Sex addict
JF-Expert Member
- Feb 21, 2023
- 902
- 1,816
Hao watAjijua sisi tushasanuka mapema sanaFor sure asilimia 90 wanajutia NDOA ila wanajifanya kukaza Fuvu
Hao watAjijua sisi tushasanuka mapema sanaFor sure asilimia 90 wanajutia NDOA ila wanajifanya kukaza Fuvu
Hawa akina Niki wote si wahuni tu. Najua utakuja hapa kua mbona ni mkuu wa wilaya. Ukumbuke kwenye serikali hii ya ccm. Wahuni ndo wanapendwa akina jokatesidhani kama upo sahihi kwamba wakataa ndoa ni watu wadhaifu kama unavyoelezea sifa zao.. watu makini kama Stamina na Nikki wa pili sidhani kama na wao wanataka kusikia kitu kinachoitwa ndoa..
wakataa ndoa wengi aidha wametendwa, au wanawake zao wamewatumia kwa manufaa yao na kuwatema.
ila pia ukioa kuna hadhi flani unapata kutoka kwa jamii inayokuzunguka.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
😂😂wanatuona kama hatuna akili vileHao watAjijua sisi tushasanuka mapema sana
Sio nitajua mwenyewe ndugu mleta mada,kama mmeo unaehitaji akuhudumie ww kwakua uko obsessed na kuhudumiwa nakupewa huduma kama mtoto mchanga ,imetokea huyo mmeo(sponsor)unaeishi nae ndani amepatwa natatizo au janga kama ajali au kuugua kwa kipindi kirefu naww ndio pambo lanyumbani unaesubiria kuhudumiwa mtaishije au utakimbia ndoa maana unaemtegemea arekebishe majambozi ndio huyo anahitaji huduma yako sasa naww ndio kama hivyo hujiwezi kwalolote zaidi ya kusubiria kuhudumiwa.Mnhhhh wewe naona hatuelewani, kuhuduhumiwa inaendana na uwezo unahudumia unapoweza, kuwa financially unstable ndio mara nyingi ukakasi unapotokea kwenye kuhudumia, sasa hayo mengine utajua mwenyewe...
Broke guys? Umeoa halafu unachapiwa. Nini maana ya kuoa?Broke guys wanakuja kupinga huu Uzi,
Karibuni kuchangia
Naona imekuuma sana na ujumbe wa #kataa ndoa # ndoa ni utapeliNani aje na ID mpya kwa kumuogopa nani???? mimi nimesema profile la mkataa ndoa, wewe kama unafall kwenye hilo profile kaa kwa kutulia.
Wewe sema unataka tu tutukanane(which I’m ready)Sio nitajua mwenyewe ndugu mleta mada,kama mmeo unaehitaji akuhudumie ww kwakua uko obsessed na kuhudumiwa nakupewa huduma kama mtoto mchanga ,imetokea huyo mmeo(sponsor)unaeishi nae ndani amepatwa natatizo au janga kama ajali au kuugua kwa kipindi kirefu naww ndio pambo lanyumbani unaesubiria kuhudumiwa mtaishije au utakimbia ndoa maana unaemtegemea arekebishe majambozi ndio huyo anahitaji huduma yako sasa naww ndio kama hivyo hujiwezi kwalolote zaidi ya kusubiria kuhudumiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una neno gani la kusema kwa watu wengi wenye ndoa zao nzuri tu ambao ni wengi...au hao watu watatu ni kati ya wangapi wenye ndoa nzuri?Naona imekuuma sana na ujumbe wa #kataa ndoa # ndoa ni utapeli
Una neno gani la kuwaambia Niki wa pili, ney wa mitego na stamina?
huna hoja kaa kwa kutulia,,Hii kampeni inawaumiza sana nyie mabibi ambao mpaka sasa mnahaha kuitafuta ndoa,, tulieni muendelee kuchakazwa.
Msimamo ni KATAA NDOA sio kukataa kuwa na mtoto/watoto.Unasikiaga kashfa za mapadri kuvilawiti vivulana?
Huna padre unayemjuwa ambaye amezaa na mwanamke Kwa siri?
Hata Dr Slaa humjuwi?
Then kunakuwa hakuna huduma mbona hilo linaeleweka.......sio wewe mkamilifu halafu unajishaulisha....
Anamaanisha ambinue yeyeKwani si tulishakubaliana kataa ndoa wote ni mashoga
Mwanaume halisi huwezi ukakaa unapiga kelele "kataa ndoa" tena unamwambia mwanaume mwenzio unamaanisha nini!!!
Sikujua kama neno #kataa ndoa #ndoa ni utapeli litawauma hivi.6. Ni mashoga
Kumuhudumia mkeo haimaanishi mkeo asichangie uchumi, kama umeshindwa kudeduct this simple fact then tusipotezeane muda tafadhali...Sasa kama hakuna huduma mnaishije sasa manaa maisha inabidi yaende ,naww unadai wanaume walio financially stable nahuo ustable siunatokana nakufanya kazi au !!ww dada unachangamoto sana,unajifanya huelewi lkn hoja za wazee wakataa ndoa zinamashiko kama ndoa ipo kwa mktadha wako wa mwanume kumhudumia mwanamke ili afurahie maisja ktk ndoa,huo ni unyonyaji lama unyonyaji mwingine , haiwezekani mwanamke umeolewa usiwe nachakungia kiuchumi ukamtegema mmeo ambae nae anaweza kupata changamoto zaliuchumi ikiwemo,ajali,magonjwa hata kufariki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm sina shida nakutukana buana,ila tunajibizana kwa hoja hapa hbr zamatusi hizo baki nazo hukohuko,ujue ww unadhani wanaosema ndoa niutapeli pengine sio wakamilifu au niwazembe wanahoja nzito sana hasa kwa wanawake wenye mtazamo wakuhudumiwa kama ww,maaana ndoa kwa uasili wake unaleta mazao kama watoto namali pia nawatoto wanapaita hapo mlipopaanzisha ww nammeo kwa pamoja nyumbani kwao.Wewe sema unataka tu tutukanane(which I’m ready)
Kumhudumia mkeo sijasema ndio asifanye chochote
Pumba, so unaogopa kuoa kisa unaogopa kuhudumia mkeo? Si uoe bepari kama Robert Heriel au umeshindwa kupata libepari limoja?Mm sina shida nakutukana buana,ila tunajibizana kwa hoja hapa hbr zamatusi hizo baki nazo hukohuko,ujue ww unadhani wanaosema ndoa niutapeli pengine sio wakamilifu au niwazembe wanahoja nzito sana hasa kwa wanawake wenye mtazamo wakuhudumiwa kama ww,maaana ndoa kwa uasili wake unaleta mazao kama watoto namali pia nawatoto wanapaita hapo mlipopaanzisha ww nammeo kwa pamoja nyumbani kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app