Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

Aliongea single mam mwenye watoto wanne wababa tofauti tofauti
emoji1787.png
emoji846.png
emoji846.png
emoji846.png
emoji846.png
emoji846.png
emoji846.png
...mwaya nakutania..


Umesahau kusema wana high iq mtu yeyote ambaye anahisi anashindwa ku copy na drama za Wanwake wengi wao wana uwezo mkubwa wa kufikiria...

Nimenote hili....

Wanaume sio watu rahisi kuwashawishi ndo mana hata hizi trends za kijinga zinazotokea mitandaoni utakuta wanaume wanaoshiriki ni 25% tu wengine wote wanabaki kuwa wapenzi watazamaji..

Amini nakwambia ukiona jambo wanaume wanalishadadia na kulisapoti ujue wameona Lina make sense...hii kampeni ni worldwide na imeanzA Kumake sense kwenye kundi kubwa la wanaume..

Yale ya siku za mwisho watakuja kumi kumi wakisema nioe tu mambo ya kula nakunywa niachie Mimi basi ujue bible sio kitabu Cha hadithi...
Mkuu wanaume ni hawa ambao hawajafikisha 30?
 
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30's and under...

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.


Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Hayo matatizo uliyoweka ni kama vijana tumekataa wanawake..

Hell no.. Wanawake na vipochi vyao tunawataka ila ndoa hapana
 
Kama unachoandika hapa ni cha ukweli nakuhakikisha unautafuta ukhanisi, huna muda mrefu utakuwa khanisi kamili huwezi kusimamishwa mboo tena.

Narudia tena punyeto unaleta ukhanisi, watu wafanye pale inapolazimu tu, lakini punyeto haiwezi kuwa replacement ya mwanamke never usipotoshe hawa Watoto humu kumbe labda hapo ulipo pembeni una demu unamla, hiyo ni roho mbaya na ubinafsi wa hali ya juu.
Huo u PhD uzwazwa hakuna lolote unalojua kuhusu nyeto , nyeto Ni chakula Cha mwili , nyeto Ni salama, nyeto is everything
 
Naona umekimbia kuhusu wewe kuwa mchukia wanawake, nilisema pale juu unajifanya kutoelewa tu ila somo linakuingia vilivyo....

Utapeli ni upi, mbona wanaume wengi wanaingia ndoani sasa ina maana wote ni wajinga nyie ndio werevu sana?

Nikmbie vipi?
Akili yako naona unatatizo, umetoka assumption yako, huwaga sibishanagi na assumption na watu kuhusu vile wanionavyo.

Mada uliyoianzisha haihusiani na hoja Mpya uliyoianzisha ndio maana nimeipuuza, ukitaka nichangie hoja Mpya kuhusu hiyo assumption yako anzisha Uzi uniite Nike tujadili.

Kwa sasa tunajadili hoja uliyoweka mezani.
Ndio nikakuambia Vijana wengi wanapinga ndoa Kwa sababu ya Utapeli na UHUNI unaondelea hivi SASA.
Nikatoa hoja kuwa mfano MTU anataka chake kiwe chake, alafu chako kiwe chenu wote huoni huo ni Utapeli na Unyonyaji.

Wewe ukaja na hoja sijui ya Mimi nawachukia Wanawake. Kufikia hapo nikaona hapa kichwa hakina upepo
Ila ninakujibu Kwa wasomaji watakaosoma Leo kesho na siku zijazo.
Sio Kwa faida yako
 
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30's and under...

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.


Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Alisikika feminist mmoja
 
Nikmbie vipi?
Akili yako naona unatatizo, umetoka assumption yako, huwaga sibishanagi na assumption na watu kuhusu vile wanionavyo.

Mada uliyoianzisha haihusiani na hoja Mpya uliyoianzisha ndio maana nimeipuuza, ukitaka nichangie hoja Mpya kuhusu hiyo assumption yako anzisha Uzi uniite Nike tujadili.

Kwa sasa tunajadili hoja uliyoweka mezani.
Ndio nikakuambia Vijana wengi wanapinga ndoa Kwa sababu ya Utapeli na UHUNI unaondelea hivi SASA.
Nikatoa hoja kuwa mfano MTU anataka chake kiwe chake, alafu chako kiwe chenu wote huoni huo ni Utapeli na Unyonyaji.

Wewe ukaja na hoja sijui ya Mimi nawachukia Wanawake. Kufikia hapo nikaona hapa kichwa hakina upepo
Ila ninakujibu Kwa wasomaji watakaosoma Leo kesho na siku zijazo.
Sio Kwa faida yako
Kumbe ulivyokuwa unabishana na mimi hukujua ile ni assumption??? ...na kwani hizo assumption zinatoka hewani tu na sio kuwa constantly unaleta mada za kipuuzi kuhusu wanawake???!

Hoja ipi nimeweka mezani mpuuzi wewe???? hapa nimeweka profile la mkataa ndoa, umepinga umekataa profile hili??? au umekuja kama lilevi na ishu zako za ndoa ni utapeli?!

Mpaka hapo wewe ndio mweupe, by the way chake kitabaki kitakuwa chake na chako ni cha wote itabaki kuwa hivyo, im stating the obvious, huo ndio ukweli mchungu.....
 
Nani kalazimisha kuhudumiwa kama uwezo hakuna???? financially stable nimemaanisha ukiwa hivyo hutaona kuna shida kumhudumia mkeo, ila ukiwa financially unstable ndio utaona kila kitu ni utapeli...

Ndio maana nauliza suala la ndoa nikwa ajili ya only finanancilly stable guys? kwamaana kama suala lakumuhudumia mke nikipengele cha ndoa je mmeo akiugua au akipata permanent disability ya ajali ndii umkimbie maana unachowaza nikuhudumiwa,kuna jamaa angu kapata ajali huu mwaka wanne anaugulia kakimbiwa namkewe alikua ndio hawa chawa anaowaita ndugu yetu Heriel.

Ndoa nikwa ajili ya mke namme kwa pamoja sio kwa ajili ya mmoja kumuhudumia mwingine,je akiugua au akiapata tatizo ahudumiwe nanani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba tuelewane, wanaokataa ndoa wana hoja za msingi, lakini sikubaliani na wewe kwenda mbele zaidi kuprotest ukhanisi hili halikubaliki.

Kijana Mdogo wa miaka 18 anayevutiwa na post zako humu akaona wewe ndio role model wake naye aanze kupiga punyeto kutwa Mara 3 nakuhakikishia akifika miaka 25 ni khanisi kamili na hawezi kusimamisha mboo tena.

Kwa hili hapana upotoshaji huu ukomeshwe na hili ni lazima tuchukuwe hatuwa zaidi sisi kama Wazazi.

Mkuu Maxence Melo tunakuomba upitie huku ili ujiridhishe haya ndio malengo ya JF?

Hatuwezi kukubali kuona jamii ya Kitanzania inabomolewa na watu wenye ajenda zao za siri, hili halikubaliki.
Ndoa zimekuwa changamoto Sana miaka hii kuna kesi nyingi mahakamani wanawake kutaka ndoa ivunjwe ili ufanyike mgawanyo wa mali licha ya hivyo kwa Upande wangu sifurahishwi na hii kampeni ya kukataa ndoa sielewi sababu za msingi za kuendelea na kampeni hii ni kama kuna jambo nyuma ya pazia kuhusu kampeni hii watu wametumwa kwa lengo maalumu
 
Ndio maana nauliza suala la ndoa nikwa ajili ya only finanancilly stable guys??kwamaana kama suala lakumuhudumia mke nikipengele cha ndoa je mmeo akiugua au akipata permanent disability ya ajali ndii umkimbie maana unachowaza nikuhudumiwa,kuna jamaa angu kapata ajali huu mwaka wanne anaugulia kakimbiwa namkewe alikua ndio hawa chawa anaowaita nduguyetu Heriel,..ndoa nikwa ajili ya mke namme kwa pamoja sio kwa ajili ya mmoja kumuhudumia mwingine,je akiugua au akiapata tatizo ahudumiwe nanani????

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnhhhh wewe naona hatuelewani, kuhuduhumiwa inaendana na uwezo unahudumia unapoweza, kuwa financially unstable ndio mara nyingi ukakasi unapotokea kwenye kuhudumia, sasa hayo mengine utajua mwenyewe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom