Profile la Mwanamke anayehangaikia Ndoa

Profile la Mwanamke anayehangaikia Ndoa

Bei ya maziwa ikishuka kuliko dhamani ya matunzo ya ng'ombe ,akuna haja ya kufunga ng'ombe bora tununue maziwa .
 
- Hakuna hoja nzito hapo, huyu nae ni walewale matapeli na wahuni hahaha.

- Mwandishi anaamini kwamba kila anachoki-offer katika ndoa ni kama favour kwa mwanaume. Huyu namuita "con artist" na kichwani amejaa utapeli na uhuni.

- Mwanandoa mwenye busara hajitoi sababu ya mwanaume/ mwanamke, bali anajitoa for the sake of "love" and "happiness". Unapojitoa kwa ajili ya mwenza wako huku wewe huna furaha wala upendo wewe ni "con artist" unaesuka mipango ya utapeli.

Na ndio hicho ambacho nilikuwa namueleza Jana Anitha makirita kuwa Upendo hauonyeshwi, upendo upo automatically.
Upendo wa kuonyeshana ni Utapeli.
Ndio upo kwenye hizo ndoa za siku hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom