Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
- Thread starter
- #21
Unaweza kuwapa nafuu ya gharama za biashara zao lakini angalia masuala kwa upana wake. Mfanyabiashara anaingiza uzoefu wake kibiashara kwa maoni mapana na uzoefu wake.Mfanyabiashara hafai kuwa sehemu ya uendeshaji wa taasisi za serikali kwa mfumo wa Tanzania ni upenyo kuwapa nafuu ya gharama za biashara zao huku wananchi wa kawaida hakuna chochote wanachosaidia maana hajui shida zao na sio sehemu ya kusikiliza kero zao kwa upande mwingine wengine wao hawajawahi kuishi maisha ya shida na uhitaji hivyo sio rahisi kwao kufahamu kwa yakini ni kitu gani wanachokitaka lakini pia serikali inakuwa na usalama kiasi gani kwa rasirimali zake.
1. Mwananchi ndio mwajiri wa wanasiasa wote
2. Mwananchi dio mlaji mkubwa wa bidhaa za mfanyabiashara
3. Mwananchi ndio mhanga mkubwa wa kukwama kwa uchumi na maendeleo bianfsi
4. Mwananchi ndio uhai wa taifa lolote sio mwansiasa au mfanyabiashara
Tusitazame kutazama kwake maslahi yake tutazame uhusika wake wa masuala nyeti na mtazamo wake wa kiutendaji.
Nimetoa mfano wa Erick Hamisi wa TPA jinsi anavyowahusisha wafanyabiashara kama wadau wake wa karibu namna anavyopokea maoni yao ya kikazi badala ya kuwaona kama maadui wenye kutakiwa kumnyenyekea yeye kama bosi anayepita tu kama upepo upitao.
Upeo wa Mohamed Dewji huwezi kuulinganisha na ule wa mbunge fulani wa kawaida tu asiye na uzoefu wala ushawishi mkubwa wa kimataifa hata kama anayo maslahi yake ya kibiashara.a