Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

Asante.
Basi uache kuita wasioa
Mashoga
Wamekosa malezi ya wazazi
Ni vijana wa hovyo
.... E.t.c

Tukubaliane basi "Hata post yako ni ya ajabu kwakuwa umewasema negative words juu ya maisha niliyoamua kuishi""

#YNWA
Ni kweli wamekosa malezi ya wazazi, mtu yeyote aliyepata malezi ya wazazi wote wawili anatoka well rounded person, hawezi kukataa ndoa sababu ameishi kwenye misingi mizuri ya ndoa, so yes ni vijana wa hovyo,
 
Ni kweli wamekosa malezi ya wazazi, mtu yeyote aliyepata malezi ya wazazi wote wawili anatoka well rounded person, hawezi kukataa ndoa sababu ameishi kwenye misingi mizuri ya ndoa, so yes ni vijana wa hovyo,

Kwahiyo tunarudi palepale...
Bado unataka tuishi vile utakavyo ili tuwe sahihi kwako na mawazo yako?

Mi nilikulia kwenye familia ya walezi ila SIJAONA UMUHIMU WA NDOA.

Nachokumbuka ni midomo tu ya wanawake (wamama wa familia) wanaongea kama chiriku, mpaka unafikia kuwaonea huruma waume zao.

#YNWA
 
Kwahiyo tunarudi palepale...
Bado unataka tuishi vile utakavyo ili tuwe sahihi kwako na mawazo yako?

Mi nilikulia kwenye familia ya walezi ila SIJAONA UMUHIMU WA NDOA.

Nachokumbuka ni midomo tu ya wanawake (wamama wa familia) wanaongea kama chiriku, mpaka unafikia kuwaonea huruma waume zao.

#YNWA
hahahha ngoja nakuja na profile lenu naongezea nyama.
 
Achana nalo.

Ngoja tuishi vile UTAKAVYO ILI TUWE SAHIHI.

Anyway:
Nitumie namba pm ili uni WhatsApp hizo nyama.

#YNWA
kwani nani kakuambia usiishi utakavyo?? ishi utakavyo, piga puli all your life, nobody cares! profile nalijazia nyama nitakuja nalo....
 
We mkund-u Mimi SITAKI kuoa.

Wewe umegeuka kutizama wako? Muulize huyo mume/mke wako anaona nini nyuma yako
Wewe inakuhusu nini na maamuzi ya maisha yangu?

Maamuzi gani hayo? Mbona unajishuku
Shoga, ni Mimi nayekataa kuoa au ni wewe kutwa kunijadili kwanini sitaki kuoa?
Nani aliyekujadili hapa baradhuli wewe? Umeona wapi najadili Kataa au kubali ndoa? Huna la kujadilika...au unapenda ushirikishwe kwenye mjadala wa kero zako?
Niletee mkeo uone ushoga wangu ulipo, nimnyonye mpaka pua hizo.
Nilishasema na nitasema tena, hayo ni maneno ya mysogynist twaats ati Pua
We unadhani kutokuoa ndio hatutomb-i.

Mbona unajishuku
Tunatomb-a sanaaa WAKE ZENU.
I see your sense of honor being tested. Haswa hata hao wenye Pua
MBWA NYIE.
Woof woof Mashoga nyie woof
Being polite mmeshindwa sasa mnataka MATUSI, haya twende. TUKIPIGWA BAN TUTAISHIA HAPO.

Hata ukiunganisha hizi...nimeshakuambia huko juu haukuja kwangu polite Ati nikanywe pombe, mimi sio wewe wewe nenda unywe pombe uone kama misuli inapanuka hiyo, hivi unadhani unaweza kufanya mapenzi na kuyaelezea hayo kwa misuli ya mwili na maneno?
Leta punch nikupe punch fal-a wewe.

Fal ahh yule mwenye pua aliyekutaga hapa duniani hawakukuelezea kama ulipatikana kwa mapenzi yao au walikuwa wananyonyana pua, yaani alikuwa anatom-bwatom-bwa tu na baba zetu Umeuliza? Umeuliza walikuwa wanataka dume au jike
#YNWA



Nipitie hivi aiseee....

#YNWA
Anza zako baradhuli wewe
 
Haya ndio madhara ya kuzaa watoto nje ya ndoa, matokeo yake ni lazima waje kupinga ndoa.
Ukiona mtu anakataa ndoa basi kuna uwezekano mkubwa amezaliwa na malaya.
 
Haya ndio madhara ya kuzaa watoto nje ya ndoa, matokeo yake ni lazima waje kupinga ndoa.
Ukiona mtu anakataa ndoa basi kuna uwezekano mkubwa amezaliwa na malaya.
Malaya Ni Mwanamke aliyeolewa bila bikra hiyo ndo tafsiri ya malaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom