Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

Huyo malaika anajifanya anajua kila kitu wakati kiingereza chenyewe tu alichosomea mpaka udokta feki kinamtoa jasho.
 
Angeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
Katulenga Mimi Na wewe Na ujumbe umetufikia!. Hao wengi hata kwenye makongamano huwa hawaendi labda wasikie kongamano la "singeli talent search"
 
Loading.....................................................................................................................
 
hakuna kitu kibaya kama kumnyima uhuru mtu kwani litakalotokea ni vita
 
Kiongozi yeyote anaekandamiza uhuru wa kujieleza ni wazi huyo kiongozi hatekelezi utawala wake kwa haki...
 
Back
Top Bottom