Profesa Tibaijuka ameonesha msimamo wake dhidi ya mkataba wa DPW. Je, naye atafikiwa?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
Hii kamata kamata ya mama Samia dhidi ya wanahoji na kupinga mkataba mbovu baina ya Tanzania na DP World inaonesha ni mkakati B wa kuzima hoja hiyo.

Wasomi binafsi wa Cuba tulielewa sana matukio yaliyojiri hivi karibuni ambapo jamii iligoma kuhamishwa kutoka kwenye hoja hii yenye utata mkubwa.

Kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude Nyangali na hatimaye jana kukamatwa kwa Dr. W Slaa ambao kwa uwazi upfront wameonesha msimamo wao kupinga namna mkataba huu ulivyoingiwa. Hususani wanapinga hadidu za mkataba ambazo hazitoi unafuu kwa Tanzania huku ikimmilikisha mwekezaji eneo letu la nchi milele jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya JMT Ibara ya 28(3) inayokataza siyo tu kusalimisha sehemu au nchi kwa mshindi wa vita bali inakataza mkataba wowote wa kutoa kipande cha nchi kwa nchi, kikundi ama taifa lolote kwa namna ama taathira za kimkataba

Uwezekano mkubwa wa kamatakamata inqyoendelea kuwa imewakumba wengi. Na kwa kuwa wengi siyo maarufu, kwa namna vyombo vyetu vya dola vilivyo na upungufu wa utu na haki za binadamu inawezekana kuna ambao wamepaishwa mawinguni na ushahidi ukafunikwa. Zipo ripoti nyingi za watu waliopotea kwenye mikono ya vyombo vya dola huku serikali ikitulia tuli bila kuchukua hatua.

Nimejiuliza hapa kwa sauti. Je Prof Tibaijuka naye atajumuishwa miongoni mwa matishio ya utawala wa awamu ya 6 au she will be spared lakini akioneshwa tanuru wanalopitia wazalendo wenzake?
 
Taifa letu hili chini ya utawala wa CCM hakuna matumaini yoyote......Rais Samia alianza vizuri lakini amerudi kulekule kwa mtanguliz wake
Rais Samia ni CCM.
Tatizo la Tanzania ni hiki chama kukosa dira na mahaba ya nchi.

Dola isidhani haya mambo inayoyafanya yataiongezea kura CCM bali ndivyo wanavyojitahidi kuiweka mbali na watanzania
 
ma Prof wote Tibaijuka, Shivji na Assad wametoa mawazo yao base on their knowledge, experience n.k na hakuna alietukana wala kudhalilisha wala kutishia mtu

hata Majaji japo wote ni wanasheria lakini kwny kutoa maamuzi wanaweza kutofautiana au Mahakama kuu Jaji akasema vile lakin ya Rufaa ikaamua tofauti

tatizo ni lugha na vitendo visivyo vya kistaarabu

kuna wangapi wametoa mawazo lakini wapo huru

kuna haja gani ya kuzungumzia mambo ya kuvunja Muungano au kuhusisha dini au asili ya Rais kwny mikataba ?

Mikataba mingapi mibovu imeingiwa na ma Rais kutokea Tanzania bara?

hoja ya Bandari wamei dilute wenyewe kwa kukosa maarifa

Wanaharakati na Wanasiasa wajifunze maarifa ya kusukuma agenda badala ya kujitafutia umaarufu binafsi
 
ma Prof wote Tibaijuka, Shivji na Assad wametoa mawazo yao base on their knowledge, experience n.k na hakuna alietukana wala kudhalilisha wala kutishia mtu

hata Majaji japo wote ni wanasheria lakini kwny kutoa maamuzi wanaweza kutofautiana au Mahakama kuu Jaji akasema vile lakin ya Rufaa ikaamua tofauti

tatizo ni lugha na vitendo visivyo vya kistaarabu

kuna wangapi wametoa mawazo lakini wapo huru

kuna haja gani ya kuzungumzia mambo ya kuvunja Muungano au kuhusisha dini au asili ya Rais kwny mikataba ?

Mikataba mingapi mibovu imeingiwa na ma Rais kutokea Tanzania bara?

hoja ya Bandari wamei dilute wenyewe kwa kukosa maarifa

Wanaharakati na Wanasiasa wajifunze maarifa ya kusukuma agenda badala ya kujitafutia umaarufu binafsi
Umezungumzia majaji sawa, kwamba wanatoa maamuzi yao kulingana na mitazamo yao, wa mahakama kuu wanaweza tofautiana na wale wa mahakama ya rufaa, japo pia usijisahaulishe ubovu wa idara yetu ya mahakama nchini.

Pia, umezengumzia maptofesa sawa, nao wameoa maoni yao kulungana na mitazamao yao, kama Prof. Tiba na Assad.

Lakini mbona hujazungumzia wanasiasa, nione vile ungewapa uhuru wao kama uliotoa kwa hayo makundi mawili tofauti uliyoyayaja hapo juu? ungetuonesha wanasiasa wanatakiwa kuzungumza kuanzia wapi na kuishia wapi..

Unawalaumu kwa kuingiza mambo ya muungano, kwani hilo ni kosa? huoni wale waliosaini ule mkataba wa bandari ni wazanzibari? unataka huu ukweli ufichwe ili iweje? na hata kama marais waliotangulia waliharibu lakini hawakusemwa origin yao sio sababu ya kumficha huyo mzanzibari msaliti.

Hilo la dini limeletwa na wajinga, kuwatumia wapumbavu ili kuficha usaliti waliotufanyia, na bahati nzuri this time wamejibiwa kwa namna ile ile waliyokuja nayo, sio kufichana kama miaka ya nyuma wakaendelea kutuletea mazoea ya kijinga, ukiwa mwizi utaitwa mwizi bila kujali dini yako, na ukiwa msaliti utaitwa msaliti bila kujali dini yako.
 
Hii kamata kamata ya mama Samia dhidi ya wanahoji na kupinga mkataba mbovu baina ya Tanzania na DP World inaonesha ni mkakati B wa kuzima hoja hiyo.

Wasomi binafsi wa Cuba tulielewa sana matukio yaliyojiri hivi karibuni ambapo jamii iligoma kuhamishwa kutoka kwenye hoja hii yenye utata mkubwa.

Kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude Nyangali na hatimaye jana kukamatwa kwa Dr. W Slaa ambao kwa uwazi upfront wameonesha msimamo wao kupinga namna mkataba huu ulivyoingiwa. Hususani wanapinga hadidu za mkataba ambazo hazitoi unafuu kwa Tanzania huku ikimmilikisha mwekezaji eneo letu la nchi milele jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya JMT Ibara ya 28(3) inayokataza siyo tu kusalimisha sehemu au nchi kwa mshindi wa vita bali inakataza mkataba wowote wa kutoa kipande cha nchi kwa nchi, kikundi ama taifa lolote kwa namna ama taathira za kimkataba

Uwezekano mkubwa wa kamatakamata inqyoendelea kuwa imewakumba wengi. Na kwa kuwa wengi siyo maarufu, kwa namna vyombo vyetu vya dola vilivyo na upungufu wa utu na haki za binadamu inawezekana kuna ambao wamepaishwa mawinguni na ushahidi ukafunikwa. Zipo ripoti nyingi za watu waliopotea kwenye mikono ya vyombo vya dola huku serikali ikitulia tuli bila kuchukua hatua.

Nimejiuliza hapa kwa sauti. Je Prof Tibaijuka naye atajumuishwa miongoni mwa matishio ya utawala wa awamu ya 6 au she will be spared lakini akioneshwa tanuru wanalopitia wazalendo wenzake?
Kinachoendelea ni upumbavu daraja la kwanza
 
ma Prof wote Tibaijuka, Shivji na Assad wametoa mawazo yao base on their knowledge, experience n.k na hakuna alietukana wala kudhalilisha wala kutishia mtu

hata Majaji japo wote ni wanasheria lakini kwny kutoa maamuzi wanaweza kutofautiana au Mahakama kuu Jaji akasema vile lakin ya Rufaa ikaamua tofauti

tatizo ni lugha na vitendo visivyo vya kistaarabu

kuna wangapi wametoa mawazo lakini wapo huru

kuna haja gani ya kuzungumzia mambo ya kuvunja Muungano au kuhusisha dini au asili ya Rais kwny mikataba ?

Mikataba mingapi mibovu imeingiwa na ma Rais kutokea Tanzania bara?

hoja ya Bandari wamei dilute wenyewe kwa kukosa maarifa

Wanaharakati na Wanasiasa wajifunze maarifa ya kusukuma agenda badala ya kujitafutia umaarufu binafsi
Umezungumzia majaji sawa, kwamba wanatoa maamuzi yao kulingana na mitazamo yao, wa mahakama kuu wanaweza tofautiana na wale wa mahakama ya rufaa, japo pia usijisahaulishe ubovu wa idara yetu ya mahakama nchini.

Pia, umezengumzia maptofesa sawa, nao wameoa maoni yao kulungana na mitazamao yao, kama Prof. Tiba na Assad.

Lakini mbona hujazungumzia wanasiasa, nione vile ungewapa uhuru wao kama uliotoa kwa hayo makundi mawili tofauti uliyoyayaja hapo juu? ungetuonesha wanasiasa wanatakiwa kuzungumza kuanzia wapi na kuishia wapi..

Unawalaumu kwa kuingiza mambo ya muungano, kwani hilo ni kosa? huoni wale waliosaini ule mkataba wa bandari ni wazanzibari? unataka huu ukweli ufichwe ili iweje? na hata kama marais waliotangulia waliharibu lakini hawakusemwa origin yao sio sababu ya kumficha huyo mzanzibari msaliti.

Hilo la dini limeletwa na wajinga, kuwatumia wapumbavu ili kuficha usaliti waliotufanyia, na bahati nzuri this time wamejibiwa kwa namna ile ile waliyokuja nayo, sio kufichana kama miaka ya nyuma wakaendelea kutuletea mazoea ya kijinga, ukiwa mwizi utaitwa mwizi bila kujali dini yako, na ukiwa msaliti utaitwa msaliti bila kujali dini yako.
 
ma Prof wote Tibaijuka, Shivji na Assad wametoa mawazo yao base on their knowledge, experience n.k na hakuna alietukana wala kudhalilisha wala kutishia mtu

hata Majaji japo wote ni wanasheria lakini kwny kutoa maamuzi wanaweza kutofautiana au Mahakama kuu Jaji akasema vile lakin ya Rufaa ikaamua tofauti

tatizo ni lugha na vitendo visivyo vya kistaarabu

kuna wangapi wametoa mawazo lakini wapo huru

kuna haja gani ya kuzungumzia mambo ya kuvunja Muungano au kuhusisha dini au asili ya Rais kwny mikataba ?

Mikataba mingapi mibovu imeingiwa na ma Rais kutokea Tanzania bara?

hoja ya Bandari wamei dilute wenyewe kwa kukosa maarifa

Wanaharakati na Wanasiasa wajifunze maarifa ya kusukuma agenda badala ya kujitafutia umaarufu binafsi
Umezungumzia majaji sawa, kwamba wanatoa maamuzi yao kulingana na mitazamo yao, wa mahakama kuu wanaweza tofautiana na wale wa mahakama ya rufaa, japo pia usijisahaulishe ubovu wa idara yetu ya mahakama nchini.

Pia, umezengumzia maprofesa sawa, nao wameoa maoni yao kulungana na mitazamao yao, kama Prof. Tiba na Assad.

Lakini mbona hujazungumzia wanasiasa, nione vile ungewapa uhuru wao kama uliotoa kwa hayo makundi mawili tofauti uliyoyayaja hapo juu? ungetuonesha wanasiasa wanatakiwa kuzungumza kuanzia wapi na kuishia wapi..

Unawalaumu kwa kuingiza mambo ya muungano, kwani hilo ni kosa? huoni wale waliosaini ule mkataba wa bandari ni wazanzibari? unataka huu ukweli ufichwe ili iweje? na hata kama marais waliotangulia waliharibu lakini hawakusemwa origin yao sio sababu ya kumficha huyo mzanzibari msaliti.

Hilo la dini limeletwa na wajinga, kuwatumia wapumbavu ili kuficha usaliti waliotufanyia, na bahati nzuri this time wamejibiwa kwa namna ile ile waliyokuja nayo, sio kufichana kama miaka ya nyuma wakaendelea kutuletea mazoea ya kijinga, ukiwa mwizi utaitwa mwizi bila kujali dini yako, na ukiwa msaliti utaitwa msaliti bila kujali dini yako.
 
ma Prof wote Tibaijuka, Shivji na Assad wametoa mawazo yao base on their knowledge, experience n.k na hakuna alietukana wala kudhalilisha wala kutishia mtu

hata Majaji japo wote ni wanasheria lakini kwny kutoa maamuzi wanaweza kutofautiana au Mahakama kuu Jaji akasema vile lakin ya Rufaa ikaamua tofauti

tatizo ni lugha na vitendo visivyo vya kistaarabu

kuna wangapi wametoa mawazo lakini wapo huru

kuna haja gani ya kuzungumzia mambo ya kuvunja Muungano au kuhusisha dini au asili ya Rais kwny mikataba ?

Mikataba mingapi mibovu imeingiwa na ma Rais kutokea Tanzania bara?

hoja ya Bandari wamei dilute wenyewe kwa kukosa maarifa

Wanaharakati na Wanasiasa wajifunze maarifa ya kusukuma agenda badala ya kujitafutia umaarufu binafsi
Umezungumzia majaji sawa, kwamba wanatoa maamuzi yao kulingana na mitazamo yao, wa mahakama kuu wanaweza tofautiana na wale wa mahakama ya rufaa, japo pia usijisahaulishe ubovu wa idara yetu ya mahakama nchini.

Pia, umezengumzia maprofesa sawa, nao wameoa maoni yao kulungana na mitazamao yao, kama Prof. Tiba na Assad.

Lakini mbona hujazungumzia wanasiasa, nione vile ungewapa uhuru wao kama uliotoa kwa hayo makundi mawili tofauti uliyoyayaja hapo juu? ungetuonesha wanasiasa wanatakiwa kuzungumza kuanzia wapi na kuishia wapi..

Unawalaumu kwa kuingiza mambo ya muungano, kwani hilo ni kosa? huoni wale waliosaini ule mkataba wa bandari ni wazanzibari? unataka huu ukweli ufichwe ili iweje? na hata kama marais waliotangulia waliharibu, lakini hawakusemwa origin yao sio sababu ya kumficha huyo mzanzibari msaliti.

Hilo la dini limeletwa na wajinga, kuwatumia wapumbavu ili kuficha usaliti waliotufanyia, na bahati nzuri this time wamejibiwa kwa namna ile ile waliyokuja nayo, sio kufichana kama miaka ya nyuma wakaendelea kutuletea mazoea ya kijinga, ukiwa mwizi utaitwa mwizi bila kujali dini yako, na ukiwa msaliti utaitwa msaliti bila kujali dini yako.
 
ma Prof wote Tibaijuka, Shivji na Assad wametoa mawazo yao base on their knowledge, experience n.k na hakuna alietukana wala kudhalilisha wala kutishia mtu

hata Majaji japo wote ni wanasheria lakini kwny kutoa maamuzi wanaweza kutofautiana au Mahakama kuu Jaji akasema vile lakin ya Rufaa ikaamua tofauti

tatizo ni lugha na vitendo visivyo vya kistaarabu

kuna wangapi wametoa mawazo lakini wapo huru

kuna haja gani ya kuzungumzia mambo ya kuvunja Muungano au kuhusisha dini au asili ya Rais kwny mikataba ?

Mikataba mingapi mibovu imeingiwa na ma Rais kutokea Tanzania bara?

hoja ya Bandari wamei dilute wenyewe kwa kukosa maarifa

Wanaharakati na Wanasiasa wajifunze maarifa ya kusukuma agenda badala ya kujitafutia umaarufu binafsi
Umezungumzia majaji sawa, kwamba wanatoa maamuzi yao kulingana na mitazamo yao, wa mahakama kuu wanaweza tofautiana na wale wa mahakama ya rufaa, japo pia usijisahaulishe ubovu wa idara yetu ya mahakama nchini.

Pia, umezengumzia maprofesa sawa, nao wameoa maoni yao kulungana na mitazamao yao, kama Prof. Tiba na Assad.

Lakini mbona hujazungumzia wanasiasa, nione vile ungewapa uhuru wao kama uliotoa kwa hayo makundi mawili tofauti uliyoyayaja hapo juu? ungetuonesha wanasiasa wanatakiwa kuzungumza kuanzia wapi na kuishia wapi..

Unawalaumu kwa kuingiza mambo ya muungano, kwani hilo ni kosa? huoni wale waliosaini ule mkataba wa bandari ni wazanzibari? unataka huu ukweli ufichwe ili iweje? na hata kama marais waliotangulia waliharibu, lakini hawakusemwa origin yao sio sababu ya kumficha huyo mzanzibari msaliti.

Hilo la dini limeletwa na wajinga, kuwatumia wapumbavu ili kuficha usaliti waliotufanyia, na bahati nzuri this time wamejibiwa kwa namna ile ile waliyokuja nayo, sio kufichana kama miaka ya nyuma wakaendelea kutuletea mazoea ya kijinga, ukiwa mwizi utaitwa mwizi bila kujali dini yako, na ukiwa msaliti utaitwa msaliti bila kujali dini yako.
 
ma Prof wote Tibaijuka, Shivji na Assad wametoa mawazo yao base on their knowledge, experience n.k na hakuna alietukana wala kudhalilisha wala kutishia mtu

hata Majaji japo wote ni wanasheria lakini kwny kutoa maamuzi wanaweza kutofautiana au Mahakama kuu Jaji akasema vile lakin ya Rufaa ikaamua tofauti

tatizo ni lugha na vitendo visivyo vya kistaarabu

kuna wangapi wametoa mawazo lakini wapo huru

kuna haja gani ya kuzungumzia mambo ya kuvunja Muungano au kuhusisha dini au asili ya Rais kwny mikataba ?

Mikataba mingapi mibovu imeingiwa na ma Rais kutokea Tanzania bara?

hoja ya Bandari wamei dilute wenyewe kwa kukosa maarifa

Wanaharakati na Wanasiasa wajifunze maarifa ya kusukuma agenda badala ya kujitafutia umaarufu binafsi
Umezungumzia majaji sawa, kwamba wanatoa maamuzi yao kulingana na mitazamo yao, wa mahakama kuu wanaweza tofautiana na wale wa mahakama ya rufaa, japo pia usijisahaulishe ubovu wa idara yetu ya mahakama nchini.

Pia, umezengumzia maprofesa sawa, nao wameoa maoni yao kulungana na mitazamao yao, kama Prof. Tiba na Assad.

Lakini mbona hujazungumzia wanasiasa, nione vile ungewapa uhuru wao kama uliotoa kwa hayo makundi mawili tofauti uliyoyayaja hapo juu? ungetuonesha wanasiasa wanatakiwa kuzungumza kuanzia wapi na kuishia wapi..

Unawalaumu kwa kuingiza mambo ya muungano, kwani hilo ni kosa? huoni wale waliosaini ule mkataba wa bandari ni wazanzibari? unataka huu ukweli ufichwe ili iweje? na hata kama marais waliotangulia waliharibu, lakini hawakusemwa origin yao sio sababu ya kumficha huyo mzanzibari msaliti.

Hilo la dini limeletwa na wajinga, kuwatumia wapumbavu ili kuficha usaliti waliotufanyia, na bahati nzuri this time wamejibiwa kwa namna ile ile waliyokuja nayo, sio kufichana kama miaka ya nyuma wakaendelea kutuletea mazoea ya kijinga, ukiwa mwizi utaitwa mwizi bila kujali dini yako, na ukiwa msaliti utaitwa msaliti bila kujali dini yako.
 
Umezungumzia majaji sawa, kwamba wanatoa maamuzi yao kulingana na mitazamo yao, wa mahakama kuu wanaweza tofautiana na wale wa mahakama ya rufaa, japo pia usijisahaulishe ubovu wa idara yetu ya mahakama nchini.

Pia, umezengumzia maptofesa sawa, nao wameoa maoni yao kulungana na mitazamao yao, kama Prof. Tiba na Assad.

Lakini mbona hujazungumzia wanasiasa, nione vile ungewapa uhuru wao kama uliotoa kwa hayo makundi mawili tofauti uliyoyayaja hapo juu? ungetuonesha wanasiasa wanatakiwa kuzungumza kuanzia wapi na kuishia wapi..

Unawalaumu kwa kuingiza mambo ya muungano, kwani hilo ni kosa? huoni wale waliosaini ule mkataba wa bandari ni wazanzibari? unataka huu ukweli ufichwe ili iweje? na hata kama marais waliotangulia waliharibu lakini hawakusemwa origin yao sio sababu ya kumficha huyo mzanzibari msaliti.

Hilo la dini limeletwa na wajinga, kuwatumia wapumbavu ili kuficha usaliti waliotufanyia, na bahati nzuri this time wamejibiwa kwa namna ile ile waliyokuja nayo, sio kufichana kama miaka ya nyuma wakaendelea kutuletea mazoea ya kijinga, ukiwa mwizi utaitwa mwizi bila kujali dini yako, na ukiwa msaliti utaitwa msaliti bila kujali dini yako.
Unajifanya unaweza kushindana na dola wakati mmetoka kunywea kwa miaka Saba bila ya mikutano baada ya kupigwa marufuku

Wanasiasa wangapi wametoa mawazo yao na hawajakamatwa ? Mnyika au Sugu wamekamatwa ? si wamekosoa ? kama kutumia haki ya kutoa maoni haina haja ya kutumia lugha ya staha ilikuaje walikubaliana na watawala kutumia lugha hiyo kama sharti mojawapo ya kufunguliwa mikutano ?

mnaanzaga Siasa za nginja nginja wakati mapafu ya kukabiliana na marathon hiyo hamna na ushahidi upo mlipojaribu kuntingisha JPM kwa operation ukuta aliwakazia mkanywea

usijidanganye kwny Siasa ili ufanikiwe unahitaji Katiba mpya pekee, akili kubwa ndio mnachokosa …kama kila Nchi wangesubiri Katiba mpya basi hadi leo wangekuwa wanasubiri au unadhani kote walipotolewa Watawala hawakuwa wanabebwa na dola?

kasomeni kina Nyerere walipokabiliana na wahafidhina wa ndani ya TANU hadi wakafanikiwa kwa waliyofanikiwa . Inawezekana hata wale Machizi wa Mbeya mmepandikiziwa ili kuharibu mjadala nanyi mkajaa kichwa kichwa kama kawaida yenu

pengine wamejazwa wawahi kortini ili isemwe hivi

' Bunge limeridhia, Mahakama pia imeridhia sasa na hata Chama tawala kimeridhia pia '

sasa hivi wanakata rufaa ili na Mahakama za juu ziridhie kabla ya kusainiwa Mikataba ya utekelezaji

Tatizo lenu mkiwa huko mnajipa jukumu la kukosoa na kujisahau kuwa hata nyinyi mbakosea na mkirekebishwa msikomaze shingo
 
uwe unakuwa na akili kidogo :D :D :D :D :D . Tibaijuka haja taja neno kuandamana! Ukitaja kuandamana, kwa tafsiri ya takataka lile, ni kuwa unapindua serikali!
Kwahiyo maandamano nikupindua Serikali? Du upuuzi mtupu, maandamano si yanafundishwa hata shuleni, ni njia mojawapo ya wananchi kudai haki yao.
 
Hii kamata kamata ya mama Samia dhidi ya wanahoji na kupinga mkataba mbovu baina ya Tanzania na DP World inaonesha ni mkakati B wa kuzima hoja hiyo.

Wasomi binafsi wa Cuba tulielewa sana matukio yaliyojiri hivi karibuni ambapo jamii iligoma kuhamishwa kutoka kwenye hoja hii yenye utata mkubwa.

Kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude Nyangali na hatimaye jana kukamatwa kwa Dr. W Slaa ambao kwa uwazi upfront wameonesha msimamo wao kupinga namna mkataba huu ulivyoingiwa. Hususani wanapinga hadidu za mkataba ambazo hazitoi unafuu kwa Tanzania huku ikimmilikisha mwekezaji eneo letu la nchi milele jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya JMT Ibara ya 28(3) inayokataza siyo tu kusalimisha sehemu au nchi kwa mshindi wa vita bali inakataza mkataba wowote wa kutoa kipande cha nchi kwa nchi, kikundi ama taifa lolote kwa namna ama taathira za kimkataba

Uwezekano mkubwa wa kamatakamata inqyoendelea kuwa imewakumba wengi. Na kwa kuwa wengi siyo maarufu, kwa namna vyombo vyetu vya dola vilivyo na upungufu wa utu na haki za binadamu inawezekana kuna ambao wamepaishwa mawinguni na ushahidi ukafunikwa. Zipo ripoti nyingi za watu waliopotea kwenye mikono ya vyombo vya dola huku serikali ikitulia tuli bila kuchukua hatua.

Nimejiuliza hapa kwa sauti. Je Prof Tibaijuka naye atajumuishwa miongoni mwa matishio ya utawala wa awamu ya 6 au she will be spared lakini akioneshwa tanuru wanalopitia wazalendo wenzake?
we hata huelewei unachoandika, Tibaijuka ni wapi alimtukana mtu, wapi alieneza chuki, wapi alifanya uchochezi, acha kuchanganya mambo kwa maslahi yako ya hovyo. Tibaijuka alitoa maoni yake na wala hakuendlea na upuuzi km huo walioufanya hao wapuuzi. mmekosa pa kshika mpaka umhusishe mtu asiyehusika na huo upuuzi wenu. Muishi km raia wema, heshimuni sheria ya nchi, viongozi wetu wameapa kulinda sheria, ukileta upuuzi wao utashughulikiwa tu kwa mujibu wa sheria
 
Hii kamata kamata ya mama Samia dhidi ya wanahoji na kupinga mkataba mbovu baina ya Tanzania na DP World inaonesha ni mkakati B wa kuzima hoja hiyo.

Wasomi binafsi wa Cuba tulielewa sana matukio yaliyojiri hivi karibuni ambapo jamii iligoma kuhamishwa kutoka kwenye hoja hii yenye utata mkubwa.

Kukamatwa kwa Wakili Mwabukusi, Mdude Nyangali na hatimaye jana kukamatwa kwa Dr. W Slaa ambao kwa uwazi upfront wameonesha msimamo wao kupinga namna mkataba huu ulivyoingiwa. Hususani wanapinga hadidu za mkataba ambazo hazitoi unafuu kwa Tanzania huku ikimmilikisha mwekezaji eneo letu la nchi milele jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya JMT Ibara ya 28(3) inayokataza siyo tu kusalimisha sehemu au nchi kwa mshindi wa vita bali inakataza mkataba wowote wa kutoa kipande cha nchi kwa nchi, kikundi ama taifa lolote kwa namna ama taathira za kimkataba

Uwezekano mkubwa wa kamatakamata inqyoendelea kuwa imewakumba wengi. Na kwa kuwa wengi siyo maarufu, kwa namna vyombo vyetu vya dola vilivyo na upungufu wa utu na haki za binadamu inawezekana kuna ambao wamepaishwa mawinguni na ushahidi ukafunikwa. Zipo ripoti nyingi za watu waliopotea kwenye mikono ya vyombo vya dola huku serikali ikitulia tuli bila kuchukua hatua.

Nimejiuliza hapa kwa sauti. Je Prof Tibaijuka naye atajumuishwa miongoni mwa matishio ya utawala wa awamu ya 6 au she will be spared lakini akioneshwa tanuru wanalopitia wazalendo wenzake?
Utafiti Toka enzi za jpm unaonyesha, hata wakizinguana ccm hawatumiani polis, reference the late Membe. Polis wanatumwa kwa wapinzani tu. Mccm hutishiwa kuvuliwa uanachama, katu hakamatwi na policcm
 
Utafiti Toka enzi za jpm unaonyesha, hata wakizinguana ccm hawatumiani polis, reference the late Membe. Polis wanatumwa kwa wapinzani tu. Mccm hutishiwa kuvuliwa uanachama, katu hakamatwi na policcm
Kumbe ipo bias
 
Back
Top Bottom