Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
- Thread starter
- #121
Ambayo ni ipi mpuuzi wewe?Nimekuambia jamii unayotoka wewe
Ambayo ni ipi mpuuzi wewe?Nimekuambia jamii unayotoka wewe
mkuu, wanatumia neno Kuhudumiwa kujificha chini kama kivuli, ila neno halisi ni UkahabaInamaana dada yangu ndoa nikwa walio financially stable tu??ndio manaa vinana wanapinga unyonyaji kwann ulazimishe kuhudumiwa wakati mtu hana uwezo wakukuhudumia???kama ndoa ni kwa ajili ya wanaume walio financially stable basi hoja za wazee wakataa ndoa niunyonyaji nautapeli wako sahihi,maana sio lazima tulingen uchumi dada.
😂😂😂Unanifokea n maandishi Yako😂😂KATAA NDOA
OA MKEO AOTE MAPEMBE
🤣🤣🤣
Unaongea vitu ambavyo mtoto Mdogo angevieleza.
Wewe Subiri misukule ya kuinyonya Ila wanaume wa maana utawasikia kwenye redio tuu.
Kwenye Ndoa hakuna kipengele cha kuhudumiwa MKE. MKE ni sehemu ya familia iweje ahudumiwe?
Hivi hizi Akili mnazitoa wapi?
MKE ni sehemu ya mamlaka ya serikali ya familia sasa iweje useme anahudumiwa?
Huko ni kutengeneza mazingira ya Unyonyaji, ndio tunaita Ukupe na ukahaba.
Ushaambiwa MKE na Mume ni mwili mmoja alafu Kwa uelewa wako Mdogo au WA kitapeli unataka uhudumiwe.😂😂
Subiri wanaume wa level YAKO
haaaa Kulelewa na mwanamke au kuoa mwanamke hakukufanyi wewe kuwa sio mMisogynist!...utetezi wa kijinga kabisa huu.... unamchukia mama yako subconsciously na mkeo hana furaha sababu wewe unachukia wanawake, so kua nae sio ishu....kitendo chako kila ukizungumzia wanawake ni negatively kinakufanya wewe ni mchukia wanawake sio hao majirani zako
mkuu, wanatumia neno Kuhudumiwa kujificha chini kama kivuli, ila neno halisi ni Ukahaba
ndiyo maana tunasisitiza kila kukicha Ndoa Ni Utapeli na Unyonyaji
umejificha saaana, sasa unachomoza ile rangi yako halisiNa kwa nini tujifiche chini kwa chini??? mwanamke kuhudumiwa, ukitafsiri ni ukahaba utajua mwenyewe!
Wewe kama umeshindwa kujua furaha kwa mwanamke ni kuhudumiwa, this simple fact umeshindwa kuijua...anyway sikushangai hata mkeo hujui kama ana pretend ama not....!
Usinichoshe na upuuzi wako mwingi usiokuwa na substance.
Shenzi wewe, eti unazungumza kwa wanawake wawe werevu, ndio iwe kila siku??? yaani ina maana huwaoni wanawake werevu hata mara moja????Nazungumzia negative Kwa Wanawake wajingawajinga ili wawe Werevu,
Wanawake Werevu wanajua nini nazungumzia, Ila wale Akili mgando kama wewe ndio hamjui hata kinachozungumziwa.
Kali kulazimisha hapo ATI MKE wangu Hana furaha, sijui Mama yangu kafanyaje,
Ila hoja hapa ni kuwa acheni Utapeli, Unyonyaji, uvivu na kuigeuza ndoa kama ajira yenu.
Hakuna mwanaume Makini ambaye yupo tayari kuoa NGEDERE
Naomba tuelewane, wanaokataa ndoa wana hoja za msingi, lakini sikubaliani na wewe kwenda mbele zaidi kuprotest ukhanisi hili halikubaliki.uko nje ya mada mkuu
nimesema mimi binafsi punyeto ni replacement ya mwanamke, mimi binafsi
shida yangu ni kukojoa tu, na BabyCare yangu inatimiza hilo
Mpaka sasa huujui mtazamo wangu, usijifanye kuufosi unaujua...MKE wangu angekuwa na Akili za hivyo wala asingeweza kuwa hata mpenzi wangu.
Sinaga ukaribu na Wanawake wapuuzi kama hivyo.
Binti yangu mwenyewe hawezi kuwa na Akili za kizamani kama hizo ulizonazo wewe.
Ninyi ndio mnafanya Wanawake mnadharaulika Kwa Tabia za kupenda vya Bure.
Wapo Wanawake wenzako wanaojielewa hawana mtazamo kama wako WA kimaskini na kinyonyaji.
mkuu uko nje ya mada, kupiga nyeto ni afya piaNaomba tuelewane, wanaokataa ndoa wana hoja za msingi, lakini sikubaliani na wewe kwenda mbele zaidi kuprotest ukhanisi hili halikubaliki.
Kijana Mdogo wa miaka 18 anayevutiwa na post zako humu akaona wewe ndio role model wake naye aanze kupiga punyeto kutowa Mara 3 nakuhakikishia akifika miaka 30 ni khanisi na hawezi kusimamishwa mboo tena.
Kwa hili hapana upotoshaji huu ukomeshwe na hili ni lazima tuchukuwe hatuwa zaidi sisi kama Wazazi.
Hatuwezi kukubali kuona jamii ya Kitanzania inabomolewa na watu wenye ajenda zao za siri, hili halikubaliki.
Sitaki Wizi , Sitaki Unyonyaji , Sitaki KuibiwaHutaki ndoa unataka nini?
😂😂😂Ndegere amezid bhana Bora hata bataMke anawaza atajengaje familia na mumewe.
Ngedere wao wanawaza kuhudumiwa mahindi ili warusherushe mikia Yao huku na huku
Kabla ya kuolewa mnakuwa kama malaika mkiingia ndani ya ndoa mnaota mapembe.😂😂😂Unanifokea n maandishi Yako😂😂
😂😂😂Shenzi wewe, eti unazungumza kwa wanawake wawe werevu, ndio iwe kila siku??? yaani ina maana huwaoni wanawake werevu hata mara moja????
eti nilazimishe, kwa kisa gani?? Mkeo hana furaha sababu hakuna mwanamke aliyeoolewa na Misgyonist akawa na furaha thats a FACT.
and yes ma misogynist kama wewe wengi mna shida na mama zenu thats a FACT
Nani tapeli, wewe hudumia hilo limkeo unaloliita libepari wakati hujui lina pretend ama NOT