Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

Mh Dunia buana Galilei alikuwa mtu mmoja smart saana actually ndiye amechangia mambo haya sasa dunia imekuwa kijiji kupita Einstein Alberto na mwl james Boolean but alichapwa viboko kwamba anapotosha kwa theory yake ya solar system...

it is funny

I gotta go

I have a lot
I am afraid naeza nikatoka nje ya point...

Its the world ya all
 
Angeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
Akili yako umeganda kama theruji, lakini jua likiwaka itayeyuka tu.
 
Alipotoa Maoni yake kuwa bora zibaki Serikal Mbili aliitwa Mnafiki akatukanwa sana humu Kama vile Yeye haruhusiwi kuwa na Mawazo binafsi!
Hiki Kizazi cha Zika kimeshaalaaniwa!
Wewe ndio una laana kutokuamini katika kutofautiana kimtazamo. Hauwezi ukakubaliwa kila kitu, na kukataliwa kila kitu. Utakubaliwa, Utapingwa, utatukanwa n.k. Hayo ndio maisha halisi.
 
Angeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
Hee mkuu hoja mbichi mno ....ifkie pahala unajifunza toka kwa wenzetu wazungu .....ambao wanamaendleo ... Donald trump anaddres taifa pia kweny twitter account .....toka kweny zama za mawe ....Ujumbe unawalenga... Jamiii..,.yetu ...ndo maan akatumia mtandao wa kijamii Ku hit the bullseye
 
Hee mkuu hoja mbichi mno ....ifkie pahala unajifunza toka kwa wenzetu wazungu .....ambao wanamaendleo ... Donald trump anaddres taifa pia kweny twitter account .....toka kweny zama za mawe ....Ujumbe unawalenga... Jamiii..,.yetu ...ndo maan akatumia mtandao wa kijamii Ku hit the bullseye
Watanzania wangapi wana account huko twitter?! Angeongea kwenye hadhira kwenye makongamano ambako wengi huwaza kupata taarifa, twiter za trump huwezi zifananisha na za mtanzania kwa kuwa umiliki ni tofauti.
 
Akili yako umeganda kama theruji, lakini jua likiwaka itayeyuka tu.
Ungeeleza maoni yako si kunitusi, mimi ninsingejua kama kaandika hilo kama lisingeletwa humu JF, sina account huko twitter na kuna wengi nje ambao hata humu JF hawamo, acha matusi toa hoja.
 
we mbona umeupata? fala we
Mi nina uhakika walezi/wazazi wako ndio mafala kwa kushindwa kukupa mbinu za kujibu hoja huku duniani, mimi sijaupata twitter bali humu JF, sina account huko, sasa kuna maelfu ambao hata JF hawamo, acha kuwa fala kama malezi yamekuelekeza huko jinasue.
 
Angeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
mjinga kweli wewe kwani hadaharani ni wapi???
 


Mwambieni Magufuli amkamate Shivji na Mwanzilishi wa mtandao wa Twitter!!
Magufuli alishasema yeye ni wa TOFAUTI na HAJARIBIWI. Kamata Shivji, kamata Mwanzilishi wa Twitter weka ndani na hakuna dhamana mpaka baada ya Mwaka mpya!!
Hii ndiyo Tanzania ya Magufuli. Tumerejea enzi za Ujima wa Kikoloni na Ukaburu wa siku za giza.
Inasikitisha sana. Mungu ndiye anayejua huko mbele!!!!
 
kwa kweli Mungu atufanyie wepesi.Mimi nazidi kumwombea huko aliko.
 
Kwanini hawa wanaojiita wanaharakati hasa wa masuala ya kibinaadamu wasiitishe mkutano na waandishi wa habari ili kulinusuru taifa. Hii ni hatari waache ubinafsi wajitoe kiuzalendo.
 
Nayeye watamwita mchochezi.
Jeuri hiyo wataitoa wapi? Kumweka Max kizuizini kwa sababu walizosema wao waliomweka ndani ni jambo la kuliweka taifa ktk aibu kubwa na kuibua volcano iliyolala lakini haijafa. Kuzuia domain zisizoishia .tz ni jambo ambalo halieleweki kwa mtu mwenye akili timamu. Na kama kweli ile sheria ile ya 2010 ililazimisha hivyo naanza kujiuliza wabunge waliopitisha walilala fofo bungeni wakastukia malaika wamepitisha kimiujiza? Maana wabunge wengine mawaziri na taasisi za serikali zimetumia domain inayoishia .com hadi Max anapelekwa Gereza la Keko.
 
This is the 21st century effective means of communication, hayo makongamano yanaudhuriwa na kila mtu? bila shaka hapana.
Atakuwa bado yuko enzi ya ujima huyo, hajui kwenye mitandao ndiko watu waliko kuliko anakokusema yeye!
 
wewe uliyesoma na kusimulia watu kwani ni popo pia! useless being
Angeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
 
Back
Top Bottom