Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

Ndoa ya Mungu Mwanamke alikuwa msaidizi WA mwanaume, ndoa za kishetani zinazoendelea humu Duniani, Mwanamke anakuwa mnyonyaji WA wanaume. Lihudumiwe kila kitu kama maiti.
Na hapo hapo lifanye umalaya ulisamehe.
Hiyo ndoa au upuuzi
Eeee... hudumieni
 
Uko desperate sana na ndoa, you have to remember life is still possible bila ndoa
 
Inategemea kwasababu zinazowekwa hapa naona hizi zako zipo irrelevant kabisa. Sasa tabia mbaya za mwanamke nizikubali ili kumfurahisha nani?

Mwisho wa siku ndio nakuja kuumia mwenyewe. Anyways sababu ulizosema zipo na kuna watu wanahizo changamoto na zina matokeo sawa kabisa na haya ya vijana kutokuoa. Ila kuna personal experiences ambazo hupelekea watu kupitia hizi hali.
 
Ambao tumekataa ndoa ila tupo kimya tunafarijika sanaa kuonq Kuna watu nyuma yetu wanakataa huu utapeli kwa ku publish papers kabxa hapa jf....tunawaunga mkono kwa njia yyte ile...kama Kuna sehemu mchango wetu unahitajika mzisite kutuomba msaada
 
Pitia nyuzi zangu nimeleta vimbwanga kibao vya ndoa.

Halafu kuhusu swali lako ni kwamba, Asilimia kubwa sanaa ya watu wanateseka na ndoa sema wameamua kuvumilia na wengine kupuuzia.

#YNWA
umeleta vimbwanga kibao vya ndoa,sababu wewe ni mpinga ndoa lazima ubongo wako umeuset uwe SELECTIVELY unaona vimbwanga vya ndoa tu na si vinginevyo.

Hujui kuteseka na ndoa, hujawahi kuoa, hio experience ni kitu hujawahi kukiexperience so HUKIJUI.
 
umeleta vimbwanga kibao vya ndoa,sababu wewe ni mpinga ndoa lazima ubongo wako umeuset uwe SELECTIVELY unaona vimbwanga vya ndoa tu na si vinginevyo.

Hujui kuteseka na ndoa, hujawahi kuoa, hio experience ni kitu hujawahi kukiexperience so HUKIJUI.

Kwanini unalazimisha tuishi vile uonavyo kuwa ni sahihi?
Na kwanini usiishi kama sisi tuonavyo ni sahihi?

#YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom