Wanaopinga Mkataba kati ya DP World na Serikali wanaeleweka zaidi kuliko wale wanaouunga mkono

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,896
3,206
Habari wana JamiiForums.

Rejea kichwa cha habari chahusika.

Lengo la kuandika uzi huu ni kutoa maoni yangu juu ya wanaopinga mkataba kati ya DPW na serikali yetu ya Tanzania.

Kwa maoni yangu, naona wale wanaopinga mkataba huu wanaeleweka zaidi kuliko wale wanaouunga mkono.

Wale wanaopinga wanatoa hoja za msingi kabisa kama vile mkataba kutokuwa na ukomo, mkataba kujumisha bandari zote za Tanzania bara (zile za bahari na maziwa), mkataba kuweka chini ya usimamizi wa DPW njia zote za kimkakati wa kiuchumi, mkataba kuipendelea zaidi DPW kulinganisha na serikali, Mkataba kutoainisha kiasi gani tutapata kama nchi tukishaingia mkataba n.k.

Kwa upande wa wale wanaouunga mkono, wengi hawana hoja zaidi ya kuwapinga wale wanaoupinga na kuingiza masuala ya Uarabu na dini ya Kiislamu.

Naomba kuwasilisha.
 
Habari wana jamii forum.

Rejea kichwa cha habari chahusika.

Lengo la kuandika uzi huu ni kutoa maoni yangu juu ya wanaopinga mkataba kati ya DPW na serikali yetu ya Tanzania.

Kwa maoni yangu, naona wale wanaopinga mkataba huu wanaeleweka zaidi kuliko wale wanaouunga mkono.

Wale wanaopinga wanatoa hoja za msingi kabisa kama vile mkataba kutokuwa na ukomo, mkataba kujumisha bandari zote za Tanzania bara (zile za bahari na maziwa), mkataba kuweka chini ya usimamizi wa DPW njia zote za kimkakati wa kiuchumi, mkataba kuipendelea zaidi DPW kulinganisha na serikali, Mkataba kutoainisha kiasi gani tutapata kama nchi tukishaingia mkataba n.k.

Kwa upande wa wale wanaouunga mkono, wengi hawana hoja zaidi ya kuwapinga wale wanaoupinga na kuingiza masuala ya Uarabu na dini ya Kiislamu!

Naomba kuwasilisha.
Sakata la Bandari Werevu wananyamazishwa wajinga wanapewa airtime
 
Waliojenga hoja ya kupinga ndio waliongoza hoja ya udini,Uarabu, Utanganyika na Uzanzibari Kwa ajili ya upuuzi wao. Na wakabeba na maaskofu, wachungaji na mapadri kwenye majukwaa yao

Na mnaendelea
Hivi nyie wenzetu huwa mnatumia nini kufikiri?!
 
Habari wana jamii forum.

Rejea kichwa cha habari chahusika.

Lengo la kuandika uzi huu ni kutoa maoni yangu juu ya wanaopinga mkataba kati ya DPW na serikali yetu ya Tanzania.

Kwa maoni yangu, naona wale wanaopinga mkataba huu wanaeleweka zaidi kuliko wale wanaouunga mkono.

Wale wanaopinga wanatoa hoja za msingi kabisa kama vile mkataba kutokuwa na ukomo, mkataba kujumisha bandari zote za Tanzania bara (zile za bahari na maziwa), mkataba kuweka chini ya usimamizi wa DPW njia zote za kimkakati wa kiuchumi, mkataba kuipendelea zaidi DPW kulinganisha na serikali, Mkataba kutoainisha kiasi gani tutapata kama nchi tukishaingia mkataba n.k.

Kwa upande wa wale wanaouunga mkono, wengi hawana hoja zaidi ya kuwapinga wale wanaoupinga na kuingiza masuala ya Uarabu na dini ya Kiislamu!

Naomba kuwasilisha.
Wale tunaosema mkataba bado mbona umetusahau?
 
Kwaufupi tu, wale oote waliozoea wizi, kipitisha vitu vya kishenzi , kwa njia ya bandari wakatafute kazi ya kufanya, na sio bandari tu, hata bandar bubu zitaundiwa timu maalum ya kushughulika nazo.
Watu mnaambiwa mkalime hamtaki.
Hilo hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anapinga, na hakuna anayepinga uwekezaji Mkuu.
Suala tunalipinga ni masharti ya hovyo yaliyoko kwenye huo mkataba wa DPW.
 
Waliojenga hoja ya kupinga ndio waliongoza hoja ya udini,Uarabu, Utanganyika na Uzanzibari Kwa ajili ya upuuzi wao. Na wakabeba na maaskofu, wachungaji na mapadri kwenye majukwaa yao

Na mnaendelea
Maaskofu wanaounga mkono nao wamebebwa na nani!?
 
Hilo hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anapinga, na hakuna anayepinga uwekezaji Mkuu.
Suala tunalipinga ni masharti ya hovyo yaliyoko kwenye huo mkataba wa DPW.
Hako ni kakikwazo tu kanatengenezwa kwa lengo la tahaluki kwa watanzania..wanajua wakitengeneza kataharuki watanzania wengi hawana uelewa wa kutosha watawafuata.

Wewe unafikiri kwanini kwenye hiko kikwazo kinachowafanya wapinge kwa nguvu zote, kwa nini kwa makusudi wanawaaminisha watanzania hawa wasioelewa kua bandari inauzwa?
Wanajua watanzania hawana uelewa wa kutosha ndio wanaingiza maneno ya taharu ya aina hii kumbe sio kweli.

"ingeni kwa mfumo wa kutoa elimu kwa watanzania na sio kupinga kwa njia ya kuwapa tahatuki watanzania".
 
Naongezea hapo wanaopinga ni wengi kuliko wanaounga mkono

Pia wanaopinga wengi ni watu wanaojielewa na wengi ni wasomi wanaounga mkono wote ni la 7b na wengine hajaenda shule kabisa
 
Habari wana JamiiForums.

Rejea kichwa cha habari chahusika.

Lengo la kuandika uzi huu ni kutoa maoni yangu juu ya wanaopinga mkataba kati ya DPW na serikali yetu ya Tanzania.

Kwa maoni yangu, naona wale wanaopinga mkataba huu wanaeleweka zaidi kuliko wale wanaouunga mkono.

Wale wanaopinga wanatoa hoja za msingi kabisa kama vile mkataba kutokuwa na ukomo, mkataba kujumisha bandari zote za Tanzania bara (zile za bahari na maziwa), mkataba kuweka chini ya usimamizi wa DPW njia zote za kimkakati wa kiuchumi, mkataba kuipendelea zaidi DPW kulinganisha na serikali, Mkataba kutoainisha kiasi gani tutapata kama nchi tukishaingia mkataba n.k.

Kwa upande wa wale wanaouunga mkono, wengi hawana hoja zaidi ya kuwapinga wale wanaoupinga na kuingiza masuala ya Uarabu na dini ya Kiislamu.

Naomba kuwasilisha.
Naunga mkono hoja ✔️!! Watu calibre ya choiceVariable yeye alipiga yowe humu kuwashutum wanaopinga mkataba kua hawataki uwekezaji na maendeleo ya Nchi 🤣🤣🤣🤣. Imagine..
 
Back
Top Bottom