Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,115
- 79,523
Jibuni hoja zao acheni kuwashambulia personal.. wanakataa ndoa kwa maana inamkandamiza mwanaume. Baada ya talaka mali zinagawanywa wakati mwanaume ndie aliezitolea jasho, mke anaweza kukopa hela kwa jina la mumewe na mume ndie akawajibika kulipa huo mkopo, mume anawajibika kwa matunzo ya mke hata kama mke anajimudu kiuchumi n.k je kuna usawa hapo. Mnaotetea ndoa jaribuni kuzipangua hoja za wakataa ndoa maana ninachoona huwa mnawqshambulia wao binafsi kama mashoga, madomo zege, wanakwepa wajibu wao, hawajiamini n.k ila hoja zao mnaziluka
Matapeli wataupingaje Utapeli
seems hujaelewa kabisa main point yangu iko wapi aiseee....!!!