Profile la Mwanamke anayehangaikia Ndoa

Profile la Mwanamke anayehangaikia Ndoa

Ndo sio sehemu ya kuoneshana upendo, ndoa ni sehemu ya kuishi kwa upendo.
Ndoa si maonesho ni maisha halisi.

Sawa sawa.

Wanawake wengi matapeli huona unavyoteseka kwaajili Yao ndio upendo.
Yaani wao wakunyonye tuu kwao ndio Upendo. Huo ndio uparasite wenyewe.

Yaani uwaonyeshee badala ya wote kuwa ktu kimoja kuishi Kwa Upendo.
Mnakuwa Watu wa kusikiliziana. Hapo lazima mateso yaingie
 
Na wanawake wapo ambao hawataki ndoa - tena kwa hoja nzito nzito kabisa. Hili nalo mnalionaje wananzengo?

Screenshot_20230223-090631.jpg
 
Bandiko zuri sana lililojaa uhalisia
ndio maana hua ninawaambia wanaokataa ndoa wanahoja kuliko wanaoitetea, watetezi huwa hawana point zaidi ya mihemuko kejeli na matusi

watetezi leo watapita kimya kimya kujifunza

 kwenye hoja za msingi huwezi kuwaona,waseme nini?,zaidi ya kua kama kondoo
 
Hayo ndio yanafanya Vijana waone ndoa ni ushenzi, uhuni na Utapeli.
Hawa Vijana wanataka na wake za Watu na wengine mabinti wanatoka na waume za Watu, tayari wameshaona kama nao wataoa au kuolewa kama mambo yenyewe ndio hayo basi hakuna umuhimu wa Ndoa.

Yaani kijana awe anatoka na wake za Watu alafu umwambie aoe, hvi hata ingekuwa wewe ungekubali?
Maana huo NI Utapeli, naona kabisa ndani ya Ndoa hakuna uaminifu, upendo, Haki, Ukweli. Yaani kila kitu ni negative.
Huo uzuri WA ndoa atauona wapi?

Ili ndoa iwe ya maana lazima waume za Watu waache kutongoza Wanawake wasiowake zao,
Na Wake za Watu wakitongozwa wakatae.
Ili Vijana waone kuwa kweli ndoa ni sehemu salama
Na mimi kwel natongozaga wake za watu hasa wale wanaheshimika ili kupima ndoa zipoje , nilichogundua ni utapel mkuu
 
Tatizo hizi ndoa za kitapeli hadi ugundue ni utapeli tayari umeshaingia
Na hauwezi gundua kwa sababu wana igiza mno na ni wavumilivu kwenye maigozo yao, tukubali tu hii mambo ni kubahatisha kama kubeti tu .
 
Na wanawake wapo ambao hawataki ndoa - tena kwa hoja nzito nzito kabisa. Hili nalo mnalionaje wananzengo?

View attachment 2527183
- Hakuna hoja nzito hapo, huyu nae ni walewale matapeli na wahuni hahaha.

- Mwandishi anaamini kwamba kila anachoki-offer katika ndoa ni kama favour kwa mwanaume. Huyu namuita "con artist" na kichwani amejaa utapeli na uhuni.

- Mwanandoa mwenye busara hajitoi sababu ya mwanaume/ mwanamke, bali anajitoa for the sake of "love" and "happiness". Unapojitoa kwa ajili ya mwenza wako huku wewe huna furaha wala upendo wewe ni "con artist" unaesuka mipango ya utapeli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom