INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,037
- 1,448
Naomba niulize.. Hv ukipandishwa cheo waweza kushushwa pia??
Just ni ndio ingawa pia ni nadra,haunagi askari akivuliwa nyota?Naomba niulize.. Hv ukipandishwa cheo waweza kushushwa pia??
Ni alikuwa Major General two starsHivi quasim alikua general wa nyota ngapi
Jamaa anasuka timu ya ushindi wa kikandaTutarajie mabadiliko kwenye safu ya uongozi wa vyombo vya usalama
General Collin Powell alikua 5 stars au nakoseaNi alikuwa Major General two stars
AnhaaaNdio maana yake. Kuna Promotion na Demolition.Hujawahi kuskia mahakama za kijeshi?
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Wanapata mshahara mmoja wa cheo chao jeshini na poshi ya cheo cha kuteuliwaMimi naomba kujua kuhusu MASLAHI yao. Ina maana wanakula mishahara Mara mbili?? Kwa maana ya mshahara wa jeshini na wizara?? Naomba wajuvi mnijuze
Collin Powell cheo chake alikuwa ndio General (4star). Ndio maana kule mwanzoni nilisema usiseme general tu pekee bila kusema kama ni major general.General Collin Powell alikua 5 stars au nakosea
Kweli kabisaGeneral Collin Powell alikua 5 stars au nakosea
Huna uhakika na unachosemea kweli kabisa.Kweli kabisa
Mbuge bwana alikuwa CO wangu bhana....yule jamaa anapga kazi kupita maelezo alaf ni mnaa kupita neno lenyewe, ikipta wiki hujapata KZ kutoka kwa jamaa.......ujue umetukuka.Hongera Sana General Mbuge, kwa Hakika umestahili, Allah akutangulie ktk cheo chako kipya!
Poleni sanaMbuge bwana alikuwa CO wangu bhana....yule jamaa anapga kazi kupita maelezo alaf ni mnaa kupita neno lenyewe, ikipta wiki hujapata KZ kutoka kwa jamaa.......ujue umetukuka.
Nina matumaini unajua fika kuwa jeshi letu material ya uafisa na maafisa wote wa mwanzo walifunzwa academy za kijeshi katika mataifa yaliyopo chini ya British Royal crownMaoni yako hayana ukweli kabisa; Vyeo vya kijeshi kuanzaia Second Lieutenant hadi Lieutenant Colonel huenda kwa ngazi kwa vile kila cvheo kina kozi yake, lakini kuanzai Colonel na kuendelea, yaani wale wenye godgets nyekundu kwenye collar, hawana kozi ya cheo bali kisheria ni Uamuzi wa Amiri jeshi tu, ingawa kwa jumla anaweza kuwa amashauriwa na uongozi wa juu wa Jeshi. Mifano ya namna hiyo imetokea mingi sana hapa Tanzania, siyo leo mingine ni tangua uasisis wa taifa hili. Nyerere alimpandishs Sarakikya kutoka cpteni kuwa Brigedier, Nyerere alimpandisha Twalipo kutoka Luteni Kanali kuwa Luteni General, huku jeshi halina hata Major General mmoja zaidi ya Sarakikya. Marehemu Nsa kaisi alipanda cheo kutoka Cadet kuwa Kanali, Moses Nnaye alipanda Cheo kutoka cadet Kuwa Kanali
Mkuu anapewa mkubwaWanapata mshahara mmoja wa cheo chao jeshini na poshi ya cheo cha kuteuliwa
Huwa wanalipwa ule mzitoMimi naomba kujua kuhusu MASLAHI yao. Ina maana wanakula mishahara Mara mbili?? Kwa maana ya mshahara wa jeshini na wizara?? Naomba wajuvi mnijuze
Kuna jamaa anaitwa Major Msira wakat huo walikuwa rank sawa but madaraka tofaut.... huyo major bhana alipigwa KZ gurd getin ...main entrance ya kikosini two weeks, Mbuge alikuwa anamkubali RSM tu pale wengne ni mwendo wa drill dakika 45 na KZ deadly, watu walikuwa na nidhamu ya juu kupita kiasi.Poleni sana
Kwa hiyo madoso watu wanachezea sana akiwa CO?
Vipi maafisa nao huwa anawahenyesha?
Raia hawez jua sana mambo ya kijeshi....kifupi ni kuwa ukijua hata kiapo cha kijeshi unavoapa uku umeshika bunduki,huwez hoji kuhusu mamlaka ya Prezdaa kufanya chochote kwa askari wake, Mr president ndo last say, no comment! Ni NDIYO basi.Muwe mnasoma katiba inasema vipi wakuu,,, mi nnachoona Ni kwamba Raisi anatumia mamlaka yake ya kikatiba,,, JK alikua hatumii mamlaka yake vizuri,, huyu mzee baba ndio mtaalamu Sasa,,, hata private anaweza akawa lutenant Kama tu Raisi ameona anafaa,,
Muingereza ambae tunafuata utamaduni wake na sheria zake yeye kupanda ngazi moja hadi nyingine kijeshi ni muda wa miaka mitatu na pia angalia na mataifa mengine makongwe huwezi kupanda kutoka brigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi