MACHONDELA
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 937
- 1,566
Kwamba wewe ni Mzuri na Mrembo waje wakuoe!???Mimi pia ni mzuri na handsome na kataa Ndoa njoo uniue sasa
Wanaume wazuri wapo.Yaan wewe unamtoa knockout mwanamke kwa Uzuri yaani wewe wajisifu umzuri kuliko huyo mwanamke je kwa uzuri wako huo boyfriend wa huyo dada aje kukuchumbia???
Jamani nacheka kama mazuri walai
Kwa hiyo na wewe Azarel ni Mzuri na Mrembo!!Wanaume wazuri wapo.
Biblia inasema. . ''Naye Yusufu alikuwa Mzuri wa sura''
Inamaana wazuri na wabaya wa sura wapo.
Hilo la Mimi kuwa Mzuri na Mrembo umesema wewe wala sio MimiKwa hiyo na wewe Azarel ni Mzuri na Mrembo!!
Nachoka kabisa
Hapo umenifurahisha, kwa Dunia yetu hii kataa kata kata Mwanaume kujinasibu Uzuri yaani kataa tena kataaa.... hayo mambo ya Biblia ni ya karne za kwanza kwanza huko sisi tupo karne ya 21 kizazi jeuri, kizazi kilicho data.Hilo la Mimi kuwa Mzuri na Mrembo umesema wewe wala sio Mimi
Mimi nilichosema Biblia inamwelezea Yusufu na Daudi kuwa walikuwa Wazuri wa Sura
Nakazia mkuu.Wanaume wazuri wapo.
Biblia inasema. . ''Naye Yusufu alikuwa Mzuri wa sura''
Inamaana wazuri na wabaya wa sura wapo.
Inawezekana, Nafikiri Biblia ilitumia neno Wazuri ila sasahivi kwa Wanaume ndio wanatumia Mtanashati (Handsome) na kwa Wanawake Mrembo (Beautiful)Hapo umenifurahisha, kwa Dunia yetu hii kataa kata kata Mwanaume kujinasibu Uzuri yaani kataa tena kataaa.... hayo mambo ya Biblia ni ya karne za kwanza kwanza huko sisi tupo karne ya 21 kizazi jeuri, kizazi kilicho data.
Hapo umenifurahisha, kwa Dunia yetu hii kataa kata kata Mwanaume kujinasibu Uzuri yaani kataa tena kataaa.... hayo mambo ya Biblia ni ya karne za kwanza kwanza huko sisi tupo karne ya 21 kizazi jeuri, kizazi kilicho data.
ExactlyWanaume wazuri wapo.
Biblia inasema. . ''Naye Yusufu alikuwa Mzuri wa sura''
Inamaana wazuri na wabaya wa sura wapo.
Haha libishi hilo.Ingekuwa vizuri kuweka Hoja yako kimantiki ili ilete maana, lakini kama ni Mtazamo au Maoni ni vizuri kusema haya ni Maoni tuu au wanaita Mapokeo.
Wapo wanaume wazuri wa Sura wanaokushinda hata wewe.
Haha libishi hilo.
Mi nashaangaa kwani mbona kuna wanawake wanasifia wanaume sijui wanasemaga.
Yule kk handsome boy hayo mambo yapo tu mbona hilo Lidada likaza fuvu tu na usagaji wake ptuuuh
🤣mbona hilo Lidada likaza fuvu tu na usagaji wake ptuuuh
Na uf3 kabisa. Siyo kuchoka pekee tuKwa hiyo na wewe Azarel ni Mzuri na Mrembo!!
Nachoka kabisa
Kama nani na kwa mamlaka kutoka kwa nani unasema wanaume wakatae kuitwa handsome? Huna cheo chochote serikalini, malalahoi na mbangaizaji. Kaa kimya!!!Hapo umenifurahisha, kwa Dunia yetu hii kataa kata kata Mwanaume kujinasibu Uzuri yaani kataa tena kataaa.... hayo mambo ya Biblia ni ya karne za kwanza kwanza huko sisi tupo karne ya 21 kizazi jeuri, kizazi kilicho data.
Umebadili profile ili kuonesha uzuri na urembo wakoIngekuwa vizuri kuweka Hoja yako kimantiki ili ilete maana, lakini kama ni Mtazamo au Maoni ni vizuri kusema haya ni Maoni tuu au wanaita Mapokeo.
Wapo wanaume wazuri wa Sura wanaokushinda hata wewe.
Sawa cha urembo na cha uzuri,Haha libishi hilo.
Mi nashaangaa kwani mbona kuna wanawake wanasifia wanaume sijui wanasemaga.
Yule kk handsome boy hayo mambo yapo tu mbona hilo Lidada likaza fuvu tu na usagaji wake ptuuuh