Profile la Mwanamke anayehangaikia Ndoa

Profile la Mwanamke anayehangaikia Ndoa

Mimi sio WA level yako kweli Kwa sababu;
1. Wewe sio mzuri wa Sura wala maumbile
2. Huna Akili ya kutosha ndio maana unawaza makope, makucha ATI ndio uzuri na urembo🤣🤣.
3. Ni Maskini, ndio maana unawaza fedha za wanaume badala ya kufanya kazi.

Subiri level zako Anitha, pigania ndoto yako. Itatimia TUU
tulia wewe, wewe ni level za wale wasiojua kujiremba wananuka kama mambuzi.. ndio level zako ..sio wa level yangu kama ni uzuri nimekuambia sio mkeo wala dada zako hawanifikii kwa urembo...eti sina akili ya kutosha...ningekuhangaisha na mashudu yako????.....masikini ni wewe na ndugu zako huko!
 
Wanawake wazuri wamekaa kimya wanakuona unavyohaha huku🤣🤣
Nimeshakuambia wewe ungekuwa mzuri usingeweza hata kuandika mapogu yote humu.
Pia ungekuwa na kipato, usingekuwa na muda wa kujitetea humu na kujilinganisha na wake za Watu ambao hata waume zao huwafikii Kwa Uzuri.
hahaha eti wanawake wazuri wamekaa kimya???unadhania unaweza kuni manipulate that easily??? wakae kimya...mimi ni mzuri ndio, na limkeo ni libaya... THESE ARE TWO FACTS deal with it....kipato changu hakikuhusu wewe mpuuzi sijakuomba hela ya chumvi...
 
Hiyo habari wale TAWLA waisome kwenye faili.
Maana wao ndio wapigania ndoa na sio wanaoziishi ndoa
 
Nimemuambia yey ni Mbaya alafu ni ukweli ndio maana yupo hivyo. Anahaki.
Sasa nimemuambia Huko Kwa MKE wangu ni Mbali.
Kwani Kwa Sura yake hata Mimi namtoa knockout. Ndio kawa mbogo hapa🤣🤣
hahahha na nimekuambia mkeo ndio mbaya na ni UKWELI, na unaujua ni UKWELI...eti unataka kujilinganisha urembo na mwanamke wewe una vinasaba vya ushoga
 
Kwamaelezo ya mleta mada ninaweza kuandika kwakifupi sana kwamba ndoa ni tendo la hiari na lisilo la bahati mbaya. Kwamsingi huo wanandoa nilazima
1. Wapendane kwa dhati pasi na shuruti
2.Wajengane katika hali na nyakati zote
3. Waathiriane kimazingira,kifikra/mtazamo,kiuchumi,kiafya nk
4. Wabebane katika hali zote
5. Wategemeane
 
Usiipe kipaumbele hio negativity ya ",kupigwa tukio". Mwanamke ambaye hajishughulishi hata ikija kutokea nimetangulia mbele za haki atashindwa kuiongoza familia mwisho wa siku uzao wako unakuwa wa ajabu
Nikweli mkuu,limwanamke ambalo halitaki kujikita ktk kuzalisha mali bali lenyewe limejikita ktk kuhudumiwa nammewe kwagua ya kua lenyewe nimdoli kama anavyowaita taikoni,hata ukitangulia mbele zahaki mapema haliwezi kulea watoto lililowazaa lenyewe maana halijui pakuingilia wala pakutokea.nirahisi kurubunika nakudanganyika mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahha na nimekuambia mkeo ndio mbaya na ni UKWELI, na unaujua ni UKWELI...eti unataka kujilinganisha urembo na mwanamke wewe una vinasaba vya ushoga

Ndio Sura Personal mawazo Yao yalivyo.

Sasa kama unasura ya Baba yako Kwa nini wanaume wasijilinganishe na wewe Kwa habari za Sura.
 
Ndio Sura Personal mawazo Yao yalivyo.

Sasa kama unasura ya Baba yako Kwa nini wanaume wasijilinganishe na wewe Kwa habari za Sura.
hahha mashoga peke yao ndio hujilinganisha na wanawake kiurembo, that is to say TAIKONI SHOGA!....anti Robby
 
Mkuu hii mama ni yakawaida mno master tatizo hamsalimii watu kuna machimbo yana toto za moto ,huyu ni taka taka na hautumii ata 10000 ikaisha ,nenda karatu na mbulu utakuja nishukuru master.
Ngoja nimalize chuo nikaruke huko
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Leo ni Leo.
Nimekuambia wewe ni Sura personal, Mimi mwenye nakutoa Knockout, Kwa MKE wangu ni Mbali.
Maelezo yako yote ungetakiwa uweke hata kapicha kako, au weka hata avatar yenye picha yako, hata Kwa dakika moja kama unajiamini.
Vinginevyo utaendelea kushusha povu humu lakini haitabadili lolote kuwa wewe ni Sura personal.

[emoji6][emoji6]
Oshey mr [emoji383]
 
hahaha eti wanawake wazuri wamekaa kimya???unadhania unaweza kuni manipulate that easily??? wakae kimya...mimi ni mzuri ndio, na limkeo ni libaya... THESE ARE TWO FACTS deal with it....kipato changu hakikuhusu wewe mpuuzi sijakuomba hela ya chumvi...

Huna uzuri wowote. Acha kujidanganya, ukweli wote unaijua.
Mpaka ujibust Kwa vipodozi na bado vinadundašŸ˜€šŸ˜€
 
tulia wewe, wewe ni level za wale wasiojua kujiremba wananuka kama mambuzi.. ndio level zako ..sio wa level yangu kama ni uzuri nimekuambia sio mkeo wala dada zako hawanifikii kwa urembo...eti sina akili ya kutosha...ningekuhangaisha na mashudu yako????.....masikini ni wewe na ndugu zako huko!

🤣🤣🤣
Ndio maana nikasema huna kigezo cha Akili.
Tofautisha urembo na Usafi šŸ˜€šŸ˜€
Tofautisha uzuri na urembo.
Wewe sio mzuri ndio maana unalazimisha uhudumiwe ili urembwe walau uonekane onekane.
Wazuri hawahitaji urembo. Uliza popote.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Leo ni Leo.
Nimekuambia wewe ni Sura personal, Mimi mwenye nakutoa Knockout, Kwa MKE wangu ni Mbali.
Maelezo yako yote ungetakiwa uweke hata kapicha kako, au weka hata avatar yenye picha yako, hata Kwa dakika moja kama unajiamini.
Vinginevyo utaendelea kushusha povu humu lakini haitabadili lolote kuwa wewe ni Sura personal.

[emoji6][emoji6]
Yaan wewe unamtoa knockout mwanamke kwa Uzuri[emoji15][emoji848] yaani wewe wajisifu umzuri kuliko huyo mwanamke je kwa uzuri wako huo boyfriend wa huyo dada aje kukuchumbia???

Jamani nacheka kama mazuri walai [emoji1]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom