Wabunge matajiri wafanyabiashara, wanasimamia Maslahi ya akina nani bungeni?

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,103
22,548
Salaam,Shalom!!


Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi akijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri au .toto wa kiongozi mkubwa serikalini na kutupwa mbali.

Kuwa tajiri Kwa halali Si DHAMBI, Hilo liwekwe wazi. Na mada Haina Chuki na matajiri wa halali wenye uchungu na Umaskini wa wananchi.


Wananchi tunajiuluza hivi ;

1. Mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?

2. Mmiliki wa mabasi zaidi ya 50 Nchi nzima, anafuata nini bungeni? Na ikiwa anatetea maslah ya Wananchi, mbona nauli hazishuki?

3. Tukitafuta wauza magenerator wakubwa nchini, hutawakosa bungeni, tunajiuluza, bungeni Huwa wanakwenda kutetea Maslahi ya nani? Na ikiwa wanatetea maslah ya biashara zao, mgao wa UMEME utakuja kuisha Kweli?

4. Tukichunguza Kwa makini, waagizaji wakubwa wa MAFUTA, SUKARI nk nk wamo bungeni, najiuliza ipo siku SUKARI itashuka Bei, au MAFUTA yatakuja kushuka Bei Kweli? Tufanye nini Ili kupata watetezi wa Maslahi ya wananchi wa Kweli?

5. Kitu Gani Hasa kinawavuta matajiri kutaka nafasi za udiwani na Ubunge ambazo kimsingi posho zake ni kiduchu kulinganisha na mapato ya biashara zao?

Ikiwa wabunge wanaomiliki vituo vya mafuta Nchi nzima Wana mapenzi ya dhati, kwanini wasishirikiane kujipunguzia faida kidogo Ili mafuta yashuke Bei Ili sie wapiga kura tufurahie?

Yaani saiz sukari inauzwa 5000, kwanini wabunge matajiri wasipambane kuhakikisha tunanunua SUKARI Kwa Bei ya 2,000 per kg ikiwa Kweli wanasimamia Maslahi ya maskini?

Karibuni 🙏
 
Tupeane taarifa,

Jimboni kwako, Kuna mwalimu wa Msingi au sekondari mwenye Nia ya kugombea Ubunge?

Atatoboa?
 
Salaam,Shalom!!


Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi alijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri na kutupwa mbali.


Wananchi tunajiuluza, hivi mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?

Tukitafuta wauza magenerator wakubwa nchini, hutawakosa bungeni, tunajiuluza, bungeni Huwa wanakwenda kuitetea Maslahi ya nani? Na ikiwa wanatetea maslah ya biashara zao, mgao utakuja kuisha Kweli?

Kitu Gani Hasa kinawavuta matajiri kutaka nafasi za udiwani na Ubunge ambazo kimsingi posho zake ni kiduchu kulinganisha na mapato ya biashara zao?

Karibuni 🙏
Mtanikumbuka......
 
Ni waheshimiwa gani hao wanaouza majenereta?
Huwajui matajiri bungeni?

Yaani uache kusimamia biashara zinazoingiza millions, upoteze muda kupokea 80,000 Kwa siku?

Itakuwa matajiri Wana Upendo sana Kwa wananchi maskini!!
 
Salaam,Shalom!!


Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi akijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri na kutupwa mbali.


Wananchi tunajiuluza, hivi mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?

Tukitafuta wauza magenerator wakubwa nchini, hutawakosa bungeni, tunajiuluza, bungeni Huwa wanakwenda kutetea Maslahi ya nani? Na ikiwa wanatetea maslah ya biashara zao, mgao utakuja kuisha Kweli?

Kitu Gani Hasa kinawavuta matajiri kutaka nafasi za udiwani na Ubunge ambazo kimsingi posho zake ni kiduchu kulinganisha na mapato ya biashara zao?

Karibuni 🙏
Mwamba unahoja usikilizwe unanikumbusha tajiri manji alivyo gombea udiwani mbagara lengo kuja kuwa meya alivyo ukosa umeya na udiwani akaupiga chini kabda ya mda kuisha sasa jiulize mshahala wa diwani shingap chief uzalendo uliondoka na sokoine na nyerere saiv nikupiga
 
Mwamba unahoja usikilizwe unanikumbusha tajiri manji alivyo gombea udiwani mbagara lengo kuja kuwa meya alivyo ukosa umeya na udiwani akaupiga chini kabda ya mda kuisha sasa jiulize mshahala wa diwani shingap chief uzalendo uliondoka na sokoine na nyerere saiv nikupiga
Yaani tajiri Manji na udiwani wapi na wapi?

Kweli Nia yake ilikuwa kuhakikisha wananchi hawadhulumiwi viwanja vyao, au Kuna lingine?
 
Wananchi tunajiuluza, hivi mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?
Kabla hatuchangia uzi wako rekebisha, posho ya mbunge ya siku moja ni mshahara wa mwalimu wa mwezi mzima
 
Salaam,Shalom!!


Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi akijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri au .toto wa kiongozi mkubwa serikalini na kutupwa mbali.

Kuwa tajiri Kwa halali Si DHAMBI, Hilo liwekwe wazi. Na mada Haina Chuki na matajiri wa halali wenye uchungu na Umaskini wa wananchi.


Wananchi tunajiuluza, hivi mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?

Tukitafuta wauza magenerator wakubwa nchini, hutawakosa bungeni, tunajiuluza, bungeni Huwa wanakwenda kutetea Maslahi ya nani? Na ikiwa wanatetea maslah ya biashara zao, mgao wa UMEME utakuja kuisha Kweli?

Tukichunguza Kwa makini, waagizaji wakubwa wa mafuta, sukari nk nk wamo bungeni, najiuliza IPO siku sukari itashuka Bei, au mafuta yatakuja kushuka Bei Kweli? Tufanye nini Ili kupata watetezi wa Maslahi ya wananchi wa Kweli?

Kitu Gani Hasa kinawavuta matajiri kutaka nafasi za udiwani na Ubunge ambazo kimsingi posho zake ni kiduchu kulinganisha na mapato ya biashara zao?

Karibuni 🙏
Salaam,Shalom!!


Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi akijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri au .toto wa kiongozi mkubwa serikalini na kutupwa mbali.

Kuwa tajiri Kwa halali Si DHAMBI, Hilo liwekwe wazi. Na mada Haina Chuki na matajiri wa halali wenye uchungu na Umaskini wa wananchi.


Wananchi tunajiuluza, hivi mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?

Tukitafuta wauza magenerator wakubwa nchini, hutawakosa bungeni, tunajiuluza, bungeni Huwa wanakwenda kutetea Maslahi ya nani? Na ikiwa wanatetea maslah ya biashara zao, mgao wa UMEME utakuja kuisha Kweli?

Tukichunguza Kwa makini, waagizaji wakubwa wa mafuta, sukari nk nk wamo bungeni, najiuliza IPO siku sukari itashuka Bei, au mafuta yatakuja kushuka Bei Kweli? Tufanye nini Ili kupata watetezi wa Maslahi ya wananchi wa Kweli?

Kitu Gani Hasa kinawavuta matajiri kutaka nafasi za udiwani na Ubunge ambazo kimsingi posho zake ni kiduchu kulinganisha na mapato ya biashara zao?

Ikiwa wabunge wanaomiliki vituo vya mafuta Nchi nzima Wana mapenzi ya dhati, kwanini wasishirikiane kujipunguzia faida kidogo Ili mafuta yashuke Bei Ili sie wapiga kura tufurahie?😀😀

Karibuni 🙏
Amini kwamba matajiri huwaga wanafatiliwa Sana na viongonzi wa serikali, asa kama ye ndiye kiongozi biashara zake au mizigo yake hata kama ikiwa ya magendo kupitishwa inakua ni rahisi mno Utaskia gari la Mh
 
Back
Top Bottom