Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
😂😂😂Umegeuka mchawi sikuizi sasa![]()
😂😂😂Umegeuka mchawi sikuizi sasa![]()
Acha matusi Mimi siachi kuzagamuazagamua labda hata mama yako alizagamuliwa ukatokea wewe.
Wewe nawe ni wa kuangaliwa, nadhani ni misogynist mwingine kama Robert Heriel ,nimeku mark nitaangalia michango yako,najua kama ni mmojawapo mada za wanawake nitakukuta tu umejaza utumbo wako.
Mzee uwanja nimepata 😂😂Unaongelea ndoa alafu unasema ungetaka kuzungumzia ndoa. 😂😂😂
Hizi degree za siku hizi zinavioja Mno.
Acha matusi Mimi siachi kuzagazagamua labda hata mama yako alizagamuliwa ukatokea wewe.
Ukishakuwa tapeli ukishtukiwa lazima upige makelele.
Ulaji wenu upo hatarini mnapiga mayowe.
Wenye ndoa zao na wenye uhakika na ndoa wapo kimya.
Ninyi mail na vigezo ndio mnarukaruka.😀😀
Wewe kama unasifa utaolewa, kinachopingwa ni Utapeli wa wengi wenu
Sikiliza wewe fala umeshindwa kushtukia kama mkeo ni pretender ndio mambo mengine utaweza kushtukia??!Ukishakuwa tapeli ukishtukiwa lazima upige makelele.
Ulaji wenu upo hatarini mnapiga mayowe.
Wenye ndoa zao na wenye uhakika na ndoa wapo kimya.
Ninyi mail na vigezo ndio mnarukaruka.😀😀
Wewe kama unasifa utaolewa, kinachopingwa ni Utapeli wa wengi wenu
Mzee uwanja nimepata 😂😂
Bitch mama yako, wewe ndio uko messed up kichwani ndio maana unaishia kutukana wanawake mitandaoniMkuu huyu demu yupo depressed so achana naye so achana naye huyo bitch
Mashoga ni nyie mnaoingia kichwakichwa kwenye ndoa then mwisho wa siku mnaishia kulialia kwenye mitandao!Kwani si tulishakubaliana kataa ndoa wote ni mashoga
Mwanaume halisi huwezi ukakaa unapiga kelele "kataa ndoa" tena unamwambia mwanaume mwenzio unamaanisha nini!!!
Ndoa inamunufaisha mwanamke tuSema zipi kati ya hizo zina apply kwako, au zote?? naona hujapinga zaidi ya kuendelea kupiga kampeni...
Nani ana matusi hapa? kuzaga, zaga kwani nani kakukataza.Acha matusi Mimi siachi kuzaga
Sikiliza wewe fala umeshindwa kushtukia kama mkeo ni pretender ndio mambo mengine utaweza kushtukia??!
Naona unanichimba kwa matusi ujue mimi ni nani,nishakusoma nikakudharau!
Sichangii kitu Ila ntakupa tahadhari moja tuMnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
Mkuu huyu demu yupo depressed so achana naye so achana naye huyo bitch
Kama hujali tuendelee kutukanana maana ndicho kilichobaki.Sasa Mimi ukintukana unafikiri nitajali😂😂
Unafikiri kila Mwanamke anamambo mengi na pretender kama walivyo makahaba?😀😀
Wewe kama umezoea ulaghai unadhani wakina Sophy wapo kama wewe?
Nawasubirieni tuone nani yuko depressed nyie ma misogynists...😂😂
Sisi wengine kuna muda tunafurahi tukicheza na Ngedere Porini.
Hii ni jioni, depression zake tutazitumia vilivyo.
Kama hujali tuendelee kutukanana maana ndicho kilichobaki.
Umesema mwenyewe hujui kama mkeo ana pretend ama not, that is to say hujui pia kama mkeo ni kahaba ama not.
Usitake kunigombanisha na huyo Sophy.