Profile la Mwanamke anayehangaikia Ndoa

Profile la Mwanamke anayehangaikia Ndoa

baki na mkeo usimfanyie kitu chochote mbona simple?!!
Sasa hauwezi kuishi na mwanamke bila kumtendea mazuri hata wewe pia the same huwezi ishi na mwanaume bila kumtendea mazuri. Upendo hautumii nguvu kuufanya uwe active. Kwanza upendo ni kujazia pale mwenzako amepungukiwa na sio kulazimisha kupewa kile mwenzako hawezi mudu kukupatia au kipo nje ya uwezo wake kwa wakati unaomba.

Mfano Mwanaume hawezi kumudu kukununulia iPhone 14 then useme hakupendi tu kwasababu ameshindwa kukupa matamanio yako kwa wakati huo. Au kutaka mwanaume amiliki mali kama gari na nyumba na wakati huo hajaweza kumudu hizo vitu kisha ukasema hakupendi kisa hamiliki hizo vitu
 
Hahahah wewe unajua mkeo ndio mwenye sura personal, na ninayoongea yote yanakuingia vilivyo, wewe shukuru she was abused alivyokua mdogo ndio maana akakubalia kuwa na wewe, la sivyo ungekufa kwa upweke manake hamna mwanamke anayejielewa akakubali kuwa na wewe....

Eti sura personal, weka hapo picha ya mkeo, waseme kama hana sura la kiume, tena mandonga mtu kazi kabisaa hahahaaaaaaaaaaaaa

Nataka tulinganishe Sura yako na yangu Kwanza kama kipimo cha awali.😀😀

Ukinishinda Mimi basi umemshinda MKE wangu,

Hakuna Mwanamke mwenye Sura nzuri akawa na muda wa kuhangika kuandika maujumbe marefu huku jamii forum.
Wanawake wazuri wanadharau na wanajiamini, huo muda wa kujibishana na Mimi au na watu humu mtandaoni hawawezi kuupata.

Ndio maana nikakuambia wewe ni zile Sura nzito, lakini sio dhambi Kwa sababu hata wewe haukupenda
 
wa kunifunda nani??? ni huyo bwege mnayemuita taikuni? unaota wewe
Mafunzo yake ni msaada mkubwa sana kwa wanawake kama wewe ambao bado hamjatambua misingi ya jamii ya mwafrika inatakaje yaani mnaishi tu kuexist ila changamoto za kimahusiano zinawapa kisukari,pressure na soon ukichaa utawapata.
 
Hahahah wewe unajua mkeo ndio mwenye sura personal, na ninayoongea yote yanakuingia vilivyo, wewe shukuru she was abused alivyokua mdogo ndio maana akakubalia kuwa na wewe, la sivyo ungekufa kwa upweke manake hamna mwanamke anayejielewa akakubali kuwa na wewe....

Eti sura personal, weka hapo picha ya mkeo, waseme kama hana sura la kiume, tena mandonga mtu kazi kabisaa hahahaaaaaaaaaaaaa
Tuachane na mke wa taikuni tujiweke kwenye mada zaidi na kujadili lililopo mezani. Maana mke wa Taikuni hata hakujui wala hajui kama unamsema hapa muda huu.
 
Nataka tulinganishe Sura yako na yangu Kwanza kama kipimo cha awali.😀😀

Ukinishinda Mimi basi umemshinda MKE wangu,

Hakuna Mwanamke mwenye Sura nzuri akawa na muda wa kuhangika kuandika maujumbe marefu huku jamii forum.
Wanawake wazuri wanadharau na wanajiamini, huo muda wa kujibishana na Mimi au na watu humu mtandaoni hawawezi kuupata.

Ndio maana nikakuambia wewe ni zile Sura nzito, lakini sio dhambi Kwa sababu hata wewe haukupenda
Usitoke kwenye mjadala, kilichokuwa kinagombanishwa kiurembo ni mke wa taikoni na anita na sio anita na taikoni, naona huwezi kuweka picha yake kwa vile hujiamini, na hujiamini sababu UNAJUA mkeo ni mbaya, sura lake zitooo hujui kama ni mwanaume au mwanamke.... na ni mbaya kweli ndio maana hana CONFIDENCE ,confidence ya kupata mwanaume mzuri, well rounded ndio maana akaishia kuwa na makapi kama wewe kama mumewe...

Usinipangie cha kuandika humu, hunilipii bando mpuuzi wewe!
 
Tuachane na mke wa taikuni tujiweke kwenye mada zaidi na kujadili lililopo mezani. Maana mke wa Taikuni hata hakujui wala hajui kama unamsema hapa muda huu.
Nimekuambia angalia flow ya chat na wewe utajua kwa nini mke wa taikuni kaingia hapa, au umeamua kuwa biased sababu ni msukule wa taikuni?
 
Mafunzo yake ni msaada mkubwa sana kwa wanawake kama wewe ambao bado hamjatambua misingi ya jamii ya mwafrika inatakaje yaani mnaishi tu kuexist ila changamoto za kimahusiano zinawapa kisukari,pressure na soon ukichaa utawapata.
Huyo mchukia wanawake ana mafunzo kwa misukule kama wewe.
 
Usitoke kwenye mjadala, kilichokuwa kinagombanishwa kiurembo ni mke wa taikoni na anita na sio anita na taikoni, naona huwezi kuweka picha yake kwa vile hujiamini, na hujiamini sababu UNAJUA mkeo ni mbaya, sura lake zitooo hujui kama ni mwanaume au mwanamke.... na ni mbaya kweli ndio maana hana CONFIDENCE ,confidence ya kupata mwanaume mzuri, well rounded ndio maana akaishia kuwa na makapi kama wewe kama mumewe...

Usinipangie cha kuandika humu, hunilipii bando mpuuzi wewe!

Sasa kama Mimi niliyemwanaume haunishindi, huyo MKE wangu utamshinda?

Na najua ushaangalia Avatar yangu 🤣🤣 umeshagundua ni kweli nimekuzidi licha ya kuwa ninasura ngumu yakiume lakini bado hutoboi. Sasa Huko Kwa MKE wangu utakiweza kina chake?

Hata turudi kwenye Uzi wenyewe, maana umekuja na hasira zako zisizo na kichwa wala miguu. Nami nimekupokea ulivyokuja.
 
Sasa kama Mimi niliyemwanaume haunishindi, huyo MKE wangu utamshinda?

Na najua ushaangalia Avatar yangu 🤣🤣 umeshagundua ni kweli nimekuzidi licha ya kuwa ninasura ngumu yakiume lakini bado hutoboi. Sasa Huko Kwa MKE wangu utakiweza kina chake?

Hata turudi kwenye Uzi wenyewe, maana umekuja na hasira zako zisizo na kichwa wala miguu. Nami nimekupokea ulivyokuja.
Naona unaaga, ndio UKOME, next time mlinganishe mkeo na wewe mwenyewe kwa urembo, usimlinganishe na mrembo kama anita, manake ni kichekesho, ni sawa na kulinganisha jua na giza, nilijua tu, mke wa taikoni awe mrembo??!.. thubutuuuuu..... warembo hawawezi kuwa na lifala kama wewe, that is to say wewe sio wa level yangu, kaa kwa kutulia.
 
Naona unaaga, ndio UKOME, next time mlinganishe mkeo na wewe mwenyewe kwa urembo, usimlinganishe na mrembo kama anita, manake ni kichekesho, ni sawa na kulinganisha jua na giza, nilijua tu, mke wa taikoni awe mrembo??!.. thubutuuuuu..... warembo hawawezi kuwa na lifala kama wewe, that is to say wewe sio wa level yangu, kaa kwa kutulia.

Mimi sio WA level yako kweli Kwa sababu;
1. Wewe sio mzuri wa Sura wala maumbile
2. Huna Akili ya kutosha ndio maana unawaza makope, makucha ATI ndio uzuri na urembo🤣🤣.
3. Ni Maskini, ndio maana unawaza fedha za wanaume badala ya kufanya kazi.

Subiri level zako Anitha, pigania ndoto yako. Itatimia TUU
 
najua kila mchango niliouweka hapa, usifosi nione tofauti.

Wanawake wazuri wamekaa kimya wanakuona unavyohaha huku🤣🤣
Nimeshakuambia wewe ungekuwa mzuri usingeweza hata kuandika mapogu yote humu.
Pia ungekuwa na kipato, usingekuwa na muda wa kujitetea humu na kujilinganisha na wake za Watu ambao hata waume zao huwafikii Kwa Uzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom