Kumbukumbu iwekwe vizuri: Tanzania imeongozwa na Serikali batili

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,555
41,066
Kila Taifa, kuna matukio fulani ambayo ni mabaya sana au mazuri sana, huwekwa kwenye kumbukumbu. Na kutokana na kumbukumbu hizo, hata wataalam mbalimbali, wa nyakati mbalimbali, hufanya tafiti kuhusiana na matukio hayo.

Fikiria uchaguzi wa mwaka 2020:
1) Robo tatu ya wagombea wote wa ubunge kupitia CCM ambao walipitishwa na wajumbe kuwa wagombea kupitia CCM, majina yao yalikatwa na kuwekwa watu wengine. Watu watatu tu, yaani marehemu (Mungu kwa huruma yake tunamwomba amsamehe kote alikokosea), Bashiru na Polepole walifanya kazi hiyo. Rejea tukio hilo, hakuna mtu yeyote ndani ya CCM aliyeweza kupinga au hata kukemea. Jambo kama hilo katika jamii ya watu wenye akili timamu na utashi, lisingewezekana. Tukio hili ni la pekee na la ajabu.

2) Hao, robo tatu ya wagombea walioteuliwa na watu watatu tu, walifanywa kuwa wabunge bila ya kujaliwa wamechaguliwa, wamepigiwa kura au hawakupigiwa kura hata moja. Tukio hilo la ajabu lilifanyika, wanaCCM na Watanzania zaidi ya milioni 60, walikaa kimya. Hili siyo jambo la kawaida. Na kamwe kwenye jamii yenye watu wenye ubinadamu uliokamilika, haliwezi kufanyika, kwetu lilifanyika.

3) Asilimia 95% ya wagombea wote kupitia vyama vya upinzani, majina yao yalikatwa na Mahela. Na hao 5% waliobakia, huko kwenye uchaguzi, wakurugenzi wa Halmashauri waliamua nani apewe kura kiasi gani ili asitangazwe kuwa mbunge. Hilo lilifanyika, na wananchi wote zaidi ya milioni 60, walikaa kimya! Haya ni miongoni ya maajabu makuu ya Dunia.

4) katiba ya nchi inasema Waziri Mkuu, ni lazima awe miongoni mwa wabunge walioupata ubunge kwa kupigiwa kura. Majaliwa hakupata hata kura moja ya mwananchi, akatangazwa ni Waziri Mkuu. Kwa kushirikiana na Rais wakawateua wenzao wengine kwenye hilo genge la wahuni kuwa mawaziri, wakashika na misahafu, wakaapishwa. Majaliwa mtu asiye na kura hata moja akawa waziri mkuu. Na mahakama ikaja kutoa ufafanuzi kuwa kwenye katiba yetu kuna aina mbili tu za wabunge: wabunge wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa, hao wanaoitwa wabumge wa kupita bila kuoingwa ni si wabunge. Lakini Majaliwa na waovu wenzie hawakuachia nafasi waluzojipachika, wala wananchi zaidi ya milioni 60, hawakuwafanya lolote. Haya siyo mambo ya kawaida kwa wanaadamu.

Tukio la Tanzania kuongozwa na Serikali batili na Bunge batili, halafu wananchi wakakaa kimya, siyo kitu kidogo. Huko mbeleni, fikiria hata miaka 1,000 ijayo, ambapo sisi sote tuliopo leo, hatutakuwepo, yawezekana watu wa nyakati hizo kutoka mataifa mbalimbali, wakataka kufanya utafiti wa kitaalam kuhusiana na jambo hili. Kama vile kutaka kujua:

1) Iliwezekana vipi watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na Waziri mkuu batili na mawaziri batili, na hivyo Serikali batili, na watu wakawa wametulia, wakipokea mari na maelekezo kutoka kwa waovu.

2) Watataka kujua kulikuwa na mazingira ya namna gani, labda yalisaidia kufifisha uwezo wa akili za watu wa wakati huo.

3) Watataka kujua kama hao wanaoitwa ni watu zaidi ya milioni 60 kama walikuwa ni binadamu kweli au walikuwa ni viumbe vilivyofanana na wanadamu katika maumbile, lakini siyo kwenye utashi. Ifahamike kuwa wakati huo, yumkini jambo hilo halitawezekana kabisa kutokea, na pengine ardhi ya Tanzania itakuwa inakaliwa na mchanganyiko.mkubwa wa wanadamu.

NB:
Ni vema kumbukumbu zetu zikawekwa vizuri kabisa ili watafiti wa wakati huo wasipate shida, (kama inavyotokea sasa katika kutambua mambo kadhaa ya historia ya Wapalestina na Wayahudi).

1) Napendekeza IQ na DNA za viongozi wote, hasa wa Serikali na CCM, wapimwe. Ili nyakati hizo zijazo, ziweze kufananishwa na watu wa wakati huo, lakini pia zinaweza kulinganishwa na za watu wa nyakati hizi tuishizo kutoka mataifa yasiyo na mambo ya ovyo ovyo kama kama haya ya kwetu.
 
Naunga mkono hoja uvunjifu wa katiba ni mkubwa .

Waziri mkuu atapatikana miongoni mwa wabunge waliopigiwa kura ila ajabu ni kuwa Kassim hakupigiwa kura ila tukaambiwa amepita bila kupingwa.

Je kikatiba kifungu gani wameandika kuwa kuna wabunge wa kupita bila kupingwa.?

Huku pia Kassim akiwa na tuhuma za kumteka aliyejaribu kugombea kutoka chama pinzani na tuhuma hizi zikazimwa chini kwa chini.
 
Mungu kwa huruma yake tunamwomba amsamehe kote alikokosea)
Hapa tunatofautiana ingawa topic yako ni very correct! Wacha liuaji liungeu mpaka basi!

akirudi huyu tutamfikiria angalau ingawa wako wengi sana walipotezwa
1698766638636.png
1698766716314.jpeg
 

Attachments

  • 1698766787809.png
    1698766787809.png
    58.4 KB · Views: 3
Kila Taifa, kuna matukio fulani ambayo ni mabaya sana au mazuri sana, huwekwa kwenye kumbukumbu. Na kutokana na kumbukumbu hizo, hata wataalam mbalimbali, wa nyakati mbalimbali, hufanya tafiti kuhusiana na matukio hayo.

Fikiria uchaguzi wa mwaka 2020:
1) Robo tatu ya wagombea wote wa ubunge kupitia CCM ambao walipitishwa na wajumbe kuwa wagombea kupitia CCM, majina yao yalikatwa na kuwekwa watu wengine. Watu watatu tu, yaani marehemu (Mungu kwa huruma yake tunamwomba amsamehe kote alikokosea), Bashiru na Polepole walifanya kazi hiyo. Rejea tukio hilo, hakuna mtu yeyote ndani ya CCM aliyeweza kupinga au hata kukemea. Jambo kama hilo katika jamii ya watu wenye akili timamu na utashi, lisingewezekana. Tukio hili ni la pekee na la ajabu.

2) Hao, robo tatu ya wagombea walioteuliwa na watu watatu tu, walifanywa kuwa wabunge bila ya kujaliwa wamechaguliwa, wamepigiwa kura au hawakupigiwa kura hata moja. Tukio hilo la ajabu lilifanyika, wanaCCM na Watanzania zaidi ya milioni 60, walikaa kimya. Hili siyo jambo la kawaida. Na kamwe kwenye jamii yenye watu wenye ubinadamu uliokamilika, haliwezi kufanyika, kwetu lilifanyika.

3) Asilimia 95% ya wagombea wote kupitia vyama vya upinzani, majina yao yalikatwa na Mahela. Na hao 5% waliobakia, huko kwenye uchaguzi, wakurugenzi wa Halmashauri waliamua nani apewe kura kiasi gani ili asitangazwe kuwa mbunge. Hilo lilifanyika, na wananchi wote zaidi ya milioni 60, walikaa kimya! Haya ni miongoni ya maajabu makuu ya Dunia.

4) katiba ya nchi inasema Waziri Mkuu, ni lazima awe miongoni mwa wabunge walioupata ubunge kwa kupigiwa kura. Majaliwa hakupata hata kura moja ya mwananchi, akatangazwa ni Waziri Mkuu. Kwa kushirikiana na Rais wakawateua wenzao wengine kwenye hilo genge la wahuni kuwa mawaziri, wakashika na misahafu, wakaapishwa. Majaliwa mtu asiye na kura hata moja akawa waziri mkuu. Na mahakama ikaja kutoa ufafanuzi kuwa kwenye katiba yetu kuna aina mbili tu za wabunge: wabunge wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa, hao wanaoitwa wabumge wa kupita bila kuoingwa ni si wabunge. Lakini Majaliwa na waovu wenzie hawakuachia nafasi waluzojipachika, wala wananchi zaidi ya milioni 60, hawakuwafanya lolote. Haya siyo mambo ya kawaida kwa wanaadamu.

Tukio la Tanzania kuongozwa na Serikali batili na Bunge batili, halafu wananchi wakakaa kimya, siyo kitu kidogo. Huko mbeleni, fikiria hata miaka 1,000 ijayo, ambapo sisi sote tuliopo leo, hatutakuwepo, yawezekana watu wa nyakati hizo kutoka mataifa mbalimbali, wakataka kufanya utafiti wa kitaalam kuhusiana na jambo hili. Kama vile kutaka kujua:

1) Iliwezekana vipi watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na Waziri mkuu batili na mawaziri batili, na hivyo Serikali batili, na watu wakawa wametulia, wakipokea mari na maelekezo kutoka kwa waovu.

2) Watataka kujua kulikuwa na mazingira ya namna gani, labda yalisaidia kufifisha uwezo wa akili za watu wa wakati huo.

3) Watataka kujua kama hao wanaoitwa ni watu zaidi ya milioni 60 kama walikuwa ni binadamu kweli au walikuwa ni viumbe vilivyofanana na wanadamu katika maumbile, lakini siyo kwenye utashi. Ifahamike kuwa wakati huo, yumkini jambo hilo halitawezekana kabisa kutokea, na pengine ardhi ya Tanzania itakuwa inakaliwa na mchanganyiko.mkubwa wa wanadamu.

NB:
Ni vema kumbukumbu zetu zikawekwa vizuri kabisa ili watafiti wa wakati huo wasipate shida, (kama inavyotokea sasa katika kutambua mambo kadhaa ya historia ya Wapalestina na Wayahudi).
1) Napendekeza IQ na DNA za viongozi wote, hasa wa Serikali na CCM, wapimwe. Ili nyakati hizo zijazo, ziweze kufananishwa na watu wa wakati huo, lakini pia zinaweza kulinganishwa na za watu wa nyakati hizi tuishizo kutoka mataifa yasiyo na mambo ya hovyo hovyo kama kama haya ya kwetu.
Naunga mkono HOJA 🙏

Tusikubali BATILI kuendelea 2024/2025!!!
 
Hapa tunatofautiana ingawa topic yako ni very correct! Wacha liuaji liungeu mpaka basi!
Kwa kweli inaumiza sana mtu anapokutendea uovu, hasa ule wa kuuliwa nduguyo, rafikiyo au hata mwananchi mwenzako (tulifundishwa kuwa sisi sote ni ndugu). Lakini waumini, na hasa wa Yesu, tunafundishwa kusamehe bila kuchoka, tukifuata mfano wake, kumbuka alivyowaambia wayahudi waliomtundika msalabani, kabla ya kufa kwake alinena, "Baba uwasamehe kwani hawajui walitendalo".
 
"Baba uwasamehe kwani hawajui walitendalo".
Mimi ni mkatoliki sana. Nakubaliana na wewe msamaha. Najiweka kwenye nafsi ya baba na mama, Mke wa Ben na wengineo! Najisikia vibaya na woga mkubwa sana. Magufuli alifanya mambo mabaya sana. Lakini Jiwe alijua alitendalo!
 
1) Robo tatu ya wagombea wote wa ubunge kupitia CCM ambao walipitishwa na wajumbe kuwa wagombea kupitia CCM, majina yao yalikatwa na kuwekwa watu wengine. Watu watatu tu, yaani marehemu (Mungu kwa huruma yake tunamwomba amsamehe kote alikokosea), Bashiru na Polepole walifanya kazi hiyo.
Duh..
Kwenye nchi zinazojitambua watu kama hawa wangekuwa korokoroni muda huu
 
Kila Taifa, kuna matukio fulani ambayo ni mabaya sana au mazuri sana, huwekwa kwenye kumbukumbu. Na kutokana na kumbukumbu hizo, hata wataalam mbalimbali, wa nyakati mbalimbali, hufanya tafiti kuhusiana na matukio hayo.

Fikiria uchaguzi wa mwaka 2020:
1) Robo tatu ya wagombea wote wa ubunge kupitia CCM ambao walipitishwa na wajumbe kuwa wagombea kupitia CCM, majina yao yalikatwa na kuwekwa watu wengine. Watu watatu tu, yaani marehemu (Mungu kwa huruma yake tunamwomba amsamehe kote alikokosea), Bashiru na Polepole walifanya kazi hiyo. Rejea tukio hilo, hakuna mtu yeyote ndani ya CCM aliyeweza kupinga au hata kukemea. Jambo kama hilo katika jamii ya watu wenye akili timamu na utashi, lisingewezekana. Tukio hili ni la pekee na la ajabu.

2) Hao, robo tatu ya wagombea walioteuliwa na watu watatu tu, walifanywa kuwa wabunge bila ya kujaliwa wamechaguliwa, wamepigiwa kura au hawakupigiwa kura hata moja. Tukio hilo la ajabu lilifanyika, wanaCCM na Watanzania zaidi ya milioni 60, walikaa kimya. Hili siyo jambo la kawaida. Na kamwe kwenye jamii yenye watu wenye ubinadamu uliokamilika, haliwezi kufanyika, kwetu lilifanyika.

3) Asilimia 95% ya wagombea wote kupitia vyama vya upinzani, majina yao yalikatwa na Mahela. Na hao 5% waliobakia, huko kwenye uchaguzi, wakurugenzi wa Halmashauri waliamua nani apewe kura kiasi gani ili asitangazwe kuwa mbunge. Hilo lilifanyika, na wananchi wote zaidi ya milioni 60, walikaa kimya! Haya ni miongoni ya maajabu makuu ya Dunia.

4) katiba ya nchi inasema Waziri Mkuu, ni lazima awe miongoni mwa wabunge walioupata ubunge kwa kupigiwa kura. Majaliwa hakupata hata kura moja ya mwananchi, akatangazwa ni Waziri Mkuu. Kwa kushirikiana na Rais wakawateua wenzao wengine kwenye hilo genge la wahuni kuwa mawaziri, wakashika na misahafu, wakaapishwa. Majaliwa mtu asiye na kura hata moja akawa waziri mkuu. Na mahakama ikaja kutoa ufafanuzi kuwa kwenye katiba yetu kuna aina mbili tu za wabunge: wabunge wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa, hao wanaoitwa wabumge wa kupita bila kuoingwa ni si wabunge. Lakini Majaliwa na waovu wenzie hawakuachia nafasi waluzojipachika, wala wananchi zaidi ya milioni 60, hawakuwafanya lolote. Haya siyo mambo ya kawaida kwa wanaadamu.

Tukio la Tanzania kuongozwa na Serikali batili na Bunge batili, halafu wananchi wakakaa kimya, siyo kitu kidogo. Huko mbeleni, fikiria hata miaka 1,000 ijayo, ambapo sisi sote tuliopo leo, hatutakuwepo, yawezekana watu wa nyakati hizo kutoka mataifa mbalimbali, wakataka kufanya utafiti wa kitaalam kuhusiana na jambo hili. Kama vile kutaka kujua:

1) Iliwezekana vipi watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na Waziri mkuu batili na mawaziri batili, na hivyo Serikali batili, na watu wakawa wametulia, wakipokea mari na maelekezo kutoka kwa waovu.

2) Watataka kujua kulikuwa na mazingira ya namna gani, labda yalisaidia kufifisha uwezo wa akili za watu wa wakati huo.

3) Watataka kujua kama hao wanaoitwa ni watu zaidi ya milioni 60 kama walikuwa ni binadamu kweli au walikuwa ni viumbe vilivyofanana na wanadamu katika maumbile, lakini siyo kwenye utashi. Ifahamike kuwa wakati huo, yumkini jambo hilo halitawezekana kabisa kutokea, na pengine ardhi ya Tanzania itakuwa inakaliwa na mchanganyiko.mkubwa wa wanadamu.

NB:
Ni vema kumbukumbu zetu zikawekwa vizuri kabisa ili watafiti wa wakati huo wasipate shida, (kama inavyotokea sasa katika kutambua mambo kadhaa ya historia ya Wapalestina na Wayahudi).
1) Napendekeza IQ na DNA za viongozi wote, hasa wa Serikali na CCM, wapimwe. Ili nyakati hizo zijazo, ziweze kufananishwa na watu wa wakati huo, lakini pia zinaweza kulinganishwa na za watu wa nyakati hizi tuishizo kutoka mataifa yasiyo na mambo ya hovyo hovyo kama kama haya ya kwetu.
Bams, wenye akili walilipigia kelele sana hili jambo lakini wajinga na wengine waliotawaliwa na njaa za kujipendekeza ili wateuliwe kwenye nyazifa mbalimbali, waliwaita hao wazalendo majina ya ajabuajabu; vibaraka wa mabeberu, wasaliti nk. Jamii yetu ilifikia unafiki wa kiwango cha juu. Siasa ziingia hadi kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Ili kupata cheo ktk utumishi wa umma ilibidi umuite mkuru majina yote, na tuliviona vibweka toka kwa vijana wasiokuwa na adabu walivyofanya baada ya kuteuliwa kwenye nafasi za madaraka.

Kila jambo lina funzo, akina Bashiru, Kabudi na huyo Polepole tuliwagundua rangi zao. Kabla tuliwaona watu wenye msimamo wanaosimamia wanachokiamini kumbe ilikuwa ni njaa.

Uongo na takwimu za kupikwa huku watu tukifungwa midomo zilitufanya tuaminishwe uchumi unapaa kwa fedha ya ndani. Tumeachiwa madeni na adhabu ya mikaba iliyovunjwa kibabe bila kutumia akili uku tukiwaacha watu haohao waendelee kusalia madarakani. Ni kweli kizazi kijacho kina haki ya kuhoji kama kweli watu mil. 60 tuna akili kama binadamu au tumeumbwa tu tukifanana na binadamu?
 
Kila Taifa, kuna matukio fulani ambayo ni mabaya sana au mazuri sana, huwekwa kwenye kumbukumbu. Na kutokana na kumbukumbu hizo, hata wataalam mbalimbali, wa nyakati mbalimbali, hufanya tafiti kuhusiana na matukio hayo.

Fikiria uchaguzi wa mwaka 2020:
1) Robo tatu ya wagombea wote wa ubunge kupitia CCM ambao walipitishwa na wajumbe kuwa wagombea kupitia CCM, majina yao yalikatwa na kuwekwa watu wengine. Watu watatu tu, yaani marehemu (Mungu kwa huruma yake tunamwomba amsamehe kote alikokosea), Bashiru na Polepole walifanya kazi hiyo. Rejea tukio hilo, hakuna mtu yeyote ndani ya CCM aliyeweza kupinga au hata kukemea. Jambo kama hilo katika jamii ya watu wenye akili timamu na utashi, lisingewezekana. Tukio hili ni la pekee na la ajabu.

2) Hao, robo tatu ya wagombea walioteuliwa na watu watatu tu, walifanywa kuwa wabunge bila ya kujaliwa wamechaguliwa, wamepigiwa kura au hawakupigiwa kura hata moja. Tukio hilo la ajabu lilifanyika, wanaCCM na Watanzania zaidi ya milioni 60, walikaa kimya. Hili siyo jambo la kawaida. Na kamwe kwenye jamii yenye watu wenye ubinadamu uliokamilika, haliwezi kufanyika, kwetu lilifanyika.

3) Asilimia 95% ya wagombea wote kupitia vyama vya upinzani, majina yao yalikatwa na Mahela. Na hao 5% waliobakia, huko kwenye uchaguzi, wakurugenzi wa Halmashauri waliamua nani apewe kura kiasi gani ili asitangazwe kuwa mbunge. Hilo lilifanyika, na wananchi wote zaidi ya milioni 60, walikaa kimya! Haya ni miongoni ya maajabu makuu ya Dunia.

4) katiba ya nchi inasema Waziri Mkuu, ni lazima awe miongoni mwa wabunge walioupata ubunge kwa kupigiwa kura. Majaliwa hakupata hata kura moja ya mwananchi, akatangazwa ni Waziri Mkuu. Kwa kushirikiana na Rais wakawateua wenzao wengine kwenye hilo genge la wahuni kuwa mawaziri, wakashika na misahafu, wakaapishwa. Majaliwa mtu asiye na kura hata moja akawa waziri mkuu. Na mahakama ikaja kutoa ufafanuzi kuwa kwenye katiba yetu kuna aina mbili tu za wabunge: wabunge wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa, hao wanaoitwa wabumge wa kupita bila kuoingwa ni si wabunge. Lakini Majaliwa na waovu wenzie hawakuachia nafasi waluzojipachika, wala wananchi zaidi ya milioni 60, hawakuwafanya lolote. Haya siyo mambo ya kawaida kwa wanaadamu.

Tukio la Tanzania kuongozwa na Serikali batili na Bunge batili, halafu wananchi wakakaa kimya, siyo kitu kidogo. Huko mbeleni, fikiria hata miaka 1,000 ijayo, ambapo sisi sote tuliopo leo, hatutakuwepo, yawezekana watu wa nyakati hizo kutoka mataifa mbalimbali, wakataka kufanya utafiti wa kitaalam kuhusiana na jambo hili. Kama vile kutaka kujua:

1) Iliwezekana vipi watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na Waziri mkuu batili na mawaziri batili, na hivyo Serikali batili, na watu wakawa wametulia, wakipokea mari na maelekezo kutoka kwa waovu.

2) Watataka kujua kulikuwa na mazingira ya namna gani, labda yalisaidia kufifisha uwezo wa akili za watu wa wakati huo.

3) Watataka kujua kama hao wanaoitwa ni watu zaidi ya milioni 60 kama walikuwa ni binadamu kweli au walikuwa ni viumbe vilivyofanana na wanadamu katika maumbile, lakini siyo kwenye utashi. Ifahamike kuwa wakati huo, yumkini jambo hilo halitawezekana kabisa kutokea, na pengine ardhi ya Tanzania itakuwa inakaliwa na mchanganyiko.mkubwa wa wanadamu.

NB:
Ni vema kumbukumbu zetu zikawekwa vizuri kabisa ili watafiti wa wakati huo wasipate shida, (kama inavyotokea sasa katika kutambua mambo kadhaa ya historia ya Wapalestina na Wayahudi).
1) Napendekeza IQ na DNA za viongozi wote, hasa wa Serikali na CCM, wapimwe. Ili nyakati hizo zijazo, ziweze kufananishwa na watu wa wakati huo, lakini pia zinaweza kulinganishwa na za watu wa nyakati hizi tuishizo kutoka mataifa yasiyo na mambo ya hovyo hovyo kama kama haya ya kwetu.
Sawa kabisa. Mpaka pale wenye uzalendo nchi hii watakaposhika hatamu ndio mambo yatakuwa mazuri. Hadi wakati tujiandae kuona hovyo hovyo za kila aina.
 
Naunga mkono hoja uvunjifu wa katiba ni mkubwa .

Waziri mkuu atapatikana miongoni mwa wabunge waliopigiwa kura ila ajabu ni kuwa Kassim hakupigiwa kura ila tukaambiwa amepita bila kupingwa.

Je kikatiba kifungu gani wameandika kuwa kuna wabunge wa kupita bila kupingwa.?

Huku pia Kassim akiwa na tuhuma za kumteka aliyejaribu kugombea kutoka chama pinzani na tuhuma hizi zikazimwa chini kwa chini.
Rais aliweka wazi ni kwa namna gani wanaichukulia katiba. Rejea maneno katiba ni kajitabu tu. Yaani uchaguzi ule wa 2019-2020 ulidhibirisha ni kwa kiwango gani tuna katiba butu. Kwa Sasa watawala hawa wenye kiburi wanafuata katiba kwa namna wanavyotaka wao, huku jeshi likiishia kupambana na raia mtaani!
 
Bams, wenye akili walilipigia kelele sana hili jambo lakini wajinga na wengine waliotawaliwa na njaa za kujipendekeza ili wateuliwe kwenye nyazifa mbalimbali, waliwaita hao wazalendo majina ya ajabuajabu; vibaraka wa mabeberu, wasaliti nk. Jamii yetu ilifikia unafiki wa kiwango cha juu. Siasa ziingia hadi kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Ili kupata cheo ktk utumishi wa umma ilibidi umuite mkuru majina yote, na tuliviona vibweka toka kwa vijana wasiokuwa na adabu walivyofanya baada ya kuteuliwa kwenye nafasi za madaraka.

Kila jambo lina funzo, akina Bashiru, Kabudi na huyo Polepole tuliwagundua rangi zao. Kabla tuliwaona watu wenye msimamo wanaosimamia wanachokiamini kumbe ilikuwa ni njaa.

Uongo na takwimu za kupikwa huku watu tukifungwa midomo zilitufanya tuaminishwe uchumi unapaa kwa fedha ya ndani. Tumeachiwa madeni na adhabu ya mikaba iliyovunjwa kibabe bila kutumia akili uku tukiwaacha watu haohao waendelee kusalia madarakani. Ni kweli kizazi kijacho kina haki ya kuhoji kama kweli watu mil. 60 tuna akili kama binadamu au tumeumbwa tu tukifanana na binadamu?
Sahihi kabisa, na mbegu ile iliyopandwa Magufuli ya kutoheshimu uchaguzi imeshamea, sitegemei kuona tena uchaguzi wa haki katika mazingira haya haya ya katiba hii, na time hii ya uchaguzi. Nisamehewe kwa kutowaelewa watu walioamua kuingia msituni kwenye nchi zao.
 
Rais aliweka wazi ni kwa namna gani wanaichukulia katiba. Rejea maneno katiba ni kajitabu tu. Yaani uchaguzi ule wa 2019-2020 ulidhibirisha ni kwa kiwango gani tuna katiba butu. Kwa Sasa watawala hawa wenye kiburi wanafuata katiba kwa namna wanavyotaka wao, huku jeshi likiishia kupambana na raia mtaani!
Siku nyingine rais akifia madarakani baada ya siku 90 nchi inapaswa irudi kwenye uchaguzi.

Ajali mbili za kisiasa zilizitokea 2015 na 2021 ndio zimetufikisha hapa.

CCM na tawi lao la polisi wana kila sababu ya kuwaomba radhi watanzania.
 
Amini nakwambia haya yote yanasababushwa na kukosa vyama pinzani madhubuti na vyenye Nia ya dhati, tulivyonavyo ni waganga njaa tu.
 
Oops !

Ccm Na Wahuni Wote Wakipita Hapa Hawataweza Kutoa Comments Ila Watabubujikwa Machozi Sasa Sijui Tumelogwa Ama Nini! Katiba Imesiginwa Na Wahuni Utawala Ni Batili



Ukimya Huu Kwenye Sisi Siyo Wa Kawaida


Watu Watatu Wametuhenyesha
 
Kila Taifa, kuna matukio fulani ambayo ni mabaya sana au mazuri sana, huwekwa kwenye kumbukumbu. Na kutokana na kumbukumbu hizo, hata wataalam mbalimbali, wa nyakati mbalimbali, hufanya tafiti kuhusiana na matukio hayo.

Fikiria uchaguzi wa mwaka 2020:
1) Robo tatu ya wagombea wote wa ubunge kupitia CCM ambao walipitishwa na wajumbe kuwa wagombea kupitia CCM, majina yao yalikatwa na kuwekwa watu wengine. Watu watatu tu, yaani marehemu (Mungu kwa huruma yake tunamwomba amsamehe kote alikokosea), Bashiru na Polepole walifanya kazi hiyo. Rejea tukio hilo, hakuna mtu yeyote ndani ya CCM aliyeweza kupinga au hata kukemea. Jambo kama hilo katika jamii ya watu wenye akili timamu na utashi, lisingewezekana. Tukio hili ni la pekee na la ajabu.

2) Hao, robo tatu ya wagombea walioteuliwa na watu watatu tu, walifanywa kuwa wabunge bila ya kujaliwa wamechaguliwa, wamepigiwa kura au hawakupigiwa kura hata moja. Tukio hilo la ajabu lilifanyika, wanaCCM na Watanzania zaidi ya milioni 60, walikaa kimya. Hili siyo jambo la kawaida. Na kamwe kwenye jamii yenye watu wenye ubinadamu uliokamilika, haliwezi kufanyika, kwetu lilifanyika.

3) Asilimia 95% ya wagombea wote kupitia vyama vya upinzani, majina yao yalikatwa na Mahela. Na hao 5% waliobakia, huko kwenye uchaguzi, wakurugenzi wa Halmashauri waliamua nani apewe kura kiasi gani ili asitangazwe kuwa mbunge. Hilo lilifanyika, na wananchi wote zaidi ya milioni 60, walikaa kimya! Haya ni miongoni ya maajabu makuu ya Dunia.

4) katiba ya nchi inasema Waziri Mkuu, ni lazima awe miongoni mwa wabunge walioupata ubunge kwa kupigiwa kura. Majaliwa hakupata hata kura moja ya mwananchi, akatangazwa ni Waziri Mkuu. Kwa kushirikiana na Rais wakawateua wenzao wengine kwenye hilo genge la wahuni kuwa mawaziri, wakashika na misahafu, wakaapishwa. Majaliwa mtu asiye na kura hata moja akawa waziri mkuu. Na mahakama ikaja kutoa ufafanuzi kuwa kwenye katiba yetu kuna aina mbili tu za wabunge: wabunge wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa, hao wanaoitwa wabumge wa kupita bila kuoingwa ni si wabunge. Lakini Majaliwa na waovu wenzie hawakuachia nafasi waluzojipachika, wala wananchi zaidi ya milioni 60, hawakuwafanya lolote. Haya siyo mambo ya kawaida kwa wanaadamu.

Tukio la Tanzania kuongozwa na Serikali batili na Bunge batili, halafu wananchi wakakaa kimya, siyo kitu kidogo. Huko mbeleni, fikiria hata miaka 1,000 ijayo, ambapo sisi sote tuliopo leo, hatutakuwepo, yawezekana watu wa nyakati hizo kutoka mataifa mbalimbali, wakataka kufanya utafiti wa kitaalam kuhusiana na jambo hili. Kama vile kutaka kujua:

1) Iliwezekana vipi watu zaidi ya milioni 60 kuongozwa na Waziri mkuu batili na mawaziri batili, na hivyo Serikali batili, na watu wakawa wametulia, wakipokea mari na maelekezo kutoka kwa waovu.

2) Watataka kujua kulikuwa na mazingira ya namna gani, labda yalisaidia kufifisha uwezo wa akili za watu wa wakati huo.

3) Watataka kujua kama hao wanaoitwa ni watu zaidi ya milioni 60 kama walikuwa ni binadamu kweli au walikuwa ni viumbe vilivyofanana na wanadamu katika maumbile, lakini siyo kwenye utashi. Ifahamike kuwa wakati huo, yumkini jambo hilo halitawezekana kabisa kutokea, na pengine ardhi ya Tanzania itakuwa inakaliwa na mchanganyiko.mkubwa wa wanadamu.

NB:
Ni vema kumbukumbu zetu zikawekwa vizuri kabisa ili watafiti wa wakati huo wasipate shida, (kama inavyotokea sasa katika kutambua mambo kadhaa ya historia ya Wapalestina na Wayahudi).

1) Napendekeza IQ na DNA za viongozi wote, hasa wa Serikali na CCM, wapimwe. Ili nyakati hizo zijazo, ziweze kufananishwa na watu wa wakati huo, lakini pia zinaweza kulinganishwa na za watu wa nyakati hizi tuishizo kutoka mataifa yasiyo na mambo ya ovyo ovyo kama kama haya ya kwetu.
Socrates alisema zama hizo kuwa si rahisi kwa mtu mwenye hekima kuamua kuingia kwenye siasa ili aiongoze jamii yake. Aliona ugumu wake.Hata hivyo aliwasihi watu wenye hekima kwenye jamii husika wajitolee kugombea uongozi wa kisiasa na waungwe mkono na watu wenye hekima wengine. Hapa Tanzania imewahi kutokea.Vinginevyo, watu wenye hekima watatawaliwa na watu wasio na hekima (nashindwa kupata jina sahihi la kuwaita). Hivi unaweza fikiria siku moja Wana Simba, kwa mfano, wakafikiria kuua mchezaji wa Yanga ili musimu ujao wawe mabingwa!? Au kumteua refa ambaye ni Simba damu damu ili awape Simba ubingwa msimu ujao!? Huo utakuwa ubingwa wa kujivunia?Ikiwa fikra hizo haziingii akilini kwenye fani ya michezo, mbona kwenye siasa watu wanaofanya wanaonekana shujaa, mabingwa, wanasifiwa!! Hapo tatizo lazima ni kubwa; kubwa sana!! Mtu, hata mwenye akili ya wastani akipata uongozi wa aina hiyo, angeona aibu! Lakini kwa Tanzania ya sasa tumekuwa kama wenye akili isiyoona! Socrates aliona uwezekano huo unaweza kutokeaje! Tuone huko tunakoelekea namna ya kuutoa upofu huu. Tumtangulize Mwenyezi Mungu arudishe mishipa ya aibu ya viongozi waliopo na wapambe wao binafsi na kitaasisi ili Tanzania iwe taifa lenye uongozi bora tena na siyo bora kiongozi!
 
Amini nakwambia haya yote yanasababushwa na kukosa vyama pinzani madhubuti na vyenye Nia ya dhati, tulivyonavyo ni waganga njaa tu.
Hilo ni moja; la pili ni zindiko la munngu aitwae mwenge ambaye amewapumbaza WaTz sana. Lakini hata Burkina Faso walikuwa wazembe kuliko Tz siku uganga wa kuwatawala (kama ilivyo mwenge Tz) ulivyokwisha jamaa (wananchi) waling'oa Serikali. Bado kitambo hii roho inakuja Tz
 
1) Napendekeza IQ na DNA za viongozi wote, hasa wa Serikali na CCM, wapimwe. Ili nyakati hizo zijazo, ziweze kufananishwa na watu wa wakati huo, lakini pia zinaweza kulinganishwa na za watu wa nyakati hizi tuishizo kutoka mataifa yasiyo na mambo ya ovyo ovyo kama kama haya ya kwetu.
Siku hizi chache, umekuwa na mada nzito sana, ila zinakuwa kama za kulialia na kutafuta huruma.
Utanisamehe sana mkuu 'Bams' kwa kusema hivyo, kwa maana naheshimu sana michango yako humu jamvini.

Hutahitaji miaka yote hiyo 1000 ijayo. Haya ya kipuuzi unayoyaona yakinyemelea nchi yetu yatakomeshwa katika uhai wa kizazi hiki.

Hii ni nchi yenye heshima kubwa sana duniani, wametokea hawa wapumbavu ndani ya chama kilichoundwa kusimamia maslahi ya nchi, wao wakakigeuza na kuwa genge la kuwakandamiza wananchi.
 
Back
Top Bottom