Nonsense, eti kama anapretend atajua mwenyewe....moja inaonyesha hujali hata hio ndoa yako...sijui kwa nini watu wakusikilize wakati hata ndoa yako mwenyewe mkeo hujui kama ana pretend or not,,,,,,,,,,
Kumhudumia mwanamke ndio unaita ukahaba????? utasema yote lakini mwanaume rijali anajua mwanamke matunzo!
Baki na mkeo anayejifanya mzalishaji mali, hapendi kuhudumiwa, wakati wewe mumewe hujui kama ana pretend kwenye hili or not....
Halafu ungekuwa mjanja ungejua kuzalisha mali wote haihusiani na wewe kutotaka kumhudumia mkeo!