ni issue.
 
FP, duh na wewe mkuu umeibuka. Unajua watu wanafikiria haya tumeanza leo au tumeanza jana au tumeanza baada ya umaarufu wa CDM kuja. WEngine wanafikiria kuwa kwa vile CDM ina umaarufu basi watu wote wanaotaka mabadiliko ni lazima washike vyeteso vya ubani na kufukiza uvumba mbele zake. Kuungwa mkono kwa CDM kutokana na zaidi ya mapenzi.

lakini si umeniambia kuwa umeanza jikita kuisaidia CDM wa vile imeonyesha ina potential ya kuchukua nchi,na kupendwa na watu?Sasa kuna tofauti gani na hili la umaarufu? Sasa mkuu mbona una crash haraka hivi?Au ndio mwendo wa kurukaruka kama kangaroo?Au swala,kwa sababu swala huwa anakimbia huku akirukaruka,mwishowe husikia raha akadhani yupo ktk gemu,halafu huanza mbio zisizo na malengo na kumfanya predator asubiri kikiwa juu,kinaposhuka anakitafuna tuu.Sasa wewe ndicho unachofanya hapa umekimbia maswali yangu yoote,halafu ukaja angukia hapa.Kupendwa na watu wengi kuna proportionality na umaarufu ndugu yangu.

Hembu tazama hapa kukumbushana
..........................

Lakini na pili na hili ni kubwa sana natumaini utalizingatia; wengi ambao tumekuja kuiunga mkono CDM na kuisaidia tunafanya hivyo kwa sababu ya kuamini kuna potential ya kuweza kuja kushika madaraka. Ni potential hii ambayo inawapa watu wengi matumaini kuwa CDM ikitulia, ikajipanga na kujitengeneza kweli inaweza kuwa chama cha kuweza kushika madaraka. Sasa usifikirie kupendwa kunakotokana na hili kunatosha. La hasha! Na itakuwa ni makosa makubwa zaidi kufurahia vigelegele, chereko na shangwe na kuamini kuwa hawa watu watakuwa pale siku zote kwa vile CDM inapendwa.

...............

Sasa unasema nini mkuu hapa?Ndio maana nachukia sana Masomo ya UDSM.Masomo ya vita baridi no hovyo sana hasa upande wa ujamaa.
 
Mzee Mwanakijiji,

Mie naomba nisaidie kidogo kuwaelimisha wana jamvi humu kuhusu wewe. Hii elimisha yangu ni kutokana na tulipotoka humu kwenye majamvi maana ni kama manne hivi mpaka leo. Na pia tukahusiana na mengine ya kibinafsi (nadhani unakumbuka).

MMM ni mzalendo, Mpenda nchi ya Tanzania kama ilivyo. Anaona mapungufu mengi yaliyopo kwenye serikali iliopo madarakani na kwenye wanaotaka kuirithi hiyo serikalini.

Mpenda nchi yeyote ni mwananchi lazima awe patriotic na lazima kwenye kupembenua chochote "aangalie pande zote mbili za shillingi).

Tatizo tulilonalo (asante Pasco umelizungumzia) wengi wetu ni kuwa kama unaipenda CCM basi hata ikichinja watu millioni moja na CDM wakikemea itabidi uipinge CDM (bishana mpaka kufa kuitetea Yanga theory🙂)

Kama ni mwana CDM basi kama CCM wakikuza uchumi kwa asilimia 1000 basi utatafuta angalau kosa la CCM la bibi kizee mmoja alieuwawa.

Hatuna utamaduni wa kusifia walio na itikadi tofauti. (mnasahau kua siasa sio uadui ni kama UTANI...watani wa jadi with some sense and seriousness)

MMM kama walivyo wengi wana mapinduzi wa mitandao niliowafahamu toka mwaka 2004 mwishoni kuelekea 2005 wapo very Objective. Mkandara ni mwingine. Mzee ES alikuwa wazi Invicible,sio Invisible na wengine wengi.

There is always a price tag...siwezi kumsemea MMM kwa asilimia 100 kwa 100. Ila sijaona mabadiliko ya kuweza kusema alikua CCM na sasa ni CDM.

Hapa juzi kati nilitaka kuingia CDM, nikasita nikasema ngoja nibakie sina chama. Sababu ni kuwa naona kama CDM hawajajipanga kwa vileeee!

Bado naona CCM wakishinda mwaka 2015. Hii ni prediction inayotokea na ujuzi wangu binafsi wa hizi chaguzi kuanzia 1995.

Apingaye na apinge lakini CDM hawajajipanga
.
Pole sana.kwanza unajipendeza,pili unadhani kuwa na historia ndeefu kunamaanisha kuwa mlikuwa sahihi,tatu ktk red kunaonyesha jinsi hani footer yako "A positive thinker!",inavyopingana na kujihami kwako kuliko kama wenzako wanaopenda jibainisha upande mwingine na kumalizia vibay.Siku hizi huwa nasoma hizi posting zenu kuanzia chini kwanza.Kwa vile juu huwa hakuna connection na malengo yako wala habari yako.

mwisho sema ni wapi hawaajipanga?Na nini ni solution zako ambazo unadhani CDM hawajawahi zifikiri.Sitaki blah blah.
 
Back
Top Bottom