Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

Wenye ubinafsi ni wale wa chako chako cha Mumeo chenu.
Pili, ni ubinafsi mkubwa kuolewa/ Kuoa ili uhudumiwe,

Kimsingi ukishakuwa mwili mmoja hakuna msamiati kumhudumia MKE au Mume.
Hizo ni kauli za matapeli na wanyonyaji.

Kwenye upendo hakuna kauli kuhudumia, Ila kwenye Utapeli na ubinafsi lazima iwepo sheria za Huduma ili kudhibiti wabinafsi na matapeli.

Ni ngumu kuelewa ninachozungumzia na ndio maana ndoa zitaendelea kupiga mzinga, na kutesa wengi Kwa sababu zimejengwa katika misingi ya ubinafsi na Utapeli. Ndio kuna hayo mambo ya sijui nahudumiwa, sijui nahudumia. Huo ni Utapeli.

Kuhusu furaha ya MKE wangu. Furaha ya MKE wangu haijengwi kwenye mawazo na mitazamo ya kitapeli na Unyonyaji.
Imejengwa kwneye misingi ya Upendo, Haki na Ukweli.

Ndoa inaonekana ni Utapeli na itazidi kuwasumbua wengi Kwa sababu ya mawazo ya namna Hii.

Ndoa ni Upendo. Na upendo hauna mgawanyo wala kipimo.
Somo hili ni Pana, sio ajabu Watu wakasema Wanawake wengi Hawana Upendo Kwa sababu ya like kiitwacho kipimo.
Aiseeee! Japo mimi ni open minded ila hii yako ina bounce! Kuhudumiwa ni kuhudumiwa hakuna definition nyingine acha kukaza kichwa.

Kwanini unalazimisha definition ya kuhudumiwa ibadilike? kuhudumia ni taking care acha kumanipulate situation bwana tutakuchoka!

Ni ngumu ndio kukuelewa unachozungumzia sababu hakipo hivyo, tutaelewaje kitu cha uongo au ambacho hakipo hivyo? yaani utupotoshe halafu tukuelewe.

Tunahudumiwa na tunawahudumia waume zetu PERIOD!

Sisi ndio wanawake, tunakuambia mkeo hawezi kuwa nafuraha elewa, wacha kuact as if mkeo ametokea mbinguni, afu ninyi wakataa ndoa wanafiki sana nimegundua 😂
 
Mimi binafsi siafiki watu kutokuoa hiv kuna raha gani kuishi maisha ya kibachela? Ndoa ina raha hasa ukimpata mtu sahihi wa kuishi nae mtabadilishana ideas,kusaidiana kwenye mambo mbalimbali, mtafarijiana kama ni changamoto ni sehemu ya maisha hata uwe umeoa au hujaoa bado utakutana nazo ila mnapokuwa wawili ni rahisi zaidi kuliko pekee yako.
tamthilia za kifilipino zinakuharibu, wanalipwa wale
acha kuziangalia
 
😂😂😂
Ukishaingia ndoani mnaongozwa na upendo. Ninyi ni upendo na upendo upo ndani yenu. Hakuna tena sheria ya kupenda a Kwa wanandoa Kwa sababu tayari wao ni Upendo.
Sasa wataonyeshanaje upendo ilhali wapo ndani ya Ndoa?

Ndio maana mnaambiwa ninyi ni matapeli.

Sehemu ya kuonyesha upendo ni kwenye uchumba. Ili muingie kwenye huo upendo (ndoani)
Sasa kama mpaka ndoani kuna kuonyesha na upendo basi hizo ndoa znu ndio Utapeli kabisaa😂😂

Ndio maana mnataka kuhudumiwa, endeleeni mlipoishia.

Mkiambiwa ndoa zenu ni Utapeli bado mnaokataa.
Ni Sawa MTU yupo msibani alafu anaambiwa aonyeshe majonzi😂
what a NONSENSE....

Kwa hio ndoani hakuna kuonyeshana upendo ni kipindi cha uchumba tu...

khaaa halafu kuna mtu atapinga sijui kumjua mjima nikimuona mmojq...


RUBBISH
 
Usikimbie swali, nimekuuliza lini tumejengewa hio mifumo ya sisi kuhudumiwa, karne gani na nani??? ukiniquote jibu hili swali....

eti ndoa ni upendo, na hapo hapo hutaki kumhudumia mkeo,upendo unauonyesha kwa kufanya nini???

Ndio maana nikakuambia hujui maana ya Ndoa. Na hujui ndoa inajengwa na nini.

Kama kwenu tafsiri ya Ndoa hamuijui, hata upendo wenyewe hamuujui, ndio maana badala ya kufanya ndoa iwe ndoa inakuwa ndoano, na Utapeli.

Ipo haja ya Elimu kutolewa, maana nimegundua kuna Watu wengine hawajui hata wanachokitafuta
 
Ndio maana nikakuambia hujui maana ya Ndoa. Na hujui ndoa inajengwa na nini.

Kama kwenu tafsiri ya Ndoa hamuijui, hata upendo wenyewe hamuujui, ndio maana badala ya kufanya ndoa iwe ndoa inakuwa ndoano, na Utapeli.

Ipo haja ya Elimu kutolewa, maana nimegundua kuna Watu wengine hawajui hata wanachokitafuta
kuonyeshwa upendo ni wakati wa uchumba tuu....haaa afu unataka tupate elimu ya ndoa, elimu gani hio unayotoa wewe???!
 
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under...

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.


Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Ni vema andiko hili limeandikwa na mwanamke.

Ndoa ni ya mwanamke, lakini wanawake wengi bado ni wasichana hawalieweli hilo.

Wanaume hatuna shida ya ndoa. Mwanaume anaoa kwa sababu mbili kuu:

1. Anaamini katika dini kwa hiyo bado anaogopa dhambi.

2. Kuna mazingira yanambana au yanamshawishi kuoa, mfano mwajiriwa wa serikali kuna mazingira ya kumbana au kumshawishi aoe.

Lakini katika hali ya kawaida mwanaume hahitaji ndoa. Ndoa ni hitaji la mwanamke.

Sasa cha kushangaza ni kwamba wanawake ndo wanaringa. Yaani wao ndo wana shida ya ndoa, lakini ikitokea mwanaume amejitokeza unakuta mwanamke ndo kinara wa maringo.
 
Naomba tuelewane, wanaokataa ndoa wana hoja za msingi, lakini sikubaliani na wewe kwenda mbele zaidi kuprotest ukhanisi hili halikubaliki.

Kijana Mdogo wa miaka 18 anayevutiwa na post zako humu akaona wewe ndio role model wake naye aanze kupiga punyeto kutwa Mara 3 nakuhakikishia akifika miaka 25 ni khanisi kamili na hawezi kusimamisha mboo tena.

Kwa hili hapana upotoshaji huu ukomeshwe na hili ni lazima tuchukuwe hatuwa zaidi sisi kama Wazazi.

Hatuwezi kukubali kuona jamii ya Kitanzania inabomolewa na watu wenye ajenda zao za siri, hili halikubaliki.
Lakini muulize anapataje muda wa kufanya punyeto kutwa mara 3? inamaana muda wa kazi anachukua break ya punyeto? huyu anahitaji msaada wa dhati kabisa japo hajaweza kukiri.

Shida ya JF imejengwa katika misingi ya uongo uongo bila kujua kuna watu wana akili za kushikiwa wataenda kujaribu kila kinachosemwa humu.

Preach Matola preach.
 
Kwani wewe personally una mchango gani kwa huyo uliye nae?
Sasa Kama hakuna mwenye mchango na mwenzie kwann unaforce uwe mwili mmoja na mtoto wa mwanamke mwenzio

Yani nyie mnataka muolewe mringishie mabwana zenu wa zaman mringishie na mashoga zenu muanze kuzunguka salon umbea et nimeolewa natunzwa na mume wangu

😂Hio kwa Sasa mtasahau Yani mnataka mkitoka kulelewa na wazazi muhamie kwa mume nyie hamfanyi kazi Ni Kama mifugo Tena Bora mbuzi itatoa hata maziwa nyie Ni useless fanya kazi jioe au olewa na mwanamke mwenzio
 
what a NONSENSE....

Kwa hio ndoani hakuna kuonyeshana upendo ni kipindi cha uchumba tu...

khaaa halafu kuna mtu atapinga sijui kumjua mjima nikimuona mmojq...


RUBBISH

Hivi wewe unaakili kweli?
Hivi unaweza muonyesha MTU kitu kinachoonekana?
Yaani upo baharini alafu unataka uonyeshwe bahari?
Ndio maana mnaambiwa ninyi ni matapeli, na wadhulumaji.

Mwenye upendo hafundishwi kupenda, na mwenye kupenda haonyeshwi Upendo.

Bado utatoa macho😂😂
Kwa sababu mmezoea kutapeliana,
Uonyeshwe upendo kwani wewe ni kipofu?
Mapenzi hayajifichi mpaka yafichuliwe. MTU kama hakupendi hakupendi unataka mpaka akuonyshe 😂😂

Upendo wa maonyesho ndio Utapeli wenyewe huo tunaouzungumzia hapa.
Ndio ninyi mkianza mahusiano mnakuwa na Kasi Kwa sababu mnaonyeshana ATI UPENDO 😂😂yaani uhuni uhuni tuu! Baada ya miaka mitatu mayowe! Ooh! Umebadilika, sijui siku hizi haunipenda, hivi tangu lini upendo ukabadilika au ukachuja?

Bado unamengi ya kujifunza, ukijifanya mbishi endelea na ubishi wako.
Maana wengine kunielewa inawachukua miaka na miaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom