Samaki mmoja akioza wote wameoza.Hivi kwa nini mnatumia references hizo chache ku draw conclusion? Kwani hamna ndoa za waheshimiwa wengine zilizo perfectly? Kwa nini msifuate hizo mnachoose kufuata wale wenye experience mbaya na ndoa?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyooooo.
Semaji km semaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa semaji [emoji23]
Hoja zakuhudumiwa ndio hizi tu???daahh hii ni akili ya ubinafsi sana,kwahyo mwanaume ahudumiwe nanani???wakati mme namke ktk ndoa nimwili mmoja???Kuhudumiwa ni nature yetu..
Kuhudumiwa kunapunguza mood swings....hivyo kupunguza conflicts
Kuhudumiwa ni muhimu kwa afya ya mahusiano yenu!, acha mawazo ya kijima babu!
Umesahau moja... Wote ni watoto wa kiume wenye tabia za kimama. Wana vimelea vya ushoga....1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.
2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.
3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.
4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,
5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.
Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Broo unajitahidi kumuelewesha chizi asiyejitambua kabisa,yaani hajui kabisa kua akiwa mke anakua sehemu yamaamuzi katika hyo ndoa,anawajibika mojakwamoja ktk kuhakikisha ndoa inakwenda mbele kwa misingi ya upendo,haki naushirkiano sasa yy ameweka kipaumbele kua ahudumiwe yy au nwanamke matunzo,sasa ndio maana namm nikawa nnamuuliza je huyo mwanaume wakukutunza nakukuhudumia akiwa anaumwa utahudumiwa nanani naona anajibu ndivyo sivyo!!Wewe ukiulizwa nature imeanza lini utajibu?
Unauliza maswali kama MTU aliyefyatuka.
Unahudumiwa umekuwa maiti?
Mbona mnapenda kujidharau na kudharaulika?
Yaani MTU na Akili timamu husikii aibu kusema unahudumiwa.
Ndoa ni umoja na ushrikiano, ndoa ni Upendo.
Ukishakuwa kwenye serikali wewe ni sehemu ya Serikali.
Ukiwa kwenye Ndoa wewe ni sehemu ya Ndoa.
Unahudumiwaje?
Ukishakuwa na mtizamo huo lazima ndoa ikusumbue Kwa sababu unakuwa sio sehemu ya Ndoa.
Sijui hizi Akili ni zawapi walahi
Mwanaume anahudumiwa na mke, hoja ndizo hizo Km unaweza pinga, kama huwezi tuliaHoja zakuhudumiwa ndio hizi tu???daahh hii ni akili ya ubinafsi sana,kwahyo mwanaume ahudumiwe nanani???wakati mme namke ktk ndoa nimwili mmoja???
Sent using Jamii Forums mobile app
Msutaji wao huyuSamaki mmoja akioza wote wameoza.
Na mama yako alikuwa na njaa ndiyo akakimbilia ndoa kwa baba yakoNjaa ndo zinafanya mkimbilie ndoa
Tena chizi hasaaa…. Swala la kuhudumiwa wakati unaumwa halipo Hilo linajulikama, Ila Sio ujifanye msahaulifu wakati wewe ni mzima… hell no!Broo unajitahidi kumuelewesha chizi asiyejitambua kabisa,yaani hajui kabisa kua akiwa mke anakua sehemu yamaamuzi katika hyo ndoa,anawajibika mojakwamoja ktk kuhakikisha ndoa inakwenda mbele kwa misingi ya upendo,haki naushirkiano sasa yy ameweka kipaumbele kua ahudumiwe yy au nwanamke matunzo,sasa ndio maana namm nikawa nnamuuliza je huyo mwanaume wakukutunza nakukuhudumia akiwa anaumwa utahudumiwa nanani naona anajibu ndivyo sivyo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kataa ndoa ni idea ya shetani mwenyewe.
Na mama yako alikuwa na njaa ndiyo akakimbilia ndoa kwa baba yako
Mpaka wanaandika ''Ndoa ni Laana'' yaani sio Baraka tena
Ni misogynist ndio Hata posts zao zingine zinawatabainisha hivyo
Hao uliowataja ni wangapi kati ya watanzania wenye successful marriages?Hata Nick II alituona sisi mafaler akampost sanaa Joan wake, na Mc pilipili mpaka akabadilika akawa mchungaji na Yule mchungaji masanja bila kusahau balozi wa Comoro.
Ila yaliyowakuta SINA HAJA YA KUKUELEZEA maana UNAYAJUA.
Wangekuwa single boys sijui kama YANGEWAKUTA.
#YNWA
Pitia nyuzi zangu nimeleta vimbwanga kibao vya ndoa.Hao uliowataja ni wangapi kati ya watanzania wenye successful marriages?
Wewe sio mzazi?Mna stress za maisha ndugu zangu, Wazazi sasa wanaingiliaje kwenye mada zenu?
Nikiwa kama RAISI WA kukataa ndoa...
Ndoa zimeanza kukataliwa baada ya formation of the millennial women, ambao Beijing ndio ili wabeba Sana.
#YNWA
Wewe sio mzazi?
Ah sorry nishasahau kuwa huna sifa ya kuwa mzazi