Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
- Thread starter
- #541
mwenyewe unajua ulichosevu kiko insignficant.sijibu, maana comment itapelekwa jukwaa la Matangazo Madogo Madogo
mwenyewe unajua ulichosevu kiko insignficant.sijibu, maana comment itapelekwa jukwaa la Matangazo Madogo Madogo
nijibu kabla hujaenda kulalaDooh, Kwa Heri Na Usiku Mwema
Nimekwambia Silalinijibu kabla hujaenda kulala
😂😂😂Mengine hayavumiliki ukikaa nalo rohoni linakukaba unakufa😂😂😂Umeanza lini kuwa Afisa mpelelezi ?
Operation ilichelewa asingekuwa na taasisi ya misukuleNilisoma comment yake mara 2 naacha naingia profile naangalia nikasema hamna nikarudia 😂😂😂😂Yani alinote humu kama ilivo kwa hali Ile ndoa asikatae aikimbie kabisa sio Kwa taasisi Ile 😂😂😂
Tareek
Ungejibu tu honestly nadhani nimekugusa, pole lakini.Nimekwambia Silali
Nala Ugali, Napiga Nyeto, Naoga Kisha Ndiyo Nalala
na Swali Lako Silijibu
😂😂😂Operation ilichelewa asingekuwa na taasisi ya misukule
Dunia ya sasa ni kuviziana.😂😂😂Mengine hayavumiliki ukikaa nalo rohoni linakukaba unakufa😂😂😂
😂😂Ndo hali halisi aiseeDunia ya sasa ni kuviziana.
Wasiopendana kuishi Pamoja View attachment 2526945
Me Kuna mtu alikuwa anajifanyaga mjanja hakujua anadeal na Nani.😂😂Ndo hali halisi aisee
😂😂😂Kha utauaMe Kuna mtu alikuwa anajifanyaga mjanja hakujua anadeal na Nani.
Akaja na pigo za kupigana na mito kitandan.... Nikasema hapa ndio pakumaliza game huu mto niweke jiwe kama sio nyundo
Nimepitia matukio magumu sana na ukijiless kwake mtu anaharibu kila unapoenda kuweka kambi tena sio kikawaida kawaida.😂😂😂Kha utaua
Ukiingia Chaka unaanza kuongea pekeyako njianiNimepitia matukio magumu sana na ukijiless kwake mtu anaharibu kila unapoenda kuweka kambi tena sio kikawaida kawaida.
Hakikisha unamjua Mungu wa unaye date nae kabla ya kuingia matatizoni
Me mwanamke siwaamini coz nime meet same version ya mtu kama yule 4 times.. Wawili Kati ya hao walikuja kufanya Operation zao nilipostuka hawakuniona tenaUkiingia Chaka unaanza kuongea pekeyako njiani
sitakiUngejibu tu honestly nadhani nimekugusa, pole lakini.
Pole sanasitaki