Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 10,999
- 23,499
Labda kama haujui matokeo ya hizo changamoto ni ulaji mbovu, diet mbovu, lishe isiyozingatia virutubisho.Hongera mkuu kwa andiko zuri nakupongeza sana,
Ila hapa mkuu nikurekebishe kidogo kuna wakati mwili hua unajidhuru wenyewe pale inapotekea ukafanya kazi yake kinyume mfano mdogo ni magonjwa yasiyoambukiza km Pressure BP, Kisukari, Saratani, nk hayo ni baadhi ya yale ambayo mwili hufanya kujidhuru wenyewe
Pia kuna ugonjwa wa kucha kupasuka pasuka au kucha kuota nje ya njia yake, hapo pia mwili hujidhuru wenyewe
Ukiwa unakula kwa kuzingatia lishe bora, unafanya mazoezi, unapumzika vizuri, unakuwa makini na afya yako hayo magonjwa kuupata mwili labda urogwe.
Naomba urejee utaratibu wa lishe bora.