WEKA PICHA YAKE, acha maneno mengi, umesema mimi sio mzuri sifai kuwa mke wako, weka hapo picha ya mkeo watu wajudge kama huyo mkeo ananifikia hata robo,au unapaswa hata kuwa mume wangu by any chance...kimbwa tu wewe umepata misukule inayokuita taikoni unadhania unaweza kumparamia dada yeyote na kumuoa....
wewe ni level za mabepari, simjui lakini atakua mshamba,hajui kuvaa wala kujiremba,lizee zee hivi kwa muonekano!!!!!!....
On a desturbing note, LIMKEO lilikuwa abused lilivyokua mtoto, physically ama sexually, hajui upendo wala kupendwa ndio maana yuko na mtu cold,passive and mchukia wanawake kama wewe....mtu normal hawezi kuwa na mtu narcisistic kama wewe, huyo alikua abused alivyokua mtoto tu.