Salaam,Shalom!!
Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi akijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri au .toto wa kiongozi mkubwa serikalini na kutupwa mbali.
Kuwa tajiri Kwa halali Si DHAMBI, Hilo liwekwe wazi. Na mada Haina Chuki na matajiri wa halali wenye uchungu na Umaskini wa wananchi.
Wananchi tunajiuluza hivi ;
1. Mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?
2. Mmiliki wa mabasi zaidi ya 50 Nchi nzima, anafuata nini bungeni? Na ikiwa anatetea maslah ya Wananchi, mbona nauli hazishuki?
3. Tukitafuta wauza magenerator wakubwa nchini, hutawakosa bungeni, tunajiuluza, bungeni Huwa wanakwenda kutetea Maslahi ya nani? Na ikiwa wanatetea maslah ya biashara zao, mgao wa UMEME utakuja kuisha Kweli?
4. Tukichunguza Kwa makini, waagizaji wakubwa wa MAFUTA, SUKARI nk nk wamo bungeni, najiuliza ipo siku SUKARI itashuka Bei, au MAFUTA yatakuja kushuka Bei Kweli? Tufanye nini Ili kupata watetezi wa Maslahi ya wananchi wa Kweli?
5. Kitu Gani Hasa kinawavuta matajiri kutaka nafasi za udiwani na Ubunge ambazo kimsingi posho zake ni kiduchu kulinganisha na mapato ya biashara zao?
Ikiwa wabunge wanaomiliki vituo vya mafuta Nchi nzima Wana mapenzi ya dhati, kwanini wasishirikiane kujipunguzia faida kidogo Ili mafuta yashuke Bei Ili sie wapiga kura tufurahie?
Yaani saiz sukari inauzwa 5000, kwanini wabunge matajiri wasipambane kuhakikisha tunanunua SUKARI Kwa Bei ya 2,000 per kg ikiwa Kweli wanasimamia Maslahi ya maskini?
Karibuni 🙏
Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi akijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri au .toto wa kiongozi mkubwa serikalini na kutupwa mbali.
Kuwa tajiri Kwa halali Si DHAMBI, Hilo liwekwe wazi. Na mada Haina Chuki na matajiri wa halali wenye uchungu na Umaskini wa wananchi.
Wananchi tunajiuluza hivi ;
1. Mfanyabiashara tajiri mwenye vituo vya mafuta Nchi nzima, anagombea ubunge na kuacha kusimamia biashara zake Ili akae bungeni na kulipwa 80,000 Kwa siku, ni ana mapenzi na wananchi au Kuna nini nyuma yake?
2. Mmiliki wa mabasi zaidi ya 50 Nchi nzima, anafuata nini bungeni? Na ikiwa anatetea maslah ya Wananchi, mbona nauli hazishuki?
3. Tukitafuta wauza magenerator wakubwa nchini, hutawakosa bungeni, tunajiuluza, bungeni Huwa wanakwenda kutetea Maslahi ya nani? Na ikiwa wanatetea maslah ya biashara zao, mgao wa UMEME utakuja kuisha Kweli?
4. Tukichunguza Kwa makini, waagizaji wakubwa wa MAFUTA, SUKARI nk nk wamo bungeni, najiuliza ipo siku SUKARI itashuka Bei, au MAFUTA yatakuja kushuka Bei Kweli? Tufanye nini Ili kupata watetezi wa Maslahi ya wananchi wa Kweli?
5. Kitu Gani Hasa kinawavuta matajiri kutaka nafasi za udiwani na Ubunge ambazo kimsingi posho zake ni kiduchu kulinganisha na mapato ya biashara zao?
Ikiwa wabunge wanaomiliki vituo vya mafuta Nchi nzima Wana mapenzi ya dhati, kwanini wasishirikiane kujipunguzia faida kidogo Ili mafuta yashuke Bei Ili sie wapiga kura tufurahie?
Yaani saiz sukari inauzwa 5000, kwanini wabunge matajiri wasipambane kuhakikisha tunanunua SUKARI Kwa Bei ya 2,000 per kg ikiwa Kweli wanasimamia Maslahi ya maskini?
Karibuni 🙏