Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

Aliongea single mam mwenye watoto wanne wababa tofauti tofauti ...mwaya nakutania..


Umesahau kusema wana high iq mtu yeyote ambaye anahisi anashindwa ku copy na drama za Wanwake wengi wao wana uwezo mkubwa wa kufikiria...

Nimenote hili....

Wanaume sio watu rahisi kuwashawishi ndo mana hata hizi trends za kijinga zinazotokea mitandaoni utakuta wanaume wanaoshiriki ni 25% tu wengine wote wanabaki kuwa wapenzi watazamaji..

Amini nakwambia ukiona jambo wanaume wanalishadadia na kulisapoti ujue wameona Lina make sense...hii kampeni ni worldwide na imeanzA Kumake sense kwenye kundi kubwa la wanaume..

Yale ya siku za mwisho watakuja kumi kumi wakisema nioe tu mambo ya kula nakunywa niachie Mimi basi ujue bible sio kitabu Cha hadithi...
 
Mimi sinachuki na MTU.
Kuwaambia ukweli mnaita chuki.

Ukiwa Mwanamke lazima uwe MKE kweli.
Tafuta ujuzi kama ni mwalimu, au Daktari, au mwanasheria, au MPISHI, au fundi Nguo, n.k.
Zalisha uchangie Pato la Familia.
Sio uwe Kupe nyonyaji, utake kuhudumiwa kama Maiti au Mdoli, huo ni uvivu na dalili ya ujinga.

MKE ni Msaidizi, unaolewa ili ufanye Maisha na Mumeo na sio Mumeo akuhudumie wewe kama NGEDERE WA maonyesho.
Wasipokuelewa ww sijui wakamuelewe nani tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂

ATI limkeo😀😀

Kitendo cha kumuita Utapeli na UHUNI mnaoufanya kuwa ni ndoa ndio kunanifanya nione Dunia inavioja
Naona umekimbia kuhusu wewe kuwa mchukia wanawake, nilisema pale juu unajifanya kutoelewa tu ila somo linakuingia vilivyo....

Utapeli ni upi, mbona wanaume wengi wanaingia ndoani sasa ina maana wote ni wajinga nyie ndio werevu sana?
 
Ushoga unatajwa sanaaa, ili hali wanao pinga hizo ndoa ni straight, muwapumzishe mashoga kwenye movements zenu.

Wamechokaaaaaa.
Kwanza hakuna shoga anaeweza kupinga ndoa,kwakua ndoa haina madhara upande wa gay....
Sisi wanaume nje ndani,wanaume kweli
Tunasema KATAA NDOA,KATAA UTUMWA
 
Siingii Kwenye Ujinga Katu Katu

Siingii Kwenye Ujambazi Katu Katu

Sinunui Kiumbe, Sifugi Kiumbe Ndani Kwangu

Nyie endeleeni kupigwa huko mliko
Pole sana, Sorry mkuu Wewe ni wa kiume au wa kike, unanitafakarisha sana😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom